Kuna watu wameshaenda Shinyanga kuuliza Mzee Tokatoka ili wampate barafu wa Jf...ha ha ha ha ha!Kumbe tumewatangulia maili mia mbele!!Ukoo wa tokatoka wameukuta ila hawapati connection!!Awamu ya viwanda

Duuu mkuu halafu hii kitu nilihisi inaweza kukuexpose...sasa itakuweje mkuu wakimua kukomaa...na wewe kiasi fulani ulijiachia....mpaka mambo ya kahama kule...
 
Duh yaani ulinzi wakuwalinda hawa viumbe tumuachie mungu2 maana hata ukisema usioe ukiwa umepanga, ukijenga ndio uoe utagongewa hata nandugu zako kama sio ndugu zako basi hata wauza maziwa namkaa *****

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuu mkuu halafu hii kitu nilihisi inaweza kukuexpose...sasa itakuweje mkuu wakimua kukomaa...na wewe kiasi fulani ulijiachia....mpaka mambo ya kahama kule...
Sina ujinga huo mkuu....Tokatoka alikuwa muhusika tu wa kujenga picha,mwenye mtoto(mkwe wangu) ni mwingine.Habari yote ni sahihi ila wahusika niliweka kwa tahadhari sana.Nimecheka tu kusikia wameenda na kudunda mwamba
 
2017 Vladimir zilikuwepo mkuu? mbona napata wasiwasi juu ya hii story yako?

me mwenyewe ni muuzaji wa hard drinks, lakini Vladimir vodka niemanza kuziona katikati ya mwaka huu..
Mzee Vladimir sio 2017, hizi mambo zilikuwepo tangu 2005 huko. Nakumbuka nimewahi kuziuza Sana Mererani kule miaka hiyo nikiwa camp moja wanaaita Kashmir Camp, enzi hizo Vladimir na premium vodka zilikuwa zinauzika kinyama pamoja na kuber kabla hazjapigwa marufuku.

Nimewauzia Sana wana apolo mule nikiwaga dogo wakawa wakifika wananiita nyokaaa, nyokaaa

Miaka inakatika Sana asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 



Mkuu ulikuwa nyoka wa Kashmir Camp???
 
Duh yaani ulinzi wakuwalinda hawa viumbe tumuachie mungu2 maana hata ukisema usioe ukiwa umepanga, ukijenga ndio uoe utagongewa hata nandugu zako kama sio ndugu zako basi hata wauza maziwa namkaa *****

Sent using Jamii Forums mobile app
Naam hawana formula wala security hao...na ukilijua hilo ..utaishi maisha yenye amani sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kulike huu uzi nidhambi basi niacheni nipate dhambi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ile tunakutafuta kumbe ulikua una kula tunda kimasihara

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…