SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Wale wote wanaopenda kwenda nchini Afrika Kusini kwa basi au njia ya barabara ila wamekuwa hawana taarifa za kutosha nawakaribisha hapa kuuliza swali lolote nitawajibu.
Pia na wadau wwngine mliowahi kutumia njia hii karibuni mtoe michango yenu tuwasaidie hawa vijana wakasafishe macho kidogo
Kukosa nauli ya ndege haimaanishi ndio usisafiri
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia na wadau wwngine mliowahi kutumia njia hii karibuni mtoe michango yenu tuwasaidie hawa vijana wakasafishe macho kidogo
Kukosa nauli ya ndege haimaanishi ndio usisafiri
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app