Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,927
- 86,783
I second u!Ndiyo.
Lakini huwa hakuna chuki isiyo na sababu.
Ni lazima sababu iwepo.
Cha kuchekesha zaidi, ni pale unapochukiwa na mtu ambaye humjui naye hakujui.
Let that sink in….
I second u!Ndiyo.
Lakini huwa hakuna chuki isiyo na sababu.
Ni lazima sababu iwepo.
Cha kuchekesha zaidi, ni pale unapochukiwa na mtu ambaye humjui naye hakujui.
Let that sink in….
Saa nyingine ni damu tu zimepishana!Chuki binafsi mkuu zipo kuna watu kadhaa niliwahi kupiga nao story unata mtu flani anamchukia ukimuuliza kwa nini amchukie anasema nashangaa tu nalichukia
Na wala hakuna muingiliano wowote katika maisha yenu, wala ratiba ya kukutana haipo! Watu wanaumwa!Ajabu zaidi unaweza kuchukiwa na mtu ambaye hata hakufahamu vizuri, humjui hakujui na wala hamjawahi kukutana sehemu yoyote, Haya ni maradhi makubwa Sana....
Mimi Kuna ndugu yangu ananichukia kisa simsaidii. Hilo tu. Nilikua namsaidia hapo awali lakini mambo yangu yakaanza kuwa magumu, watoto wapo shule, harakati za ujenzi etc. ikawa Kila akiomba hela Sina. Hiyo ni sababu ya kutosha kunichukia?Ndiyo.
Lakini huwa hakuna chuki isiyo na sababu.
Ni lazima sababu iwepo.
Cha kuchekesha zaidi, ni pale unapochukiwa na mtu ambaye humjui naye hakujui.
Let that sink in….
Pia mm nachukiwa na watu mpaka kuna muda nalia mana kuna ndugu wanataka msaada wangu wakati siwezi kaz yeyote nina kifua kikuu.Mimi Kuna ndugu yangu ananichukia kisa simsaidii. Hilo tu. Nilikua namsaidia hapo awali lakini mambo yangu yakaanza kuwa magumu, watoto wapo shule, harakati za ujenzi etc. ikawa Kila akiomba hela Sina. Hiyo ni sababu ya kutosha kunichukia?
Sorry. Ndugu lawama sanaPia mm nachukiwa na watu mpaka kuna muda nalia mana kuna ndugu wanataka msaada wangu wakati siwezi kaz yeyote nina kifua kikuu.
Ni kama humu JF tuu, unaweza kumchukia MTU mnayependana Sana kitaa ila kwenye kuchangia mada humu unamchukua Hadi unatamani mzichape siku moja.Ndiyo.
Lakini huwa hakuna chuki isiyo na sababu.
Ni lazima sababu iwepo.
Cha kuchekesha zaidi, ni pale unapochukiwa na mtu ambaye humjui naye hakujui.
Let that sink in….