ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Mtu alikuwa na roho wa Mungu lkn akamfukuza, sembuse wewe na mimi? Ngono isikie tu isiingie anga zako.Kwa hiyo wewe Unatumia Mfano wa Daudi kuhalalisha ngono?. Daudi ni Daudi na sisi ni sisi.
Samson alikatazwa kwenda kuoa kwa wafilisti lkn nakuheshimu sababu ya ngono mwisho wake ukawa mbaya sana