sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,406
- 19,361
Nakumbuka baada ya kumaliza chuo 2015 nlikuwa na mategemeo makubwa sana ya ajira ila hali haikuwa kama nlivyowaza.
Nlipitia msoto wa kama mwaka mzima hivi na 2016 nilibahatika , kiukweli ilikuwa ni bahati + vi connection.
Mshahara wangu wa kwanza kuupata baada ya makato ulikuwa Milioni 1 na laki 4 na elf kadhaa, nikiwa kama msaidizi wa hesabu (nlikuwa na degree ya uhasibu bila cpa, sikuweza kujiita muhasibu)
Basi nakumbuka ndio kwanza nina miaka 23 hapo, 😁😁 kichwa kinawaka moto.
Nakumbuka kitu cha kwanza nlituma la laki 5 nyumbani wakafrahi, sasa nikabakiwa na laki 9.
Kwa mtu mwengine ni pesa ya nyanya ila kwangu ilikuwa nyingi sana wakuu,
Nilinunua vinguo kama za laki 1 na nusu hivi, suruali tatu na mashati kadhaa, ni mtumbani (msinicheke)
Nlihamia geto jipya nikalipia miezi mitatu , 300 ikakatika.
Unga wa kutosha, mchele wa kutosha, dagaa za kutosha, kiasi kikakatika
Dem wangu nlikuwaga hadi namuonea aibu maana alinichapa kagepu, yeye alianza kutengeneza hizi keki alikuwa na wateja wengi tu alikuwa hakosi faida ya 20 kwa siku, kuna kipindi hadi alikuwa ananipa, koukweli kama mwanaume ilikuwa inaniuma, Weekend tulienda nje kidogo ya town kuspend laki 2 ikasepa
Vingine nmesahau
Vingine nimesahau.
Nlipitia msoto wa kama mwaka mzima hivi na 2016 nilibahatika , kiukweli ilikuwa ni bahati + vi connection.
Mshahara wangu wa kwanza kuupata baada ya makato ulikuwa Milioni 1 na laki 4 na elf kadhaa, nikiwa kama msaidizi wa hesabu (nlikuwa na degree ya uhasibu bila cpa, sikuweza kujiita muhasibu)
Basi nakumbuka ndio kwanza nina miaka 23 hapo, 😁😁 kichwa kinawaka moto.
Nakumbuka kitu cha kwanza nlituma la laki 5 nyumbani wakafrahi, sasa nikabakiwa na laki 9.
Kwa mtu mwengine ni pesa ya nyanya ila kwangu ilikuwa nyingi sana wakuu,
Nilinunua vinguo kama za laki 1 na nusu hivi, suruali tatu na mashati kadhaa, ni mtumbani (msinicheke)
Nlihamia geto jipya nikalipia miezi mitatu , 300 ikakatika.
Unga wa kutosha, mchele wa kutosha, dagaa za kutosha, kiasi kikakatika
Dem wangu nlikuwaga hadi namuonea aibu maana alinichapa kagepu, yeye alianza kutengeneza hizi keki alikuwa na wateja wengi tu alikuwa hakosi faida ya 20 kwa siku, kuna kipindi hadi alikuwa ananipa, koukweli kama mwanaume ilikuwa inaniuma, Weekend tulienda nje kidogo ya town kuspend laki 2 ikasepa
Vingine nmesahau
Vingine nimesahau.
