Uliza swali lolote kuhusu solar PV and solar pumps

Taa za DC zenye mwanga mkubwa zipo nyingi sana zilizotengenezwa kwa teknolojia ya LED cha msingi nunua kuanzia 5watts hadi 10watts zinamwanga wa kutosha sana kwa shughuli ya security lights.pia photoelectric sensors za DC 12volts zipo nyingi tuu sema labda kama bongo hazipo ila kwenye duka moja pale ubungo zipo kwa mdada mmoja hivi kwenye hii njia ya chinini yakuingilia chuo cha mlimani kama unatokea ubungo pale pale upande wa kulia ulizia duka la vifaa vya electronics utaonyeshwa.
size... ya battery ..solar control... na solar panel......
 
cyber ghost natafuta deep cycle flooded 2V 600 Ah batteries (sina hakika sana na jina). Ndefu ndefu hivi.

Zipo mahali hizi?
 
Mkuu nina project nataka kufanya ya kufunga solar system
Nina load ya 300watt
Inatakiwa kufanya kazi 24hr pasipo kuzima
Vile vile iweze kufanyakazi kwasiku mbili endapo jua lisipo waka kabisa..
Location eneo lenye baridi kama iringa
Mkuu hapa ntahitaji solar na battery za ukubwa gani ku run hii system
Asante.
Kwa hii system yako matumizi ya umeme ni 300watts × 24 hours =7200Wh or 7.2kWh or 7.2 units per day kwa kuzingatia jiografia ya eneo na siku unazotaka system yako iendelee kufanya kazi hata kama jua halitakuwepo ambazo ni siku mbili.
Kwa load ya 300watts inverter utakayohitaji ni 300watts × 1.3=400watts
Battery capacity= (300w × 24 ×2)/(12× 0.8) =1500Ah
Dukani hakuna battery la 1500Ah so utachua betri za 200Ah nane.
Wakati wa mchana utahitaji current ya 300watts/12volts = 25A kuendeshea load ya 300 watts.
Pia ili kuweza kucharge betri bank ya 1500Ah utahitaji current ambayo ni 1/10th of the battery capacity which is 150A.
Kwayo current ya ujumla unayotakiwa kuwa nayo ni 150A + 25A =175A ila panel ya 250watts huwa inakuwa na voltage Vmp=30volts
So power = 30V × 175A =5250watts so kupata idadi ya solar panels chukua 5250/250= 21 panels kila moja inakuwa na 250watts. Ambapo 750watts zitatumika kuendesha mtambo wako wakati wa jua na 4500watts zitatumika kucharge betri zako kuweza kukaa siku mbili mbele hatakama jua halitawaka.chager controller tafuta ya MPPT ya 100Amps au zaidi kama utapata.
 
size... ya battery ..solar control... na solar panel......
Taa kumi za security lights chukua taa za LED 12volts @ 5watts ambazo zitawaka kwa masaa 12 kila siku so kupata matumizi ya jumla chukua 10×5×12= 600Wh
Kunakuwa na upotevu kidogo wa umeme kwenye wire,charge controller na battery ambazo huwa ni approximately to 85%, so chukua 600Wh/0.85=706Wh
Kupata size ya panel gawanya kwa masaa ya jua kali kwa siku ambopo kwa Tz maeneo mengi ni 5 hours. 706Wh/5hours=141watts
Dukani huwezi pata panel ya watts 141 so utachukua panel mbili za watts 100 kila moja utazifunga parallel.
Size ya battery=706Wh/(12×0.5)= 118Ah ambapo dukani hakuna betri la 118Ah ila lipo la 120Ah ndio utalichukua.
Charger controller chukua ya 15amps inatosha.
 
