Uliza chochote kuhusu chuo cha afya COTC Mtwara

Uliza chochote kuhusu chuo cha afya COTC Mtwara

Naomba uniambie mimi ambaye sikusoma kabisa Physics O level lakini nimesoma Chemistry, Bio na Maths na matokeo yangu ni

Maths C
Chem B
Bio C

Naweza soma course gani ya afya hapo chuoni kwenu.
 
Naomba kuuliza mm nimemaliza 2012 form 4 na six 2015 je naweza omba kozi ya afya diploma vyuo vya serikali Kama Mtwara COTC
 
Naomba kuuliza mm nimemaliza 2012 form 4 na six 2015 je naweza omba kozi ya afya diploma vyuo vya serikali Kama Mtwara COTC
Mara nyingi vyuo vya serikali havipokei waliomaliza miaka ya nyuma Sana,Kwa application za Mwaka huu hawajaainisha kigezo hicho, Kuna uwezekano wakachkua wa miaka hiyo yenu, Kwa usahihi zaidi jiridhishe kwa kuwapigia nacte kwene hotline zao.
 
Vip naomb kuuliz majib kwa walioomb nafas za masom 2018/2019 yatatoka mwezi gan
 
Hivi hapo chuoni unatakiwa kupataje hilo uweze kusoma pharmacy je ukiwa na maths D,Chen D,bios D unaweza kusoma au vipi je ada ni kama shilingi ngapi kwa mwaka
 
Back
Top Bottom