Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,513
hehehehee kimbia basi haraka uondoke kwenye topic hii
:shock:oaeep::car:
hehehehee kimbia basi haraka uondoke kwenye topic hii
Every Rule has an exception....., Ni kweli majority (sio wote) huwa hawadumu mpaka ndoa... Na sababu kubwa ni kutokuwa na uvumilivu ni vigumu kwa watu kukaa wote kwa muda mrefu, bila kuchokana..., sasa wengi huwa wanapata first boyfriend/girlfriend wakiwa lets say 18-20 sasa hawa wakikaa wote sanasana ni miaka mitano au saba by the time linakuja wazo la ndoa they are separated already.., wakati yule anayekuja wakati mume/mke yupo ready kwa ndoa hawakai sana wanawekana ndani.Hivi ni kweli mtu wako wa kwanza uliyeanza nae mahusiano ya mapenzi huwa hamdumu hadi kufikia ndoa?
halaf wewe mbona hauhuzurii lab. siku hizi au ushapata kipedeshee kinakugaia hela za cafe? ,nikikukosesha razi utafeli ujue. kaz kwako.halafu wewe si umeambiwa usimamie pms tu.
Ntakusema kwa mods.
Inawezeana sana tu mpenzi! hata mimi nimeolewa na mpenzi wangu wa kwanza
Ni kweli majority (sio wote) huwa hawadumu mpaka ndoa... Na sababu kubwa ni kutokuwa na uvumilivu ni vigumu kwa watu kukaa wote kwa muda mrefu, bila kuchokana
halaf wewe mbona hauhuzurii lab. siku hizi au ushapata kipedeshee kinakugaia hela za cafe? ,nikikukosesha razi utafeli ujue. kaz kwako.
haya, mi nitasubiri feedback, wewe ni wa kwanza kwake au yeye wa kwanza kwako?
tatizo siku hizi xperiments zinakushinda. Hadi mimi ndio nikufundishe. Lol!
Nitakuja leo tufanye revision.