asan
Taa kumi za security lights chukua taa za LED 12volts @ 5watts ambazo zitawaka kwa masaa 12 kila siku so kupata matumizi ya jumla chukua 10×5×12= 600Wh
Kunakuwa na upotevu kidogo wa umeme kwenye wire,charge controller na battery ambazo huwa ni approximately to 85%, so chukua 600Wh/0.85=706Wh
Kupata size ya panel gawanya kwa masaa ya jua kali kwa siku ambopo kwa Tz maeneo mengi ni 5 hours. 706Wh/5hours=141watts
Dukani huwezi pata panel ya watts 141 so utachukua panel mbili za watts 100 kila moja utazifunga parallel.
Size ya battery=706Wh/(12×0.5)= 118Ah ambapo dukani hakuna betri la 118Ah ila lipo la 120Ah ndio utalichukua.
Charger controller chukua ya 15amps inatosha.
asante.. sana
 
Kwa hii system yako matumizi ya umeme ni 300watts × 24 hours =7200Wh or 7.2kWh or 7.2 units per day kwa kuzingatia jiografia ya eneo na siku unazotaka system yako iendelee kufanya kazi hata kama jua halitakuwepo ambazo ni siku mbili.
Kwa load ya 300watts inverter utakayohitaji ni 300watts × 1.3=400watts
Battery capacity= (300w × 24 ×2)/(12× 0.8) =1500Ah
Dukani hakuna battery la 1500Ah so utachua betri za 200Ah nane.
Wakati wa mchana utahitaji current ya 300watts/12volts = 25A kuendeshea load ya 300 watts.
Pia ili kuweza kucharge betri bank ya 1500Ah utahitaji current ambayo ni 1/10th of the battery capacity which is 150A.
Kwayo current ya ujumla unayotakiwa kuwa nayo ni 150A + 25A =175A ila panel ya 250watts huwa inakuwa na voltage Vmp=30volts
So power = 30V × 175A =5250watts so kupata idadi ya solar panels chukua 5250/250= 21 panels kila moja inakuwa na 250watts. Ambapo 750watts zitatumika kuendesha mtambo wako wakati wa jua na 4500watts zitatumika kucharge betri zako kuweza kukaa siku mbili mbele hatakama jua halitawaka.chager controller tafuta ya MPPT ya 100Amps au zaidi kama utapata.
Asante sana mkuu cyber ghost
Kwa kunipa elimu hii kubwa...

Nimefikiria kutumia panel za suntech
battery za Rolls Surette
Inverter ya Victron
Vipi kuhusu ubora wa hv vifaa vitaweza kunipa matokeo chanya?
Natanguliza shukrani
 
Duh mkuu.. cyber ghost nina system ndogo ya kuchaji simu. Kwa siku nachaji simu kama 40 maximum.
Natumia Kobe za ac na chaja za kawaida ambazo ni mh500. Sijui ndo tunaangalia hapo.....?

Na system yangu ni panel 300w na betr 2@ N100.
Muda wa kazi ni saa 15. Lakini huwa moto unaisha mapema sana sana masaa 12-13.
Hapo nn shida?

Panel nimeunga parallel.
Baterry nimeunga moja moja ndo inakuwa nafuu nikiziunga moto unaisha mapema.

Chaja controller nilidisconnect niliona inanibania moto
 
Asante sana mkuu cyber ghost
Kwa kunipa elimu hii kubwa...

Nimefikiria kutumia panel za suntech
battery za Rolls Surette
Inverter ya Victron
Vipi kuhusu ubora wa hv vifaa vitaweza kunipa matokeo chanya?
Natanguliza shukrani
Suntech nazani hili ni kampuni linapatikana china ila kwa watengenezaji wazuri wa solar panels duniani ni wafuatao
1: ujerumani
2: marekani
3: india
Kwa hizo betri na inverter sio mbaya zitafanya vizuri tuu ila kwa panel jaribu kucheki zilizotengenezwa kati ya hizo nchi tatu zina efficiency kubwa kidogo.
 
Duh mkuu.. cyber ghost nina system ndogo ya kuchaji simu. Kwa siku nachaji simu kama 40 maximum.
Natumia Kobe za ac na chaja za kawaida ambazo ni mh500. Sijui ndo tunaangalia hapo.....?

Na system yangu ni panel 300w na betr 2@ N100.
Muda wa kazi ni saa 15. Lakini huwa moto unaisha mapema sana sana masaa 12-13.
Hapo nn shida?

