Soma hiyoVipi kazi za maofisini SA zinapatikana kwa makwerekwere? Mimi nina taaluma ya IT nataka nikajaribu kutafuta kwa madiba vipi ntatoboa? Wakuu wenye uzoefu ushauri wenu tafadhari
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana ayse kumbe ndivyo Alivyo?Wewe mbongo chafuchafu ulitaka kunikaba mwaka 2009 pale Mozambique ulikuwa Na wezako kama 7 mkashindwa kuchukuwa hela zangu wewe nawezako
Andaa laki sita hadi CAPE TOWN.nauliza kuhusu gharama yakutoka tanzania mpaka cape town kupitia boarder ya tunduma ipoje, na vipi changamoto zake wakati wa safari
Napia kupitia Mozambique vp gharama zake na changamoto zake, mpaka kufika cape town. siku ngapi utachukuwa barabarani mpaka utakapofika...
Nawasilisha
Weka swali lako vizuri
Ni siku tatu mpk nne tuHivyo si kweli kwamba kunahitajika siku nne hadi tano kufika Johannesburg?
HarareZimbabwe inakuwa ni mji gani?
Inategemeana laki nane mpk tisa go end return
zinatukataa kweli siwajua sie hatukawii kukinukisha zinakwepa pia ule usumbufu wa kupekuliwa san na kupoteza muda njiani km ulishaw kuchunguza ukipand hiz bas zetu na ukipanda za wenzet kuanzia zambia za wenzetu hazisumbuliw san njiani km zetu vile sie tumeshajiharibia kwa tabia zetuMimi nauliza kwann HARARE mabus kama INTERCAPE na GREYHOUND yanatukataa WATANZANIA?wakati wa KWENDA SOUTH,,, lakini wakati wa KURUDI hawakatai kutubeba?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ndege mnaozungumzia ni ndege gani?Siku 5 umeokoa muda kiasi gan? Hv ndege hakunaga ku-enjoy? Mapori na mito inakusaidia nn? Ndugu Acha kutetea dhikibali fanya kazi kwa bidii upate pesa ya ndege
Msumbiji hakuna njia ya moja kwa moja pia rushwa nyingi pia Kuna language barrier hata ukiwa na passport utapata Sana tabu
Jhburg to Capetown ni Randi 700 wastan wa. 120k inamaana chakula ni elfu themanin?Andaa laki sita hadi CAPE TOWN.
TUNDUMA TO JOHBURG MAXIMUM LAKI NNE
JOHBURG TO CAPE TOWN MAXIMUM LAKI MBILI.
HAPO NIMEJUMLISHA KILA KITU HADI KULA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msumbiji sikudhauri hakun usafiri was uhakik,rushwa nyingi,language barrier,pia Kuna waasi wa renamo pia dar mpak jorberg andaa lakimbil jorberg to Capetown ni 700 Randi sawa na 120000nauliza kuhusu gharama yakutoka tanzania mpaka cape town kupitia boarder ya tunduma ipoje, na vipi changamoto zake wakati wa safari
Napia kupitia Mozambique vp gharama zake na changamoto zake, mpaka kufika cape town. siku ngapi utachukuwa barabarani mpaka utakapofika...
Nawasilisha
Huna ndugu Johburg utalala wapi? Nikisema maximum namaanisha haizidi hapo na chenji inaweza baki.Jhburg to Capetown ni Randi 700 wastan wa. 120k inamaana chakula ni elfu themanin?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha utani Dar hadi Johburg aandae laki mbili kweli???Msumbiji sikudhauri hakun usafiri was uhakik,rushwa nyingi,language barrier,pia Kuna waasi wa renamo pia dar mpak jorberg andaa lakimbil jorberg to Capetown ni 700 Randi sawa na 120000
Sent using Jamii Forums mobile app
Msumbiji sikudhauri hakun usafiri was uhakik,rushwa nyingi,language barrier,pia Kuna waasi wa renamo pia dar mpak jorberg andaa lakimbil jorberg to Capetown ni 700 Randi sawa na 120000
Sent using Jamii Forums mobile app