Shekuna
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 688
- 549
Bachelor of Arts in Political Science and Public administration ni moja kati ya programmes bora zinazotolewa Afrika Mashariki.
UDSM inatoa mafunzo kamilifu na yenye kiwango kikubwa ila kutengeneza Tanzania na Afrika ya baadae.
Kwa swali lolote kuhusu PSPA katika chuo kikuu cha Dar Es Salaam unaweza ukauliza na utajibiwa,hasa wale wanaotarajia kujiunga mwaka wa kwanza ili wasije wakakosea vigezo na masharti katika uombaji..
UDSM inatoa mafunzo kamilifu na yenye kiwango kikubwa ila kutengeneza Tanzania na Afrika ya baadae.
Kwa swali lolote kuhusu PSPA katika chuo kikuu cha Dar Es Salaam unaweza ukauliza na utajibiwa,hasa wale wanaotarajia kujiunga mwaka wa kwanza ili wasije wakakosea vigezo na masharti katika uombaji..