Panel nimeunga parallel.
Baterry nimeunga moja moja ndo inakuwa nafuu nikiziunga moto unaisha mapema.

Chaja controller nilidisconnect niliona inanibania moto
Panel unaweza imeandikwa 300watts lakini hii ni power ambayo imepimwa katika viwango vya 1000w/m², 25°C na 1.5 air mass kiutaalamu wanasema 300watts at STC.
Lakini kiuhalisia panel inapoenda kufungwa kwenye sehemu ya kazi joto la sehemu husika linaweza kuwa linazidi nyuzi 25°C, na uzalishaji wa panel unategemea sana nyuzi joto, kama joto litazidi nyuzi joto 25 basi power ya panel itapungua kwa -0.5%/°C kama umetumia panel ya polycrystaline kwa kila joto litakalozidi juu ya 25.na kama unatumia panel ya monocrystaline itapungua kwa -0.45%/°C kwa kila joto linalozidi 25°C. Panel itatoa power inayolingana na iloandikwa kwenye name plate yake indapo itafungwa sehemu ambayo joto lake ni 25°C au chini ya 25. Joto linapoongezeka voltage inapungua na joto linapopungua voltage inaongezeka. Kitu kingine hautakiwi kuilaza panel yako ilale juu ya bati moja kwa moja maana bati linapopigwa na jua linapata moto hivyo linaongeza joto la panel na kupunguza voltage ya panel.kitu kingine ni manufacturing tolerance hii inakuwa imeshawekwa na watengenezaji wa solar panel kwamba power walioiandika kwenye panel yao inaweza kubadilika kwa +/-5% pi wapo wengine wameandika +/-3% ya rated power. Pia kuna factor nyingine ya uchafu kwenye panel ambayo tunaikadiria kuwa -5% ila unaweza kuiepuka kwa kufanya usafi wa panel yako mara kwa mara.
Swala la charger controller hii ni zaidi ya elimu inayojitegemea maana zipo za aina mbili PWM na MPPT zote hizi zinafanya kazi ya kucontrol voltage na current inayokwenda kwenye battery ila zinazidiana ufanisi labda nikipata muda nitaleta thread ya kuelezea hizi charger controllers practically and mathematically.
 
Panel unaweza imeandikwa 300watts lakini hii ni power ambayo imepimwa katika viwango vya 1000w/m², 25°C na 1.5 air mass kiutaalamu wanasema 300watts at STC.
Lakini kiuhalisia panel inapoenda kufungwa kwenye sehemu ya kazi joto la sehemu husika linaweza kuwa linazidi nyuzi 25°C, na uzalishaji wa panel unategemea sana nyuzi joto, kama joto litazidi nyuzi joto 25 basi power ya panel itapungua kwa -0.5%/°C kama umetumia panel ya polycrystaline kwa kila joto litakalozidi juu ya 25.na kama unatumia panel ya monocrystaline itapungua kwa -0.45%/°C kwa kila joto linalozidi 25°C. Panel itatoa power inayolingana na iloandikwa kwenye name plate yake indapo itafungwa sehemu ambayo joto lake ni 25°C au chini ya 25. Joto linapoongezeka voltage inapungua na joto linapopungua voltage inaongezeka. Kitu kingine hautakiwi kuilaza panel yako ilale juu ya bati moja kwa moja maana bati linapopigwa na jua linapata moto hivyo linaongeza joto la panel na kupunguza voltage ya panel.kitu kingine ni manufacturing tolerance hii inakuwa imeshawekwa na watengenezaji wa solar panel kwamba power walioiandika kwenye panel yao inaweza kubadilika kwa +/-5% pi wapo wengine wameandika +/-3% ya rated power. Pia kuna factor nyingine ya uchafu kwenye panel ambayo tunaikadiria kuwa -5% ila unaweza kuiepuka kwa kufanya usafi wa panel yako mara kwa mara.
Swala la charger controller hii ni zaidi ya elimu inayojitegemea maana zipo za aina mbili PWM na MPPT zote hizi zinafanya kazi ya kucontrol voltage na current inayokwenda kwenye battery ila zinazidiana ufanisi labda nikipata muda nitaleta thread ya kuelezea hizi charger controllers practically and mathematically.
ubarikiwe sana very helpful thread. umesema pannel nzuri ni za kutoka ujerumani india na marekani can you go little bit deeper kutaja kampuni nzuri walau 3 kutoka katika hizo nchi uizosema zinazalisha solar panel nzuri? ili nikifika dukani nisibabaike na kubabaishwa
 
