Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Kuna watu wameshaenda Shinyanga kuuliza Mzee Tokatoka ili wampate barafu wa Jf...ha ha ha ha ha!Kumbe tumewatangulia maili mia mbele!!Ukoo wa tokatoka wameukuta ila hawapati connection!!Awamu ya viwanda

Duuu mkuu halafu hii kitu nilihisi inaweza kukuexpose...sasa itakuweje mkuu wakimua kukomaa...na wewe kiasi fulani ulijiachia....mpaka mambo ya kahama kule...
 
Kwani mnadhani ninamazoea yoyote na huyu mpangaji mwenzangu? Tena mke wa mtu? Hapana! Hapana kabisa.

J2 moja nikiwa chumba cha kufulia nyuma ya nyumba si na yeye kaja kupanga foleni ya kufua! Story za hapa na pale, mvua kidogo nje! Mara eti kwa mshtuko wa radi si akanirukia kanikumbatia akilalamika eti radi itamuua!

Kwa sekunde kadhaa kabaki amenikumbatia, hisia zikaja chap! Hakukuwa na jinsi nyingine tofauti na kumwinamisha na akaegemea machine ya kufua huku akiniachia maeneo ya nyuma yake niyatawale. Kamechi ka uwoga uwoga kakapigwa chap. Kisha kasepa.

Jioni eti ananiambia kilichotokea sio kawaida yake na kwamba nisimchukulie kama maharage ya mbeya, khaaa! Mwishoni eti ananiambia kama ntakuwa na kifua basi ntafaidi tena na tena, akamaliza kwa kushukuru kwa tendo lile ovu tulilotenda.

Msiniulize mambo ya condom hapa! Sijui hata zinauzwa sh ngapi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh yaani ulinzi wakuwalinda hawa viumbe tumuachie mungu2 maana hata ukisema usioe ukiwa umepanga, ukijenga ndio uoe utagongewa hata nandugu zako kama sio ndugu zako basi hata wauza maziwa namkaa *****

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuu mkuu halafu hii kitu nilihisi inaweza kukuexpose...sasa itakuweje mkuu wakimua kukomaa...na wewe kiasi fulani ulijiachia....mpaka mambo ya kahama kule...
Sina ujinga huo mkuu....Tokatoka alikuwa muhusika tu wa kujenga picha,mwenye mtoto(mkwe wangu) ni mwingine.Habari yote ni sahihi ila wahusika niliweka kwa tahadhari sana.Nimecheka tu kusikia wameenda na kudunda mwamba
 
2017 Vladimir zilikuwepo mkuu? mbona napata wasiwasi juu ya hii story yako?

me mwenyewe ni muuzaji wa hard drinks, lakini Vladimir vodka niemanza kuziona katikati ya mwaka huu..
Mzee Vladimir sio 2017, hizi mambo zilikuwepo tangu 2005 huko. Nakumbuka nimewahi kuziuza Sana Mererani kule miaka hiyo nikiwa camp moja wanaaita Kashmir Camp, enzi hizo Vladimir na premium vodka zilikuwa zinauzika kinyama pamoja na kuber kabla hazjapigwa marufuku.

Nimewauzia Sana wana apolo mule nikiwaga dogo wakawa wakifika wananiita nyokaaa, nyokaaa

Miaka inakatika Sana asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee Vladimir sio 2017, hizi mambo zilikuwepo tangu 2005 huko. Nakumbuka nimewahi kuziuza Sana Mererani kule miaka hiyo nikiwa camp moja wanaaita Kashmir Camp, enzi hizo Vladimir na premium vodka zilikuwa zinauzika kinyama pamoja na kuber kabla hazjapigwa marufuku.

Nimewauzia Sana wana apolo mule nikiwaga dogo wakawa wakifika wananiita nyokaaa, nyokaaa

Miaka inakatika Sana asee

Sent using Jamii Forums mobile app



Mkuu ulikuwa nyoka wa Kashmir Camp???
 
Duh yaani ulinzi wakuwalinda hawa viumbe tumuachie mungu2 maana hata ukisema usioe ukiwa umepanga, ukijenga ndio uoe utagongewa hata nandugu zako kama sio ndugu zako basi hata wauza maziwa namkaa *****

Sent using Jamii Forums mobile app
Naam hawana formula wala security hao...na ukilijua hilo ..utaishi maisha yenye amani sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
katika mishe mishe za maisha kuna kipndi niliwahi kupiga bod boda mitaa ya dodoma mjini, kipindi hicho wateja mda wa mchana sio wengi wateja wanaanza kupatikana kuanzia saa 12 jioni mpaka usiku wa manane, mida ya saa 7 usiku nilipata mteja sista duu yupo chakali alikuwa anakwenda mitaa ya njedengwa.nimemfikisha mpk anapokwenda akatoa hela pungufu na tuliyokubaliana iliyobaki akadai anaifidia kwa papuchino aaahh mimi mwenyewe nilikuwa na uarosto aka nyegelesi nikamshikisha pikipiki na kupiga tako zangu kadhaa wazungu hao. nikawasha pikipiki nduuuuki.
Kama kulike huu uzi nidhambi basi niacheni nipate dhambi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha na mm nisogeze kahawa yangu kunogesha uzi

Ilikua mwaka 2014 baada ya kumaliza kidato cha sita shule moja huko Mkoani Kilimanjaro (Moshi Technical), nilichaguliwa kwenda JKT kwa mujibu wa sheria kambi flani ambayo siitaji jina huko mkoani Kigoma. Siku imefika safari ikaanza, safari ilianzia nyumbani Mwanza asubui saa 12 na basi kampuni ya Adventure.
Picha linaanza nikiwa ndani ya gari, siti ya mbele yangu kulikua na binti mmoja hivi maji ya kunde kanyoa dongo. Kwa harakaharaka nikajiongeza kuwa huyu nae ni mwenzangu (kutokana na alivonyoa). Sikumtilia maanani sana nikawa kama nimempotezea na safari ikaendelea.

