Uliza jambo lolote kuhusu Bahari na safari na vimbwanga vya Baharini

Hivi ukiulizwa swali maana yake anayeuliza hajuwi? Mtu anauliza ili kujuwa upeo wako wa uelewa una level gani..
Kuwa smart mkuu,,
Mimi nimesoma Azania sec ,sikusoma shule za kata,,kama ulivyosoma wewe..
Sasa kweli mtu ambaye umepita azania ni unashupalia swali kuhsu maji kupwa na maji kujaa ? Tena unauliza kuhusu "mafuriko huko maji yanapo kwenda" ? Swali hili kila aliye "bahatika" kupita shule ya sekondari alifundishwa/alijibiwa ??
 
Sasa kweli mtu ambaye umepita azania ni unashupalia swali kuhsu maji kupwa na maji kujaa ? Tena unauliza kuhusu "mafuriko huko maji yanapo kwenda" ? Swali hili kila aliye "bahatika" kupita shule ya sekondari alifundishwa/alijibiwa ??
Duu,,
,basi sitoendelea tena kuuliza maswali magumu mkuu..
 
Nasikia haovwenyeji wabhayo maeneo Wana biashara ya majini na hata serikali ikileta kivuko kitakufa navwao kubakia na vimashua vyao kama kawaida.
Je hili ni kweli?
 
Kwahiyo kupwa na kujaa ndio MASWALI MAGUMU ?
Mbona kujibu imekuwa kipengele?

Unajuwa huu uzi wa muda gn!

Nimeuliza pia maji yakijaa yanatokea wapi?

Na yakipunguwa yanakwenda wapi? Maana hata deep sea yanapunguwa pia.

Nadhani utanijibu kwa msaada wa Google..
 
Ngoja nikujibu swali lako kisayansi zaidi

Pale nungwi sio kama kuna maji utayaona yanapita au yanatembea kwa kasi

Pale nungwi kuna mstali wa nguvu ya sumaku ya Dunia unakatisha ( EARTH MAGNETIC FIELD)

Ndio maana vyombo vya majini vikipita pale vinayumba na sio tu vyombo vya majini hata Ndege ( aeroplane) inapopita angani katika usawa ule wa Nungwi pia inayumbaView attachment 1483507View attachment 1483508

Namba7
 
Ngoja nikujibu swali lako kisayansi zaidi

Pale nungwi sio kama kuna maji utayaona yanapita au yanatembea kwa kasi

Pale nungwi kuna mstali wa nguvu ya sumaku ya Dunia unakatisha ( EARTH MAGNETIC FIELD)

Ndio maana vyombo vya majini vikipita pale vinayumba na sio tu vyombo vya majini hata Ndege ( aeroplane) inapopita angani katika usawa ule wa Nungwi pia inayumbaView attachment 1483507View attachment 1483508

Namba7
 
Umenijibu Kienyeji ( Kipuuzi ) sana na hakuna hata Jibu la Kitaalam la Masuala haya ya Bahari ulilojibu hapa. Huna ukijuacho kuhusu Bahari Ndugu.
Wewe unayejua ungeleta unachojua tujifunze. Kajitanabahisha ni nahodha wa majahazi. Wewe unaleta maswali ya darasani kama unamuuliza Mtafiti wa wa baharini.
 
Mbona kujibu imekuwa kipengele?

Unajuwa huu uzi wa muda gn!

Nimeuliza pia maji yakijaa yanatokea wapi?

Na yakipunguwa yanakwenda wapi? Maana hata deep sea yanapunguwa pia.

Nadhani utanijibu kwa msaada wa Google..
Mimi sio mleta mada, hivyo sina haja ya kukujibu kwa msaada wa chochote, na ingekuwa kukujibu nisingetaka msaada, niliyasoma hayo miaka mingi iliyopita nilipokuwa nikisoma sekondari. Tizama mleta mada ni nani ndiyo mjibiane kama kuna umuhimu wa kukujibu . Mimi nilishangazwa na na kushupaa kwako kua maji kupwa na kujaa ni SWALI GUMU.
 
1. Nielekeze kuhusu sababu za kutokea kwa tambarare ya abysmal " abbyssal plains"baharini.
2. Nyufa za kivolkano " volcanic faults" zinazotokea baharini na matokeo yake.
3. Nadharia zinazoelezea maumbile ya baharini.
4. Samaki wanaozalisha umeme wanaopatikana baharini.
5. Kilimo cha zao la mwani na mikoko.
Hizi Sasa sifa

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 

Jamaa mmoja aliwahi kuniambia kamwe hakuna kitu kibaya kama kuwa mjuaji alafu hujaelimika,ni tatizo kubwa sana.

Ni bora kuwa mjuaji lakini kichwani umeelimika(sio kitabu cha darasani lakini) mwisho wa kunukuu.
Jamaa yupi
 
Back
Top Bottom