Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,525
- 4,090
Hujanielewa Mkuu.Panel inapokuwa na power kubwa basi na bei yake nayo huwa kubwa hivyo hivyo maana uwezo wa panel ya 100watts utakuwa ni mdogo sana kulinganisha na panel ya 300watts.
Zote ni size moja lkn kampun tofauti....na bei inapishana sana kqrb Mara 2