General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Tulisumbuana gheto kwake, akanaimbia nivae kondom, ukicheki sikua nayo. Nje kina duka, nikamwambia acha nikanunie, kurudi nakuta mlango umefungwa na taa imezimwaa....
Tulisumbuana gheto kwake, akanaimbia nivae kondom, ukicheki sikua nayo. Nje kina duka, nikamwambia acha nikanunie, kurudi nakuta mlango umefungwa na taa imezimwaa....
Usisahau WANAOJIUZA TUNAISHI NAO kitaa.Kuna watu mpo kama kobee!!mi hapo ningepiga kabisaaa inaonesha hujui sound za kumptepetesha demu kwa maneno, me niliwahi kumtongoza demu mpita njia simjui na hanijui na ni mstaarabu alikuwa anaenda kwenye duka flan na anaonekana ana haraka ila nilipiga somo mbaka usoni full kutepeta akabadili njia tukaingia gest nikapiga kinomaa masaa kama matatu hivi, na sio huyo tuu mimi sijui nakipaji hicho mbaka marafiki wakawa wanasema unatumia dawa kumbe ndivyo mungu alivyonijalia naweza nikamsimamisha demu yaani akisimama kunisikiza tu tegemea naondoka naye hapo hapo unashuhudia kabisa sasa sembuse huyo mbaka magetoni kabisaa!!!?
Daah pole sanaaTulisumbuana gheto kwake, akanaimbia nivae kondom, ukicheki sikua nayo. Nje kina duka, nikamwambia acha nikanunie, kurudi nakuta mlango umefungwa na taa imezimwaa....
Duu! Tukiwambia Tumrudie Mungu HamtakiTulisumbuana gheto kwake, akanaimbia nivae kondom, ukicheki sikua nayo. Nje kina duka, nikamwambia acha nikanunie, kurudi nakuta mlango umefungwa na taa imezimwaa....
Wewe ni komamanga ila hujajua tu.
Tusifike hukoHahahahahaha umenikumbusha yule konokono wako Mkuu. 😂😂😂😂😂
Pole sana kiongozi..Tulisumbuana gheto kwake, akanaimbia nivae kondom, ukicheki sikua nayo. Nje kina duka, nikamwambia acha nikanunie, kurudi nakuta mlango umefungwa na taa imezimwaa....
😀Punguza uzembe...
Ila mwanamke kama hayupo tayari hata ufanyeje hakupi...
Jf kwa shuhuda za uongo ipo vizuriNiliwahi ingizwa geto bila kufanyiwa lolote mpaka tukaona tuwe marafiki alifeli kutimiza haja yake
Nipo serious hakuweza kufanya lolote walahiJf kwa shuhuda za uongo ipo vizuri
Jaribu TenaNipo serious hakuweza kufanya lolote walahi
Usiamini ila amini tena kipindi hicho nilikuwa sitaki mchezo mtu akiniita kwa hilo jambo isipotokea basi nanuna .Jaribu Tena
Ni wachache sana watakuelewa katika hili..Haya mambo haya ... mwanaume wa kiafrika kustaarabika tachukua miaka mingi sana .... Dem kuja ghetto (kwa baadhi lakini) sio tiketi ya kutaka kumlala.usidhani kufanya ngono ndio kutampa mwanamke attention kwako never ever.badilika man usikariri Sana maisha.