Ulizo kuhusu Bodi ya Mikopo (HESLB)

phael vet

Senior Member
Sep 30, 2016
126
82
Jamani Bodi ya mkopo wa Elimu ya juu mbona mnaweka vigezo vya kunyanyasa/ kuwakandamiza wanafunzi waliopitia mfumo wa Diploma? Kunufaika na hizo pesa ambazo baadae wanazirudisha.

Hicho kipengele namba 6 kwamba lazima awe amehitimu ndani ya miaka mitano ni kuwanyima haki ya kupata, kama mtu hajafika miaka 35 kwanini muweke mipaka ya hiyo miaka 5?
 
Kama memaliza deni lenu kwenye salary slip na sijaenda kutafuta barua.
Deni litaendelea?
 
VP kama niko na deni hsbl alfu nina miaka 10 sjapata ajira jobless na hakuna dalili ya kupata job hilo deni inakuaje
 
VP kama niko na deni hsbl alfu nina miaka 10 sjapata ajira jobless na hakuna dalili ya kupata job hilo deni ata miminsijui mkuu kwanza tujadili hili la hapo juu ambalo litaenda kua kikwazo kwa baadhi ya Watanzania wenzetu kukosa kusoma Elimu ya juu
 
Hicho kipengele namba 6 kwamba lazima awe amehitimu ndani ya miaka mitano ni kuwanyima haki ya kupata, kama mtu hajafika miaka 35 kwanini muweke mipaka ya hiyo miaka 5?
Weka pdf la hilo dodoso sio unasema tu namba 6 km wote tumeona na kusoma

404: Page Not Found
 
Screenshot_20230703-182553.png
 
Jamani Bodi ya mkopo wa Elimu ya juu mbona mnaweka vigezo vya kunyanyasa/ kuwakandamiza wanafunzi waliopitia mfumo wa Diploma? Kunufaika na hizo pesa ambazo baadae wanazirudisha.

Hicho kipengele namba 6 kwamba lazima awe amehitimu ndani ya miaka mitano ni kuwanyima haki ya kupata, kama mtu hajafika miaka 35 kwanini muweke mipaka ya hiyo miaka 5?

Wanaamini ndani ya miaka mi5 utakua umeshajijenga kiuchumi ndio mana umeamua kurudi shule hivyo unao uwezo wa kujisomesha.
Achana na mikopo inatesa
 
Hicho kipengele namba 6 kwamba lazima awe amehitimu ndani ya miaka mitano ni kuwanyima haki ya kupata,
Ni uwe umehitimu 2019-2023
Na usizidi miaka 35

Km haumo kwenye hio criteria basi we endelea tu kupiga kazi ya bodaboda hapo mtaani hakuna namna,

404: Page Not Found
 
Wanaamini ndani ya miaka mi5 utakua umeshajijenga kiuchumi ndio mana umeamua kurudi shule hivyo unao uwezo wa kujisomesha.
Achana na mikopo inatesa
upo sahihi ila nakuambia kwa mtu wa familia ya kati hawezi kusoma bila mkopo nenda kafanye utafiti vyuoni vijana wanaoshindwa kuendelea na masomo chanzo ni kukosa pesa ya Ada , na hatimaye kushindwa kumaliza .
 
Wanaamini ndani ya miaka mi5 utakua umeshajijenga kiuchumi ndio mana umeamua kurudi shule hivyo unao uwezo wa kujisomesha.
Achana na mikopo inatesa
upo sahihi ila nakuambia kwa mtu wa familia ya kati hawezi kusoma bila mkopo nenda kafanye utafiti vyuoni vijana wanaoshindwa kuendelea na masomo chanzo ni kukosa pesa ya Ada , na hatimaye kushindwa kumaliza .
 
upo sahihi ila nakuambia kwa mtu wa familia ya kati hawezi kusoma bila mkopo nenda kafanye utafiti vyuoni vijana wanaoshindwa kuendelea na masomo chanzo ni kukosa pesa ya Ada , na hatimaye kushindwa kumaliza .
Ndio hivyo sasa wewe vigezo viwili huna unataka wakusaidiaje, mosi umri umevuka 35 pili umeshasoma miaka 5 imepita tayari kwa hio unataka Bodi ikusaidieje hapo vigezo viwili washakuondoa kwenye list nini maoni yako ?

404: Page Not Found
 
Ndio hivyo sasa wewe vigezo viwili huna unataka wakusaidiaje, mosi umri umevuka 35 pili umeshasoma miaka 5 imepita tayari kwa hio unataka Bodi ikusaidieje hapo vigezo viwili washakuondoa kwenye list nini maoni yako ?

404: Page Not Found
hahahaaa mkuu hujanielewa .Nilimaanisha kuna wengine hawajafika hiyo miaka 35 ingawaje walimaliza muda uliozidi miaka 5 je unaona ni sawa kuwanyima wasiombe kisa kigezo cha muda waliomaliza?
 
Ndio hivyo sasa wewe vigezo viwili huna unataka wakusaidiaje, mosi umri umevuka 35 pili umeshasoma miaka 5 imepita tayari kwa hio unataka Bodi ikusaidieje hapo vigezo viwili washakuondoa kwenye list nini maoni yako ?

404: Page Not Found
Tunajadili kwa manufaa ya wengi
 
Back
Top Bottom