Baada ya safari ndefu tukafika seheme flani (mkoani kigoma) ghafla basi letu likasimamishwa. Tukaona askari jeshi mmoja mweusi tii na mwenye sura ya kuogofya akapanda ndani ya basi, nanukuu alichokisema “kama kuna kiumbe yeyote aliyetumwa na serikali kuja katika kambi ya ......, hapa ndipo mwisho wa safari yake na tunamuomba ashuke”, hapo ndipo nikagundua nimeshafika, nikawa nimeshuka, na yule binti pia nikamuona anashuka. Tulipofika chini tukapigwa mikwara mingi sana yaani kama ni muoga unakojoa palepale. Mikwara ya wale askari ikamfanya biti awe ananisoglea na hatimae nikashangaa ananishika mkono utadhani nina msaada wowote ninaoweza kuutoa wakati mi mwenyewe roho inataka kuchomoka kwa ile mikwara . Walituchukua mpaka kambini, na mambo mengine yakaendelea.

Nilianza mazoea na yule binti hasa baada ya kuwa tumepangwa Kombania moja (Bravo Coy). Tukawa tukipata mda tunapiga story mbili tatu, wakati wa chakula tunakula pamoja but wakati huo tupo kwenye zile suti zetu (vipensi), so umbo la yule dada lilikua linajichora vzr alikua kajaaliwa tako kubwa na hips zilizojaa na kiuono kidogo kama nyigu. Kiufupi tayari nilikua nishavutiwa nae sana lakini sikuwahi kuongea nae kabisa kuhusu mahusiano.

Siku moja usiku tukiwa kombania tushapigwa doso la kutosha (waliopita kule wameelewa) ghafla ikapulizwa filimbi na tukataarifiwa kuna moto umewaka katika eneo ambalo lipo kwenye himaya ya Kambi hivyo inatakiwa kombania zote twende tukazime. Kama unavojua kule ni amri, tukajikongoja na uchovu wetu saa sita usiku tukatembea kama km 8 kufika eneo la tukio, wakati huo nipo na yule mdada na amechoka nusu ya kufa. Zima zima zima na wewe moto hauishi. Nikaingiwa na roho ya ujasiri nikamwambia yule binti twende tukajifiche kichakani mpaka moto utakapozimwa ndo turudi kambinni. Binti akakubali tukachomoka kama hatukuepo mpaka kichakani. Tumefika mi nikawa wa kwanza nikajilaza kwenye nyasi na yy akalala palepale lkn pembeni yangu huku mguu wake kauweka juu ya mguu wangu.
Palepale mashetani yakaanza kunipanda, ukizingatia nimekaa mda mrefu cjamwaga oil. Nikajaribu kupeleka mkono kifuani kwake kama nipo usingizini nikaona katulia tu, nikabinya matiti yake (yalikua size ndogo) nikaona kaanza kujikunja bila kusema kitu. Nikasema nisikawize mambo hapa, nikazamisha mkono kutafuta kitumbua, nikakuta dem kalowana chepechepe. Nikatoa kipensi chake, nikaanza kuchezea sana K kwa vidole mpaka nikaona binti anapata degedege flani hiv analalamika tu “mbona huchomeki”... nikasema eheee tayari kalewa ulanzi. Ilipigwa kifo cha mende pale moja kari ilichukua karibu dak 40 maana mzuka niliokua nao sio wa nchi hii. Piga sana shoo mpaka tukasahau kama tulienda kuzima moto.

Akili imekuja kurudi tunawatafuta wenzetu walipo kumbe walishamaliza kuzima moto mda mrefu na wamerudi kambini. Walifika kambini wakahesabiwa na wakawa hawajatimia, then tukaanza kutafutwa . Baada ya kupatikana kilichotukuta nadhani waliopita huko wanajua.

Baada ya jeshi tulienda chuo na bahati nzuri tulienda chuo kimoja na tukaendeleza uhusiano. Hakika nilimpenda sana yule binti na mda wote niliokua nae sikuwahi kumcheat. Muda wote tuliokaa chuoni tulikua pamoja na nilimuona kama mke wangu.
Shetani akaingia kati baada ya kumaliza chuo, mwenzangu akapata kazi kabla mm cjapata. Akaanza kushika pesa mm bado kapuku. Mpaka leo sielewi niliachwa vipi, niliumia sana kwa jinsi nilivokua nampenda ila ndo hvo bna inabidi nikubaliane na matokeo, lkn mpaka leo huwa nikimkumbuka naumiaaaa.
WANAUME WENZANGU TUTAFUTENI PESAAA


Sent from my iPhone using JamiiForums
Siku ile tunakutafuta kumbe ulikua una kula tunda kimasihara

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

275 Reactions
Reply
Back
Top Bottom