Moja ya Mfumo nilio utengeneza wa change over switch unafanya kaz automatic na Manual
244e764f0a47836156eaa693d27120c6.jpg
Mkuu kwanini umetumia contactor moja je swala la safety apo uliconsiider? Pia naona main switch mbili tan uk na Harvel za nini izi kaka zote?
 
Mkuu kwanini umetumia contactor moja je swala la safety apo uliconsiider? Pia naona main switch mbili tan uk na Harvel za nini izi kaka zote?
Mkuu hiyo harvel sio main switch ila ni Change over switch. Soo nilidevelop mchoro na kuweka Contactor kwa ajili ya ku switch automatic.
The system is working cool and efficiently
 
Mm nahitaji kutengeneza mashine ya kupanda mahindi shambani kwa kutumia nishati ya jua kama source


Solar powered maize planter


Je nnatamiwa ntumie panel ya ukubwa gan labda ili niweze ku operate hyo machine yangu
Hata kwa kupanda shamba la heka kwa siku
 
ubarikiwe sana very helpful thread. umesema pannel nzuri ni za kutoka ujerumani india na marekani can you go little bit deeper kutaja kampuni nzuri walau 3 kutoka katika hizo nchi uizosema zinazalisha solar panel nzuri? ili nikifika dukani nisibabaike na kubabaishwa
Mi natumia TANDAR ni mwaka wa 3 now sijaona imepunguza uzalishaji. Tatizo ni betri.
Hizi ni bei nafuu lkn kuna kampun kama step....bei ni mkas sana. Sijui ndo ubora wa juu? Sijazijaribu. Kwa hapa nilipo tandar...sundar...zina 180 kwa 100W lakn step INA 300. Hebu cyber ghost tuambie ni kwa nn?
 
Mm nahitaji kutengeneza mashine ya kupanda mahindi shambani kwa kutumia nishati ya jua kama source


Solar powered maize planter


Je nnatamiwa ntumie panel ya ukubwa gan labda ili niweze ku operate hyo machine yangu
Hata kwa kupanda shamba la heka kwa siku
Unatakiwa kwanza ujue power ya nashine yako unayoitengeneza ndio utaweza kusize solar panels zako.
 
Mi natumia TANDAR ni mwaka wa 3 now sijaona imepunguza uzalishaji. Tatizo ni betri.
Hizi ni bei nafuu lkn kuna kampun kama step....bei ni mkas sana. Sijui ndo ubora wa juu? Sijazijaribu. Kwa hapa nilipo tandar...sundar...zina 180 kwa 100W lakn step INA 300. Hebu cyber ghost tuambie ni kwa nn?
Panel inapokuwa na power kubwa basi na bei yake nayo huwa kubwa hivyo hivyo maana uwezo wa panel ya 100watts utakuwa ni mdogo sana kulinganisha na panel ya 300watts.
 
Mi natumia TANDAR ni mwaka wa 3 now sijaona imepunguza uzalishaji. Tatizo ni betri.
Hizi ni bei nafuu lkn kuna kampun kama step....bei ni mkas sana. Sijui ndo ubora wa juu? Sijazijaribu. Kwa hapa nilipo tandar...sundar...zina 180 kwa 100W lakn step INA 300. Hebu cyber ghost tuambie ni kwa nn?
Betri nzuri kwa solar system ni rolls 6V/428Ah ukiweza kununua hii battery unaweza dumu nayo kwa miaka mitano bila shida cha msingi uzingatue depth of discharge yake.
 
Back
Top Bottom