OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Umeliwa mkuuNa hawakuja tukutane hapa.
Ukweli inauma saana hawa wasichana wa fb nilikutana na mdada mmoja tu Kawa marafiki mwisho tukabadirishana mawasiliano ya simu.
Basi bana kuchat na nini mwisho tukaanza kutongozana hatimae nikajiona mshindi baada ya kukubaliwa.
Mtoto anakaa Arusha mie Dar huko na uku huko oh nitumie nauli nataka nije nikaona isiwe taabu hamsini hiyo oh bby kesho nakuja na mimi sawa.
Kesho yake piga simu piga sim hamna kitu nikajua nishaumiaaa sina hamu na madem wa kutumiwa nauli nimejifunzaaa