huna issue chai nyingi sana, kwa wanaojua mambo watanielewa
 
Mkuu wewe ni malaya
 
Unajikuta mwenyewe...
 
Mweeeeeh
 
Semester sio semistor
 
Reactions: _ly
Labda utangulize muamala wa kueleweka, ila siyo kwa porojo hizo na kujimwambafai
 
Shushia na maji kidogo uvute pumzi.
 
Halafu sikumaanisha hizo pesa unatanguliza kwangu, I will never think of being na mwanaume wa type yako. Una porojo porojo sana na kujimwambafai.

Inshort you are just a BOY in a man's figure.
 
 
Sasa hii ndo kula kimasihara and unajua kuandika vizuri.Siyo wengine hawajui kuandika vizuri kazi kuleta porojo na kujimwambafai.
 
Hizo ni threads tu za kujiburudisha and that does not define me.

Only boys like you can take every thing serious kwenye mitandao...Eti nina sura mbaya as if ulishawahi kuniona.

You are so childish and pathetic.
Kwaheri
 
Sasa carlos ehh,ungetuambia maujanja unayotumia kupata totoz.
 
Very sad,kama taifa tuna safari ndefu saana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…