Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,146
- 6,051
siwezi bisha lakini...kuna jamaaa alikua mtu wa dini sana alioa malaya aliekua kashindikana pale kitaaa kutokana na yule jamaaa kumjali na kumtunza yule dem alizaa na jamaa watoto watatu na dem alikua ametulia mpaka navo kuambia wamejenga kitunda na mtoto wao wa kwanza yupo form2 ....hao ndo walio nipa fundisho aisee .Hakuna malaya yeyote anayeoenda kufanya kazi ile amin nakuambia tafuta malaya yeyote muulize kiistaraaabu tu kwa nn anapenda hiyo kazi....
Unayo namba ya Gigi nimuulize, nitakurudishia jibu.