Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,759
Haya yote ni masuala ya utamaduni wa kijinga wa hizi nchi masikini za kiafrika.Nchi zilizoendelea kama sweeden,Norway,e.t.c mwanamke huwa anaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya kumpenda mtu,kwa sababu atakosa furahaa kama ataishi bila ya huyo mtu.Kwenye nchi hizo mtu anaweza kuingia kwenye mahusiano akiwa na miaka hata 80 kwa sababu ndiyo muda/umri ambao maybe amepata mtu anaempenda.Huo ndo ukweli aise.hakuna kitu inamsumbua mwanamke kama umri umeenda,mtoto huna,hutongozwi,wala hakuna simu inayopigwa usiku ya kimapenzi zaidi ya simu za kazini na mwisho ni saa kumi jioni,na hakuna mwanaume ambae anataka kutengeneza fyucha na wewe..aise acha hiyo kitu bhana..
Mwanamke ambae Amekosa vyote hiyo na yuko sawa kabisa basi huyo ako na shida ya maana
Asante kwa ushauri japo umeniita komamanga😂Mkuu endelea kumdanganya jamaa akamle then akute binti ni mtamu kunoga! Hakika komamanga la watu litanasa na likinasa likashindwa kutokana lawama zitaletwa humuhumu..😂
Ushauri mzuri sana huu....Wengi wamekushauri eiza uanchane nae au uchape usepe. Mimi nitakushauri tofauti kidogo. Hebu kwa sasa mtazame Prisca kama mtu aliyepevuka na anaejitambua. Unakosea kumlaumu mtu wa form 5 kukukataa kimapenzi!!! Huyo alikuwa mtoto jomba. Kweli wewe ulivyokuwa form 5 kiakili ndio ulivypo sasa? Na inaonekana bado unampenda Prisca, acha ligi zisizo na future, kwa sasa wote mmeshapevuka tuliza mpira. Mpe nafasi wala usichukulie maubishani ya form 5. Mpe nafasi, pimeni afya jenga familia kijana. Kweli ulinganishe maisha ya kwenda bichi komba na monita ndio yakunyime future na umpendae?
Yaani jamiiforums, nataka mnipe ushauri nyie mnakuja kunichekesha. Sasa kaka nikusubirie wapi ?😂Ngoja nakuja, nisubiri hapohapo....
Samahani mkuu naomba uwe salimie huko Norway na sweden..Haya yote ni masuala ya utamaduni wa kijinga wa hizi nchi masikini za kiafrika.Nchi zilizoendelea kama sweeden,Norway,e.t.c mwanamke huwa anaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya kumpenda mtu,kwa sababu atakosa furahaa kama ataishi bila ya huyo mtu.Kwenye nchi hizo mtu anaweza kuingia kwenye mahusiano akiwa na miaka hata 80 kwa sababu ndiyo muda/umri ambao maybe amepata mtu anaempenda.
Kwenye nchi zilizoendelea mtu haiingii kwenye mahusiano kwa sababu ya umri kwenda au kwa sababu ya kupata mtoto.Kuingia kwenye mahusiano kwa sababu umri umeenda au kwa sababu ya kuzaa huo ni ufala na umasikini wa akili.Maisha ni mafupi sana,kuna umuhimu wa kutanguliza furaha mbele kuliko chochote kile.
Mada imeisha fuata ushauri huu hapa.Kula mzigo sepa huyo kafata future kwako tu
Nielimishe kakaAisee, ukioa huyo utapata taabu sana, ova
Mimi siwezi kukosa furahaa kwa sababu ya tamaduni za kipuuzi.Ndugu zangu walinilazimisha nioe eti kisa nazeeka,nikawaambia ninyi ndiyo mnakuja kuishi na huyo mwanamke au ni mimi?Sasa hivi wamenitenga eti kisa sitaki kuoa,yaani maisha yangu binafsi yanaingiliwa na watu kisa ni tamaduni!Samahani mkuu naomba uwe salimie huko Norway na sweden..
Mimi nipo Tanzania
Na huo mfano wako ulenge sehemu husika.
Nchi yangu (nyumbani kwangu)pakiendelea inatosha kabisa..
Hizo habari za nchi gani kuendelea waachie wenye nchi zao.
