Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,520
- 830,056
Nguvu ya mwanamke ndio inatawala dunia ... Unaweza kubisha na kukataa katakata lakini huu ndio ukweli... Hebu turudi kwenye uumbaji wa ulimwengu kiimani
Uumbaji wa mwanzo wa binadamu ulifanyika siku ya sita baada ya vingine vyote kuumbwa.. Aliumbwa Adam... Simulizi nyingine zinasema Adam aliumbiwa msaidizi sambamba naye, huyu aliitwa LILITH... lakini hawakuwa pamoja kwa muda mrefu kwakuwa walishindwana sababu ikiwa LILITH alitaka kuwa sawa na Adam ama zaidi kwenye maamuzi nk
Baadae Adam alitafutiwa Eva/ Hawa kutoka katika mifupa ya ubavu wake... Huyu mwanamke alipaswa kumsikiliza Adam kwenye kila kitu.... Lakini kwa bahati mbaya kabisa ndio alikuja kumteketeza...
Simulizi za kiimani na kihistoria zinamtaja mwanamke kama kishawishi Kikuu kisichopingwa kwa namna yoyote ile na mwanaume... Inteligensia ya kijasusi ya enzi hizo ile ya wafilisiti ilimtumia binti mrembo Delilah kumnasa Samson mwenye nguvu za asili..
Kifo cha Abdel Nasser rais wa Misri miaka ile ya 70, kinahusishwa na mwanamke... Kwamba Nasser akiwa tayari ameshaandaa midege ya kivita 600 kwenda kuiteketeza Israel, mashushu wa Israel waligundua kuwa mmojawapo wa makamanda wa juu wa jeshi la Misri, alikuwa kamuoa binti wa Israel... Mwanamke huyu ndio alitumika kupata siri zote toka kwa mumewe ni lini na saa ngapi Misri wataishambulia Israel... Siku tarajiwa ya mashambulizi ndege zote 600 za kivita za Misri ziliteketea uwanjani kabla ya kuruka...
Nick Carter kwenye novel yake ya slave master anatufunulia siri za kijasusi za ulimwengu kuwa viongozi wakuu na marais wa mataifa muhimu duniani huwekwa na kikundi cha kijasusi cha watu maalum.. Hiki kikundi cha watu hawa maalum ndio kinaamua hatima ya dunia...
Wanafanikiwaje kwenye misheni yao hii? Wanafanyaje?
Nick carter katika simulizi yake haongelei utumwa wa kimwili ule wa kufungwa minyororo, anaongelea utumwa wa kihisia na kiakilia.... Huu ni utumwa mbaya kuliko ule wa kufungwa minyororo
Kinachotokea ni hiki
Kwa mujibu wa Carter hili kundi la watu maalum wenye kuamua hatima ya dunia ni kundi tajiri na lenye nguvu kubwa kijamii, kisiasa, kijeshi, kiusalama michezo, bishata na mahusiano ya Kimataifa.... Hili kundi wana madanguro yao first class, madanguro ya wasagaji, wasenge, ngangaripoa mpaka malaya.... Lakini hawa wote wamepitia mafunzo ya kikatili yaliyouwa hisia za upendo na kujali na wanafanya kile walichotumwa tu kufanya... No love attractions hata uwawekee dola million moja
Sasa nyakati za Nick Carter anaandika novel yake tech ilikuwa si kama leo hii... Lakini iwe ni malaya, msenge au lesbian ukitoka naye lazima akurekodi kwa matumizi ya baadae kwa maagizo ya mabosi wake
Hili kundi maalum ndio liliamua nani awe nani lini na wapi... Na lilifadhili shughuli zake za kiofisi, mtaani nyumbani, kwenye starehe na uchafu mwingine... Lakini huko kote walichukua kumbukumbu za maandishi, sauti na video
Sasa watu hawa watakupandisha mpaka wanapotaka uwe kisha wataanza kukutumia kwa maslahi yao makubwa... Kwa mfano wanakuweka kwenye post ya waziri wa ulinzi halafu wanakwambia tuna silaha nyingi kwenye stock lakini hatuna soko, hivyo unapewa jukumu la kuchonganisha mataifa ama jamii fulani ili wafarakane na kugombana... Ukikubali uko salama ukibisha wanakuletea mzigo wa picha za mnato, sauti na video za machafu yako uliyofanya...
Unapewa option mbili kubali matakwa yetu upone kataa tutoe siri.... Hiyo ndio slave master inavyofanya kazi....
