Ulishawahi kukutana na mtu aliyevaa nguo zinazofanana na zako? How did you react to it?

Nilipoingia form one nilimkuta mkaka wa form three anafanana na kaka yangu vibaya mno, yaani kila kitu kasoro rangi ye alikuwa maji ya kunde. Yaani kila nikimuona ilikuwa lazima nizubae kumuangalia. Nikajua labda macho yangu siku moja nimeingia staff walimu wakaniuliza J ni kaka yako?? Nikasema hapana. Wakasema kama sio kaka yako ni nani yako? Maana haiwezekani muwe hamhusiani kabisa
Aisee
 
Miaka ile ya 1990s kuna wakati nilikwenda Arusha, nikiwa ndani ya "SAVCO jeans, white T-shirt & white rubber shoes". Sina hili wa lile nikapita pale hoteli ya Golden Rose, na ile nafika karibu na uwanja wa Sheikh Amri Abeid, nikakutana na kundi la vijana wa "promotion" wa BONITE BOTTLERS waume na wakike wote tumeulamba sawa sawa na mimi.

Wakiwa ndani ya gari lao la matangazo, wacha waanze kunishaishangilia. Du! Nilijihisi vibaya sana, ikanibidi mdogo mdogo nirudi zangu mdogo mdogo nilikotokea. Kusema ukweli kila mtu anataka upekee wa aina fulani, ikitoea mfanano fulani inakuwa kama date za "uniform"
Nilienda kukutana na mtoto fulani niliemfukuzia muda mrefu bila mafanikio, akanielekeza bar moja hivi magomeni nikalamba uzi wangu wa Chelsea kufika pale nakuta wahudumu wote ndo sare nilitaman nigeuke pale pale. Bahati mbaya mrembo mwenyewe alikua kishaniona niliishiwa pozi confidence yote ilikata pale pale.
 
Hivi ukiwa na gari unique faida zake ni zipi?

Ni kama vile kujenga nyumba kuubwa nzuri ya gharama kubwa, au kuwa na kiatu kizuuri kushinda wengine, au kuwa na mume tajiri au familia nzuri. Au kuwa wa kwanza darasani, au kufanikiwa kupanda mlima kilimanjaro. Hakuna faida ila ni furaha tu ya mwenye nacho. Satisfaction.
 
Ni kama vile kujenga nyumba kuubwa nzuri ya gharama kubwa, au kuwa na kiatu kizuuri kushinda wengine, au kuwa na mume tajiri au familia nzuri. Au kuwa wa kwanza darasani, au kufanikiwa kupanda mlima kilimanjaro. Hakuna faida ila ni furaha tu ya mwenye nacho. Satisfaction.
Ahaa kumbe, ila kuwa wa kwanza darasani kuna faida....kwanza unapewa zawadi kwa hiyo mzazi badala ya kununua daftari kumi atanunua saba, pili unapendwa na walimu pamoja na wenzio kwa hivyo kuna privilege utakuwa unazipata ambazo wenzio hawapati
 
Ahaa kumbe, ila kuwa wa kwanza darasani kuna faida....kwanza unapewa zawadi kwa hiyo mzazi badala ya kununua daftari kumi atanunua saba, pili unapendwa na walimu pamoja na wenzio kwa hivyo kuna privilege utakuwa unazipata ambazo wenzio hawapati
JPM ndio baba lao
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB. Leo ngoja tujadili kidogo changamoto za maisha katika jamii tunamoishi.

Eti ndugu zangu Watanzania;

HUMAN BEHAVIORAL PSYCHOLOGY.
============
Ulishawahi kukutana na mtu ghafla (kwenye sherehe, daladala au njiani) aliyevaa nguo zinazofanana na za kwako? How did you react to it? mlipungia mkono, mlipeana tabasamu, mlimfuata kumsalimia au ulikwepesha macho?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Nakutana na maafisa wamevaa nguo na vyeo kama vyangu kila siku, tunareact kwa kupigiana salute
 
Ahaa kumbe, ila kuwa wa kwanza darasani kuna faida....kwanza unapewa zawadi kwa hiyo mzazi badala ya kununua daftari kumi atanunua saba, pili unapendwa na walimu pamoja na wenzio kwa hivyo kuna privilege utakuwa unazipata ambazo wenzio hawapati
Toka huko CHADEMA ulipo, unafanya nini mpaka sasa?
 
Back
Top Bottom