Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 9,088
- 25,444
nishawahi pindishiwa maneno kosa nilifanya ndio lakini njia ya ufanyaji ikakolezwa! Yani mi hela ndio niliiba ila nikaambiwa ati niliiba kwa kupiga mtu kabali..
Baba wa rafiki yangu nae akasemaga kuna manzi fulani natoka nae kumbe mwanae ndo anatoka nae!,akanikandia mbele ya familia yake aisee nilibisha huku nikiwa very comfortable aibu ikaamia kwake ila sikumwaga mchuzi kumchomesha jamaa yangu..
Kwa hulka niliyonayo ngumu kidogo kunisingizia maana kabla sijajitetea kama Kuna wanaonifahamu wanaweza kunitetea au hata ndani yako tu kunaweza kuanza kunitetea!. Kenzy wa jf ni mtundu ila nje na hapa kenzy ni mpole si kenzy kiberenge au komamanga..
komamanga