Nilitegemea umwambie mwenye uzi kama bado anampenda prisca wafanye maisha...kumbe unaniletea malinganisho ya bara na bara[emoji28][emoji28][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji3344][emoji3344][emoji3344]
Komamanga😂😂😂 we fall Sana🤣🤣🤣Mkuu endelea kumdanganya jamaa akamle then akute binti ni mtamu kunoga! Hakika komamanga la watu litanasa na likinasa likashindwa kutokana lawama zitaletwa humuhumu..😂
Asante sana. Wasiwasi wangu ni je, amekuja kwa moyo mkunjufu ?Nakushauri mule kabisa,anaweza kuwa mke mwema maana maisha ameshayaona,mpe second chance utanishukuru mkuu
Naelewa ushauri wako. Nawaza kumtanya rafiki angalau kwa muda tu nimuone kwanza.Madem wa sku hz n ving'ang'aniz,ukila mzigo atakuganda mpaka basi,mfanye rafik tu
Ulichosema kinafikirisha sana. Kina ukweli kwa kiasi kikubwa. Labda ataweza nigeuka mbele ya safari.Mwanamke wa hivi hapendi....anatafuta kula yake tu...
Na akishashiba atakubadilikia hutaamini.
Asante sana. Nitazingatia ushauri wako.Mkuu haraka Sana,nasema haraka sana! Huyo kapigwa sana pumbu huko halafu ameona umri wa kustaafu unefika ndio anakuja kwako!MKATAE
Tena usije ukajiroga kumkaribisha kwako huyo,pengine ana mimba hapo alipo na anataka kukubebesha wewe.
Narudia MKATAE! MKATAE! MKATAE!
na usimpige pumbu huyo,pita mbali!
Lipia tangazo mkuu kumbe bado hujaoa 😅😅mimi pia bado sijaolewa na umri umekata kichizi😆😆😆😆😆😆😆😆Mimi siwezi kukosa furahaa kwa sababu ya tamaduni za kipuuzi.Ndugu zangu walinilazimisha nioe eti kisa nazeeka,nikawaambia ninyi ndiyo mnakuja kuishi na huyo mwanamke au ni mimi?Sasa hivi wamenitenga eti kisa sitaki kuoa,yaani maisha yangu binafsi yanaingiliwa na watu kisa ni tamaduni!
Mimi wakati mwingine nahisi nimwambie ukweli kuwa 'simhitaji' lakini sasa nahisi atajiskia vibaya sana.Hawa wenzetu hua wanatambuaga umuhimu wa mtu Kwa baadae sana
Niliwahi mpendaga mmoja hivihivi 5 years ago, akawa ananikaushia.
Sasahivi ananiambia Niko free kupeleka barua ya uchumba and she's mid 24-25.
Sababu kubwa hapo ni kwamba karukaruka sasa anatamani ndoa na mtu anaye mpenda atulie.
Na kwenye brainstorming ume pop-up wewe, tumia akili, uingie kichwakichwa. Kama huna future naye usiache afall utamuumiza maana ana expectations hapo.
Wewe alivyokukataaga mlivyokuwa shule ulijisikia vizuri siyo???Mimi wakati mwingine nahisi nimwambie ukweli kuwa 'simhitaji' lakini sasa nahisi atajiskia vibaya sana.
Jibu ni rahisi...alikukataa kwa sababu alikuwa na mahusiano mengine aliyodhani yana future lakini sasa hivi yuko single.. Cha muhimu ni kuangalia wewe unampenda?Hakuwahi kunieleza ila aliniambia "Danny mimi nawewe HAIWEZEKANI"
Mimi wakati mwingine nahisi nimwambie ukweli kuwa 'simhitaji' lakini sasa nahisi atajiskia vibaya sana.
Nimekuelewa sana mkuu natumaini ushauri wako atauzingatia overNatamani JF ingekua na uwezo wa Kutuma Voice note...
Anyways huyo dada anajijua yeye mzuri sasa wewe hukua type yake wakati mpo shule akawa anacheza na monta wenu ndo alikua type yake. Kaenda UDSM keshachezewa vya kutosha type yake sio type zao sasa kaona arudishe mpira kwako kwa kua anajua ulikua unampenda at one point. Huyo akija jmoc anakuja tayari kwa kuliwa. Na ukimla tu basi hakuachi huyo. Danny Unataka kumla au hutaki? Kama unataka kumla kulipiza alivyokua anakukataa enzi za shule, hapa nakushauri kama mwanamke peleka hiyo manzi gesti/lodge tena usimfuk bila condom. Huyo sio manzi ya kula getto atakuganda sana. Piga pita hivi ikiwezekana hata kwako asipajue.... labda ana mimba anaitaftia baba. Akili kumkichwa.