Uliza swali lolote kuhusu solar PV and solar pumps

Kwa nn maji mkuu
Betri zinazoongezwa maji zinafaida nyingi sana ila chache kati ya hizo nyingi ni kwamba zina maisha matefu ukilinganisha na hizo betri za AGM na GEL, pia swala la kiluzifanyia maintenance ni simple, pia storage capacity ya betri huwa inapungua kutokana na kupungua kwa acid ndani ya betri sasa kwa hizi betri ambazo unaweza kuongeza acid unauwezo wa kuongeza capacity yake kwa kuongeza acid kama ikiwa imepungua. Pia baadhi ya watengenezaji wa hizi betri za kuongeza acid wanasema unaweza kucharge na kudischarge hizi betri mara nyingi sana bila ku affect the cycling life of battery tofauti na hizo betri zinazotumia technology nyingine.
 
Betri zinazoongezwa maji zinafaida nyingi sana ila chache kati ya hizo nyingi ni kwamba zina maisha matefu ukilinganisha na hizo betri za AGM na GEL, pia swala la kiluzifanyia maintenance ni simple, pia storage capacity ya betri huwa inapungua kutokana na kupungua kwa acid ndani ya betri sasa kwa hizi betri ambazo unaweza kuongeza acid unauwezo wa kuongeza capacity yake kwa kuongeza acid kama ikiwa imepungua. Pia baadhi ya watengenezaji wa hizi betri za kuongeza acid wanasema unaweza kucharge na kudischarge hizi betri mara nyingi sana bila ku affect the cycling life of battery tofauti na hizo betri zinazotumia technology nyingine.
asante na ubarikiwe,sasa naenda kufanya maamuzi.
kwa kawaida betri inatakiwa uitumie miaka mingapi kabla haijaisha nguvu na kuinunua nyingine?.
 
asante na ubarikiwe,sasa naenda kufanya maamuzi.
kwa kawaida betri inatakiwa uitumie miaka mingapi kabla haijaisha nguvu na kuinunua nyingine?.
Maisha ya betri huwa ni number of cycles ambazo zinakuwa indicated kwenye betri data sheet so kwa mfano ukikuta betri ya 5000cycles maana yake unaweza ukaicharge na kuidischarge mara 5000 mpaka betri kuja kufa na unapochaji mpaka likajaa halafu ukatumia mpaka likaisha hapo unakuwa umeshatumia cycle 1. So wajanja ndio wamegundua kuongeza hizo cycles wao hawadischarge betri mpaka 0% SOC they only go for 50%DOD.
 
Bei za solar pumps zinategemeana na vitu kama vitatu hivi
1:Head (umbali inayoweza kuvuta maji)
2:power ya pump(Hp or kW)
3:pumping capacity (m³/h or L/h)
So bei ya solar pump itategemea sana hivyo vitu na pia wewe mwenyewe unavyoenda kununua solar pump au pump ya kawaida ya AC lazima ujue hivyo vitu, usipo zingatia hivyo vitu ndio utaona matatizo kama yale ya kupata maji kidogo kwenye umbali ulani au labda una tank lata elfu kumi ukatumia siku nzima kulijaza
Boss taja hata makadirio ya bei za hizo ulizoxotaja plz
 
Naomba ufafanuzi mimi nina Panel Watt 40 na nina betrii watt 26 nina taa nane na nina charge sim 6 kwa siku je matumizi yangu ni sahihi kwa siku?
 
Hiyo kitu ina sehemu Tatu.
1 sola
2 battery
3 matumizi.

Hiyo sehemu ya 3 haijatumika.
Tafsiri yake ni kwamba utatumia hadi moto uishe kabisa ndo itazima .
Na betri haitakiwi kuisha moto kabisa.
Ukifunga pale kwenye njia yake inamaana controller ndo itacontroll matumizi kweli.
Ikifika 9V inaacha kupleka moto.
Lakini hapo inapigwa. Hadi utakapozima.

