Uliwahi kukumbana na hili

Uliwahi kukumbana na hili

Wanaume tunaojielewa na wenye mapenzi ya kweli, tunapenda papuchi, asikudanganye mtu.... Yaan umkubalie mwanaume miez nane halafu asiombe papuchi huyo atakuwa shoga... labda aombe halafu umnyime hapo atavumilia kipindi akiendelea kupata service ndgo ndgo kwa wengine..

Ni hayo tu

Kuomba unaomba ila hupewi lkn si kipimo chakusema hupendwi sababu tu umenyimwa kipochi manyoya
 
Kuomba unaomba ila hupewi lkn si kipimo chakusema hupendwi sababu tu umenyimwa kipochi manyoya

Tatizo hizo plan za kwamba ni siku gani utanipa unakuwa unazijua mwenyewe, sasa mimi nitahisi tu kuwa unamegwa somewhere kwa sababu sio malaika kwamba nitajua 98% nini unafikiria...

Btw unaweza poteza mwaka halafu unakuja kupewa game afu unakuta demu anacheza kiwango cha taifa stars na hapo ndio mnaishiaga kusema wanaume wote mbwa, tumekaa mda mrefu amenipotezea muda na mengine mengi..
 
Tatizo hizo plan za kwamba ni siku gani utanipa unakuwa unazijua mwenyewe, sasa mimi nitahisi tu kuwa unamegwa somewhere kwa sababu sio malaika kwamba nitajua 98% nini unafikiria...

Btw unaweza poteza mwaka halafu unakuja kupewa game afu unakuta demu anacheza kiwango cha taifa stars na hapo ndio mnaishiaga kusema wanaume wote mbwa, tumekaa mda mrefu amenipotezea muda na mengine mengi..

Vice versa is true si kila anaukusubirisha anatoa kwingine
 
Ila 98% ukiona mwanaume anasubiri papuchi mwaka basi jua anagegeda wengine, so siku ukimpa papuchi halafu iwe kiwango tofauti na alizokuwa anapata heheheh Yajayo yatasikitisha sana.

Thank me later feysher

If he's meant for me he will stay regardless wat he experience huko ndani ila kama heat n run haitomsumbua
 
If he's meant for me he will stay regardless wat he experience huko ndani ila kama heat n run haitomsumbua

Jionee hapa huyu ndugu amependa ila angalia sababu inayotaka kumkimbiza, na assume angekuwa hajapewa mwaka mzima angefanya nini..??

 
Jionee hapa huyu ndugu amependa ila angalia sababu inayotaka kumkimbiza, na assume angekuwa hajapewa mwaka mzima angefanya nini..??


Kuna sababu nyuma ya pazia either ni mwenendo wa ke or ameshajifungua or ugonjwa or me anamaumbile madogo utaona mwishoni mtoa mada anaomba kujuzwa kama kuna njia ya kumsaidia mwenza wake so he is willingly to go extra ndoinaitwa LOVE
 
Kuna sababu nyuma ya pazia either ni mwenendo wa ke or ameshajifungua or ugonjwa or me anamaumbile madogo utaona mwishoni mtoa mada anaomba kujuzwa kama kuna njia ya kumsaidia mwenza wake so he is willingly to go extra ndoinaitwa LOVE
Mmmmmm
 
Tatizo hizo plan za kwamba ni siku gani utanipa unakuwa unazijua mwenyewe, sasa mimi nitahisi tu kuwa unamegwa somewhere kwa sababu sio malaika kwamba nitajua 98% nini unafikiria...

Btw unaweza poteza mwaka halafu unakuja kupewa game afu unakuta demu anacheza kiwango cha taifa stars na hapo ndio mnaishiaga kusema wanaume wote mbwa, tumekaa mda mrefu amenipotezea muda na mengine mengi..
Umesema vyema chief
 
Mademu ndio zao huwa wanakuwa na wanaume zaidi ya mmoja ila na sisi wanaume tunakuwa na wanawake zaidi ya mmoja kwa ngoma droo
 
Unamaanisha kuna viumbe hapa duniani bado wanamfuatilia Demu miezi 8!!?be serious mkuu!,si afadhali ulime kilimo cha kumwagilia utakuwa umeshavuna Mara tatu!
Acha ujinga,Demu akizingua Mara tatu ndani ya week piga chini
Habari ya jumapili wana MMU..

Niende kwenye mada kuwa jamani kuna mrembo mmoja hapa kitaa nilikua namuelewa sana kitambo hichoo ila kwa sasa BIG NO....

Kwa sababu nilimfukuzia karibu miezi nane aiseee.... Alikubali ila mzigo kutoa ilikua changamoto
Uswahili mwingi sana tena sio mchezo....

Nikaamua kumchana ukweli kwamba kila mtu na mishe zake aendelee nazo hiyoo usiku nilimpigia simu
Nikazima na kulala hee!
Asubuhi naona sms kwa fujo zinaingia tena sio mchezo kwamba Nisamehe yaishe ananiambia wewe ndio mtu pekee kwangu. .. ..


Anasema kweli najua nimekukatili kutokukupa KUPATA kwa sababu kuna jamaa nilikua naye ila namuona hana msimamo na upendo kama wako wewe ndio wangu Nisamehe


Kila siku kilio chake hichoo aiseee....
Nikasema kimoyomoyo kumbe hawa viumbe huwa wanaweka Plan B ya mtu wao special ehee....
Ila najiuliza kama alikua ananipenda why alikua hanipi mzigo

Nimemfuta kwenye ubongo namuona ananichora......


Share experience yako na wewe
 
Back
Top Bottom