QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
View attachment 39959Kwa wale wachache mlioweza kushuhudia mauaji yaliyoendeshwa na CCM kwa wakara wetu huko Iginga, hamwezi kuipa kura tena CCM katika maisha yenu. Picha ninazo (siyo nzuri kabisa) na kama wadau wa JF mkihitaji, nitaziweka hapa ili mtoe maoni yenu. Kwa hali hii, CCM inatakiwa kufutwa mara moja kutoka kwenye orodha ya vyama vya siasa.