Swali langu naomba ndugu mgombea urais Mh. Magufuri una wake wangapu na je ni kweli una kimada? Je kama hujawa mwamifu katika ndoa yako utaweza kweli kuwa mwaminifu kwa wadanganyika mil 48? Ni hayo tu
Hatuchagui MC, tunachagua rais wa JMT
Swali kwa Dr Magufuli;umekuwa ukijinasibu kama ni mtu uliye tayari kupambana na rushwa,ufisadi na uzembe endapo utapewa ridhaa ya kuiongoza nchi,mbona wizara unayoiongoza inatuhumiwa kuwa na hati chafu na ripoti ya CAG pamoja na taasisi nyingine ambazo ziliwahi kuikagua wizara unayoiongoza?Kama umeshindwa kudhibiti rushwa katika wizara yako moja unayoiongoza je utawezaje kuidhibiti rushwa katika nchi kubwa kama hii?
Tatizo waandaji wa mdahalo wanaonekana kumbeba Dr. Magufuli tangu kwenye tafiti zao
Hizi ni porojo.Uliza hivi, Bunge lilishawafukuza wezi wa Richmond.imekuwaje mmekimbilia UKAWA?
Hiyo si hoja maana mdahalo utakuwa live.. Kwa hiyo mambo ya kubebwa hakuna. Labda mseme mnaogopa chatolization problems mbele ya kadamnasi.
Kutokana na uzito wa mdahalo na uchaguzi wenyewe kwa Tanzania na nchi za ujirani NAOMBA MDAHALO HUO UWE KWA LUGHA YA KIINGEREZA
Kwanza tutapata pia kujua uwezo wa ushawishi wa viongozi wetu katika nyanja za kimataifa.
NI MUHIMU SANA
unaishi manzese unauliza kilimo kwanza izo kejeli sasa!!!!!
Sasa si na wewe uulize kama unalo swali?b.w.e.g.e kweli wewe!acha kunifuata fuata,Mimi sina tabia za kibasha.
.....ripoti ya CAG ni porojo......kweli mahaba ya mjinga uona kinyesi kuwa mkate
Mahaba yapo chadema.. Wengine tunakiona kinyesi,wao wanadai ni mkate uliopakwa blueband.
Hawezi shiriki mdahalo unao andliwa na CCMNaomba mungu lowasa ashiriki
Hatutaki Raisi wa midahalo sie