technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Sasa yule jamaa wa ccm kakamatwa na kufungwa kwa kutoa maoni yake tatizo ni nini je haturuhusiwi kutoa maoni au kumsema Rais!!
Rais lazima atambue anaishi kwa kodi za walala hoi hvyo lazima asemwe ni ujinga kumkamata mtu kisa kamsema Rais !!
Samia Sasa kafikia point ya mwisho ya ule umagufulification ambao ulipigwa kwa nguvu nyingi
Ila kwa vile Samia ni mwanamke wanaharakati wamepigwa kimya kwa sababu alifungulia vile vi NGOS fake vije kumsifia.
Akisemwa watu wanatumia uanamke na dini yake kumkinga
Ila ukweli uchaguzi ujao utachezewa Kama ule wa 2020 kwa sababu magenge ya wezi yote yapo upande wake.
Samia na Magufuli wameshafanana kila kitu tofauti yao ni moja tu Huyu kaongeza na matozo.
Samia ni silent killer anakuua huku anacheka tu!!
Nawaambia 2025 hakuna uchaguzi ni maigizo tu ya uchaguzi
Chadema amasisheni nguvu ya umma Ili 2025 mtafute madiwani na wabunge angalau 45 kwa kutumia nguvu maana 2025 hakutakuwa na uchaguzi bali maigizo tu !!
Niko pale!!
Rais lazima atambue anaishi kwa kodi za walala hoi hvyo lazima asemwe ni ujinga kumkamata mtu kisa kamsema Rais !!
Samia Sasa kafikia point ya mwisho ya ule umagufulification ambao ulipigwa kwa nguvu nyingi
Ila kwa vile Samia ni mwanamke wanaharakati wamepigwa kimya kwa sababu alifungulia vile vi NGOS fake vije kumsifia.
Akisemwa watu wanatumia uanamke na dini yake kumkinga
Ila ukweli uchaguzi ujao utachezewa Kama ule wa 2020 kwa sababu magenge ya wezi yote yapo upande wake.
Samia na Magufuli wameshafanana kila kitu tofauti yao ni moja tu Huyu kaongeza na matozo.
Samia ni silent killer anakuua huku anacheka tu!!
Nawaambia 2025 hakuna uchaguzi ni maigizo tu ya uchaguzi
Chadema amasisheni nguvu ya umma Ili 2025 mtafute madiwani na wabunge angalau 45 kwa kutumia nguvu maana 2025 hakutakuwa na uchaguzi bali maigizo tu !!
Niko pale!!