Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 24,717
- 44,116
Utalijua Jiji. By East African Modern TaarabNaomba kuna ule anaimba "Bafuni unapikia jikoni unaogea" halafu sijui nini na nini kisha "masela wa vijiweni uroda wajipatia kwako kwa foleeni" nashindwa kutambaa na beat coz siyo mambo yangu haya ila huu wimbo nina historia nao sana.
Aliyeuimba nadhani amefariki sasa,Mungu amrehemu.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Sent using Jamii Forums mobile app