Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,950
😂😂😂 namrudia “My Albert Tomba” nampenda kinyama!! Ngoja nimuwahi kabla hawajamnyakuaVizuri, mrudie innocent man.
😂😂😂 namrudia “My Albert Tomba” nampenda kinyama!! Ngoja nimuwahi kabla hawajamnyakuaVizuri, mrudie innocent man.
Ww amini hivo 😜Sijui niamini hilo jirani ? Hebu nishauri
Jirani sipo kitambaa cheupe wala cheusi, nimejaribu tu kusema jinsi maraha yalivyo alafu mtu akuache au akusaliti uwe unawaza hivi ni kweli kuna mwingine ndio anapewa kama ilivyokuwa kwangu? 😐Jirani leo umechachuka mno au uko kitambaa cheupe?? 🤣🤣🤣
Mpende kabisa ana deserve, dunia hii mwanamke akupende umekuwa pesa? Kwahiyo wanawake wa hivyo ni wachache sana mmoja wapo ni huyo wako.Ni kweli. Ngoja nimpete tu chimamy wangu, nimpe upendo anaostahili
Sawa jirani mabadiliko huanza na weweWw amini hivo 😜
Asante mate!Pole sana una mahaba mazito..!! Ukipata nafasi ya kupenda PENDA na ukikinai ondoka usigeuke nyuma.!
😂😂😂😂😂 Atleast mana sio kama mwanzo 😘
Ww itabidi tukuweke kwenye kitabu cha kumbukumbu 😂Bora ninyi mnaliaga mkiwa mmebreakup, Mi mwenzenu naliaga nikiwa niko kwenye mahusiano, naliaga nikiwa bado najali, naliaga nikiwa najaribu kila liwezekanalo kuyafanya mahusiano yasife. Ila once nikitangaziwa kuachwa/ nikitangaza kuacha alooooh! Nakuwaga na roho ya jiwe. Silii ndio kwanza naenda kujipongeza kuwa atleast i tried 😀😀
Break up huwa ni hatua ya mwisho kabisa baada yakuwa nimepambana sana, mimi ni king’ang’a jamani. 🤣 ila nikishakubali yameisha, Weeeee!
Ujana bwana! Bora nilishapita.
Kuna muda unawaza alivyokuwa anaifata kwa juu ndo kabisa unaanzisha vita 🤣🤣🤣Jirani sipo kitambaa cheupe wala cheusi, nimejaribu tu kusema jinsi maraha yalivyo alafu mtu akuache au akusaliti uwe unawaza hivi ni kweli kuna mwingine ndio anapewa kama ilivyokuwa kwangu? 😐
🤣🤣🤣🤣 Umemaliza vitabu kabisa! HahahaWw itabidi tukuweke kwenye kitabu cha kumbukumbu 😂
Kuna demu aliwahi kuniambia hv Mbaga unajua kuwa unaniboa mpaka kuna muda sitaman kukuona na hapo mm ndo niko top romantic Ya uwezo wangu wa mwisho Kumbe mwenzangu namboa, haya mapenzi KMMK 🙌
Hy Tomba vp tena mamaa angu mbona mm nilikuwa mstaarabu kuheshimu maamuzi yako ya mpaka ndoa ndio tufanye.? Afu umeanza kuniita Albert tangu lini.?😂😂😂 namrudia “My Albert Tomba” nampenda kinyama!! Ngoja nimuwahi kabla hawajamnyakua
"Albert TOMBA" nishaelewa why ulilia, ok good night dogo😎😂😂😂 namrudia “My Albert Tomba” nampenda kinyama!! Ngoja nimuwahi kabla hawajamnyakua
😂 hapo wenye roho nyepesi ndio humwaga chozi, akiwaza alivyokuwa anaidondokea ndio kabisa.Kuna muda unawaza alivyokuwa anaifata kwa juu ndo kabisa unaanzisha vita 🤣🤣🤣
😂😂😂😂 Dah! Nimecheka mpk basi!! Hivi Mbaga kwann leo umenikalia kooni hivi??Hy Tomba vp tena mamaa angu mbona mm nilikuwa mstaarabu kuheshimu maamuzi yako ya mpaka ndoa ndio tufanye.? Afu umeanza kuniita Albert tangu lini.?
Imagine ww ndio upo kwenye level ya mwisho kabisa ya kuwa romantic Afu Mtu wako anakuambia unamboa 😔🤣🤣🤣🤣 Umemaliza vitatu kabisa! Hahaha
Unazingua Ujue 😂😂😂😂😂 Dah! Nimecheka mpk basi!! Hivi Mbaga kwann leo umenikalia kooni hivi??
😂😂😂 hilo ni jina nimelitoa kwa bibi Kasie Mahaba bana sio unavyohisi wewe"Albert TOMBA" nishaelewa why ulilia, ok good night dogo😎
Ww ndo unazingua umenikomalia km kweli vile 😂😂😂Unazingua Ujue 😂
Acha bc ufala mamaa 😂Kuna muda unawaza alivyokuwa anaifata kwa juu ndo kabisa unaanzisha vita 🤣🤣🤣