Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,129
- 7,450
Ili ugundue nini?Ila kushikw muhimu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ha ha ha njoo nkupe simu mama, pword ya jf vp hauko interested nayo?Huwa natamani sana kupekua, ila nikishawaza kuwa ikitokea nikakutana na nisichokitarajia sitaweza kuhimili naacha.
Najua siwezi kuhimili maumivu endapo nitakumbana na kitu cha tofauti. Sitaki kujipa maradhi mie maisha yenyewe haya bwana mafupi
Exactly, wote waliosema hawapekui simu za wake zao ni wavulana, wale tunaopekua ni wanaume,Ndani ya ndoa ni mtu mmoja ndiye mkuu wa ndoa ambae ni mwanaume, binafsi kwa upande wangu huwa nakagua sana cm ya mke wangu na kupewa maelezo ya kina pale ambapo huenda nimetilia mashaka ila sijampa nafasi ya kukagua cm yangu maana niliaswa na wazazi wangu na wake kuwa mwanamke hapaswi kuwa juu ya mme bali mme atakuwa juu siku zote, na hapa nikili nilikuta namba moja baada ya kumpigia nikagundua ni kijana alokuwa anataka kudukua utam wangu sikukawiza nilishusha kipigo cha mbwa mwizi leo miaka miwili sijawahi kuona upuuzi tena.
nimecheka sanaNishakutana na mengi ya kuni umiza ila sitoacha kupekua na nitaendelea kupekua kupekua n kupekua tu
Hahaha bado upo nae mkuu?Nilikutana na msg nzitoo "mume wangu kodi ya nyumba inakaribia kuisha, tumekumiss Mimi na mtoto wako" nilichoka. Sirudii tena kupekua pekua simu
Nikuoe ili niwe naipekua vizuriiiiNilipataga mwanamme mmoja anapekua simu yangu kila danga alilokuta nachat nalo alimpigia simu khaaa alikuwa ananiharibia mpaka kwa wale niliokuwa nawatapeligi helaaa
Nikaamua kumwacha aniache na uhuru wa simu yangu
Mpaka leo huwa ananiomba msamaha na mm nilishakataaa kurudiana nayee khaaa kupekua simu anasoma mpaka mambo ya familia yako na nilimuacha kwa sababu hujanioa ushike simu yangu ya nn.
Mtu pekee nitakayemruhusu kushika simu ni mme wa ndoa basiii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hahaha hahahaHa ha ha njoo nkupe simu mama, pword ya jf vp hauko interested nayo?
Nilikutana na msg nzitoo "mume wangu kodi ya nyumba inakaribia kuisha, tumekumiss Mimi na mtoto wako" nilichoka. Sirudii tena kupekua pekua simu
Ha ha ha ha ha kwel unaitaka angalia usje ukaanza kukata vitunguu ukishapewa?Hahaha hahaha hahaha
Hebu nipee tuu baba hiyo password ya jf! Simu yako siihitaji kabisaaa aki!