Lipi mkuu
HahaaKatikati mkuu
Sasa tutajuwaje kama tunapita karibu na nyumba za majini? Na inakuwaje kama tukipita hapo naye?Ndio anaweza safiri ila endapo jahazi itapita mbali na nyumba za majini endapo jahazi ikipita karibu basis muwe makini nae
Eti maji chumvi(bahari) hayaingiliani na maji baridi(mto,ziwa..)?Habari zenu waungwana,
Leo nipo hapa kwa ajili ya maswali ambayo yanahusu mambo ya bahari tu. Mimi ni nahodha wa majahazi ya mizigo Mafia, Kisiju, Kilwa, Nyamisati na Koma.
Uliza swali linalohusu maeneo hayo pia kuhusu safari na vimbwanga vya baharini.
Karibuni.
Aisee, hii story tamu sana. Kingine, hivi ni safe mtu kuogelea baharini ukiwa hujuwi vituko kama hivi ulivyovitaja?Zipo sehem maalum mkuu wale hukaa kama sisi wanaishi popote ila hawakai popote
Hili linajibika, chanzo ni aina ya msingi (foundation).Je makandalasi wanawezaji kujenga madaraja juu ya maji na yasiporomoke, nahitaji kuelewa kwa kina
Mi mwenyewe amegoma kunijibuChongoe tabia yako ya kuchagua maswali yakujibu hujaacha tu
Mfano vitu gani?Sio salama ila kuna vitu ukiwa navyo utakuwa saf
Hajawahi kua serious na kazi yakeMfano vitu gani?
Jamaa miyeyusho sanaaaHajawahi kua serious na kazi yake
Kwamba nifunge safari nije mafia kwako nione?? We jamaa wewe!Hujawahi Fanya hii kazi nakupa njoo nauli kwangu alafu uje uone
We sema tu kwenye ukweli uongo huwa unajitengaMkuu nikielekeza hapa wadau watasea ushirikina wakati baharini kuna viumbe nao wanaishi