Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,335
- 34,413
Je ni kweli ukipiga x ray unapunguza siku za kuishi??Mara chache kadri uwezavyo,standard imeekwa mara 3 kwa mwaka
tofauti na hapo Upige pale tu faida za kupiga hiyo xray zinazidi madhara yoyote utakayopata