Phamacy wasomaNataka nijiunge hapo ukiachana na community health ambayo nimeshasoma kozi ipi naweza pata kwa ufaulu huu
CHEMISTRY - D
BIOLOGY - C
PHYSICS - SIKUSOMA
ENGLISH -C
GEOGRAPHY - C
MATHEMATICS - F
HISTORY - C
KISWAHILI - D
CIVIC - D
Msaada hapo wakuu
Doh bora nisubiri muda wa application sasaPhamacy wasoma
Naulizia kuhusu joining instructions clinical officerUliza chochote kuhusu chuo cha Afya mtwara nitakujibu
CHUO KIPO MTWARA MAENEO GANI YA MJI??Uliza chochote kuhusu chuo cha Afya mtwara nitakujibu
Kipo mjiniCHUO KIPO MTWARA MAENEO GANI YA MJI??
Chuo kinafunguliwa lini?Community health, pharmacy, clinical as na clinical officer
Tareh 7/10/019Chuo kinafunguliwa lini?
Naulizia kuhusu joining instructions clinical officer
NdioUmeipata?
Hapan hiyo sina coz mim nimechaguliwa na tamisemiNaomba unitumie link ya kuangalia mjina ya waliochaguliwa kujiunga COTC mtwara mwaka 2019/2020
degee ya mD mnatoa?? kama mnatoa mtu alieptia OFP mtamchukua??Hapan hiyo sina coz mim nimechaguliwa na tamisemi
Ngoja nikusaidie mwana ofp mwenzangu udom MD omba,st Joseph hicho Chuo cha mtwara ni Chuo cha kati kinatoa dip na chetdegee ya mD mnatoa?? kama mnatoa mtu alieptia OFP mtamchukua??
Ndio