umeuliza nini nikujibu mimi apa.Mbona maswali hayajibiwi ?
Njozi kubwa ni kuua upinzani 2020 usimsumbueJe Magufuli ana njozi ipi kuhusu Tanzania?
Maana kila kitu anafanya kile cha Nyerere alichokuwa anafikiria
Watu wenye sirahaNani anayefanya mauaji huko mkoani Pwani wilaya za Rufiji, Kibiti na Mkuranga?
Nipe tofauti kati ya mfanyabiashara na mjasiriamali?? Je wajasiriamali wote ni wafanyabiashara au wafanyabiashara wote ni wajasiriamali au yote sawa??
thanks mkuuWajasiriamali wote ni wafanyabiashara lakini sio wafanyabiashara wote ni wajasiriamali.
Mfanyabiashara anafanya trade tu, exchange of goods/services or buying and selling of goods/services. Mfano, muuza duka anayetafuta hela ya kula, miaka nenda miaka rudi hana maendeleo.(Mfanyabiashara anaweza kuwa na maendeleo lakini anafanya biashara ileile kwa namna ileile, yani hajiongezi)
Mjasiriamali anaenda mbali zaidi, anawaza kuboresha au kukuza biashara yake, kuongeza biashara. Watu wanapoona tatizo, mjasiriamali anaona fursa. Hawa ndo watu wenye mafanikio makubwa kwa kuwa ni wabunifu na wana jicho la mbali la kuona fursa ya biashara.
Naomba kufaham ukweli kuhusu second selection Je ni uhakika wataenda kama walivyohaidiwa na wizara husika??thanks mkuu
Mi nahisi atakuwa muuaji ndie anafanya mauaji hukoNani anayefanya mauaji huko mkoani Pwani wilaya za Rufiji, Kibiti na Mkuranga?
unakula ili uishiTunaishi ili tule au tunakula ili tuishi
BY THE WAYMaana ya BTw