Sijui nimeeleweka....
Mkuu hata yangu nimefunga hivyo ila tatizo lilianzia. Ilipofungwa vizuri taa zilikuwa zinazima hata kama umeme upo. Ila tatizo hilo lilianza baada ya usb port kutofanya kazi bila kujua tatizo nini baada ya hapo kidogo tu taa zinazima. Nataka kununua control charger jingine. Naomba iana bora yenye kumudu sola ya 240 watts na battery za 100N mbili
 
Naomba kujunzwa kidogo nataka Sola ambayo nitapata unit 2 kwa siku maasada wenu na bei yake
 
Waya mzuri wa kutoa moto kutoka kwenye sola kwenda kwenye betri ni aina ipi?
Waya mzuri ni waya ambao utapitisha umeme kwa urahisi ila mzuri ni copper wire ila uwe mnene kuepuka voltage drops zinazoweza kusababishwa na wembamba wa waya ila kiutaalamu wanasema waya mdogo kabisa unaoweza kuutumia kwenye mfumo wa sola ni 2.5mm² ila mm nachoshahuri watu wengi ambao hawajui kufanya hesabu za kupata size ya wire inabidi kati ya sola na betri lako utumie waya wa copper ambao ni stranded wenye unene kati ya 4mm² au 6mm² hapo utakuwa upo safe zaidi

Kingine pia umeme wa solar ni umeme kama ulivyo umeme wa tanesco unaweza kuunguza nyumba endapo Short circuit ikitokea so btn the panel na betri yako hakikisha unatuma mcb ambayo itakuwa ni special for DC.

Karibu
 
Waya mzuri ni waya ambao utapitisha umeme kwa urahisi ila mzuri ni copper wire ila uwe mnene kuepuka voltage drops zinazoweza kusababishwa na wembamba wa waya ila kiutaalamu wanasema waya mdogo kabisa unaoweza kuutumia kwenye mfumo wa sola ni 2.5mm² ila mm nachoshahuri watu wengi ambao hawajui kufanya hesabu za kupata size ya wire inabidi kati ya sola na betri lako utumie waya wa copper ambao ni stranded wenye unene kati ya 4mm² au 6mm² hapo utakuwa upo safe zaidi

Kingine pia umeme wa solar ni umeme kama ulivyo umeme wa tanesco unaweza kuunguza nyumba endapo Short circuit ikitokea so btn the panel na betri yako hakikisha unatuma mcb ambayo itakuwa ni special for DC.

Karibu
Nashukuru sana mkuu, kwa hivyo nikichukuwa waya mbili za 2mm itafaa?
 
nawezaje kucharge laptop bila kutumia inveter,
Inawezekana ila kuna ugumu hasa katika kuset exactly specs za charger.....ie
1..Charging current
2..Constant charging voltage
Vinginevyo unaweza kukuta unaua battery haraka sana.
Sina Imani na hizo DC to DC charger bse zipo generalized bila kujali sana charging specs za computer husika....So the best option ni kutumia Inverter ili charger irregulate hayo mengine ya msingi
 
Hivi wapi naweza kupata MPPT charge conctoller? Na kwa bei gani? Maana hapo kariakoo maduka niliyopitia hawana.
 
Kwa hii system yako matumizi ya umeme ni 300watts × 24 hours =7200Wh or 7.2kWh or 7.2 units per day kwa kuzingatia jiografia ya eneo na siku unazotaka system yako iendelee kufanya kazi hata kama jua halitakuwepo ambazo ni siku mbili.
Kwa load ya 300watts inverter utakayohitaji ni 300watts × 1.3=400watts
Battery capacity= (300w × 24 ×2)/(12× 0.8) =1500Ah
Dukani hakuna battery la 1500Ah so utachua betri za 200Ah nane.
Wakati wa mchana utahitaji current ya 300watts/12volts = 25A kuendeshea load ya 300 watts.
Pia ili kuweza kucharge betri bank ya 1500Ah utahitaji current ambayo ni 1/10th of the battery capacity which is 150A.
Kwayo current ya ujumla unayotakiwa kuwa nayo ni 150A + 25A =175A ila panel ya 250watts huwa inakuwa na voltage Vmp=30volts
So power = 30V × 175A =5250watts so kupata idadi ya solar panels chukua 5250/250= 21 panels kila moja inakuwa na 250watts. Ambapo 750watts zitatumika kuendesha mtambo wako wakati wa jua na 4500watts zitatumika kucharge betri zako kuweza kukaa siku mbili mbele hatakama jua halitawaka.chager controller tafuta ya MPPT ya 100Amps au zaidi kama utapata.
Mkuu habari?

1. Naomba njia sahihi ya kutafuta size ya charger controller na Inverter!!

2. Je ukipanga pannels/battery in parallel zina impact gani katika kuchagua controller na inverter?

Naomba utumie mfano huu ambao umepata 21 pannels!!

Thanks in advace!
 
Back
Top Bottom