mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Siku za nyuma, ilikuwa haipiti muda bila kusoma habari za gazeti la Mwanahalisi kwenye JF. Hata hivyo, siku hizi halisikiki ukiachia mbali kuibuka utata juu ya ithibati yake. Je kulikoni Mwanahalisi au ni yale ya kila kipaacho hutua? Wapo wanaodai limeishatumbukia kwenye mifuko ya mafisadi kama magazeti ya Uhuru, Mzalendo, Tazama, Mtanzania, Rai hata Raia Mwema. Je hii ni kweli?