Miaka miwili nyuma kulikuwa na TETESI za majasusi warembo sana wa kike wa nchi jirani kumwagwa Dodoma, Dar, Arusha na miji mingine muhimu.... Sijui walifanikiwa kiasi gani... Lakini aliyewatuma kama katumia MFUMO wa Nick Carter basi tunaishi utumwani bila hiari na bila kujijua
Jr
Uumbaji wa mwanzo wa binadamu ulifanyika siku ya sita baada ya vingine vyote kuumbwa.. Aliumbwa Adam... Simulizi nyingine zinasema Adam aliumbiwa msaidizi sambamba naye, huyu aliitwa LILITH... lakini hawakuwa pamoja kwa muda mrefu kwakuwa walishindwana sababu ikiwa LILITH alitaka kuwa sawa na Adam ama zaidi kwenye maamuzi nk
Baadae Adam alitafutiwa Eva/ Hawa kutoka katika mifupa ya ubavu wake... Huyu mwanamke alipaswa kumsikiliza Adam kwenye kila kitu.... Lakini kwa bahati mbaya kabisa ndio alikuja kumteketeza...
Simulizi za kiimani na kihistoria zinamtaja mwanamke kama kishawishi Kikuu kisichopingwa kwa namna yoyote ile na mwanaume... Inteligensia ya kijasusi ya enzi hizo ile ya wafilisiti ilimtumia binti mrembo Delilah kumnasa Samson mwenye nguvu za asili..
Kifo cha Abdel Nasser rais wa Misri miaka ile ya 70, kinahusishwa na mwanamke... Kwamba Nasser akiwa tayari ameshaandaa midege ya kivita 600 kwenda kuiteketeza Israel, mashushu wa Israel waligundua kuwa mmojawapo wa makamanda wa juu wa jeshi la Misri, alikuwa kamuoa binti wa Israel... Mwanamke huyu ndio alitumika kupata siri zote toka kwa mumewe ni lini na saa ngapi Misri wataishambulia Israel... Siku tarajiwa ya mashambulizi ndege zote 600 za kivita za Misri ziliteketea uwanjani kabla ya kuruka...
Nick Carter kwenye novel yake ya slave master anatufunulia siri za kijasusi za ulimwengu kuwa viongozi wakuu na marais wa mataifa muhimu duniani huwekwa na kikundi cha kijasusi cha watu maalum.. Hiki kikundi cha watu hawa maalum ndio kinaamua hatima ya dunia...
Wanafanikiwaje kwenye misheni yao hii? Wanafanyaje?
Nick carter katika simulizi yake haongelei utumwa wa kimwili ule wa kufungwa minyororo, anaongelea utumwa wa kihisia na kiakilia.... Huu ni utumwa mbaya kuliko ule wa kufungwa minyororo
Kinachotokea ni hiki
Kwa mujibu wa Carter hili kundi la watu maalum wenye kuamua hatima ya dunia ni kundi tajiri na lenye nguvu kubwa kijamii, kisiasa, kijeshi, kiusalama michezo, bishata na mahusiano ya Kimataifa.... Hili kundi wana madanguro yao first class, madanguro ya wasagaji, wasenge, ngangaripoa mpaka malaya.... Lakini hawa wote wamepitia mafunzo ya kikatili yaliyouwa hisia za upendo na kujali na wanafanya kile walichotumwa tu kufanya... No love attractions hata uwawekee dola million moja
Sasa nyakati za Nick Carter anaandika novel yake tech ilikuwa si kama leo hii... Lakini iwe ni malaya, msenge au lesbian ukitoka naye lazima akurekodi kwa matumizi ya baadae kwa maagizo ya mabosi wake
Hili kundi maalum ndio liliamua nani awe nani lini na wapi... Na lilifadhili shughuli zake za kiofisi, mtaani nyumbani, kwenye starehe na uchafu mwingine... Lakini huko kote walichukua kumbukumbu za maandishi, sauti na video
Sasa watu hawa watakupandisha mpaka wanapotaka uwe kisha wataanza kukutumia kwa maslahi yao makubwa... Kwa mfano wanakuweka kwenye post ya waziri wa ulinzi halafu wanakwambia tuna silaha nyingi kwenye stock lakini hatuna soko, hivyo unapewa jukumu la kuchonganisha mataifa ama jamii fulani ili wafarakane na kugombana... Ukikubali uko salama ukibisha wanakuletea mzigo wa picha za mnato, sauti na video za machafu yako uliyofanya...
Unapewa option mbili kubali matakwa yetu upone kataa tutoe siri.... Hiyo ndio slave master inavyofanya kazi....
Miaka miwili nyuma kulikuwa na TETESI za majasusi warembo sana wa kike wa nchi jirani kumwagwa Dodoma, Dar, Arusha na miji mingine muhimu.... Sijui walifanikiwa kiasi gani... Lakini aliyewatuma kama katumia MFUMO wa Nick Carter basi tunaishi utumwani bila hiari na bila kujijua
Jr
