Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 6,589
- 12,132
Weka neno mkuu ๐๐๐
Weka neno mkuu ๐๐๐
Kah walikutoboa mzee na jion tena muuend cinema af kuna dinner hapo.Pia, kuna siku demu flani nimejipendekeza sana kumtoa out. Kila siku naforce ila yeye ananikatalia.
Basi iyo siku akasema nipo Sinza hospital nimemsindikiza rafiki yangu. Nikamwambia ata mimi nipo jirani na Sinza dukani kwa mwanangu kumbe ukweli nipo mbali. Akasema njoo tukitoka hosp tukale. Nikasema poa, nikafaka boda.
Nafika ndio wanatoka. Tukasogea mgahawa mmoja wa kifala sana unaitwa Golden Fork.
Story isiwe ndefu, walikula elfu 75. Hafu nikawaitia bolt wakarudi kwao.
Jioni ananitext upo free twende cinema, nikasema hii msg ngoja nipige kwanza nyeto ndio nitajibu.
Cinema ukikuta happy hour Bei Chini @ 7000 mida mingine @10,000Kah walikutoboa mzee na jion tena muuend cinema af kuna dinner hapo.
Kuna Manzi aliwahi niingiza huo mkenge kwa bahati mbaya siku nikaja gundua ukweli nilijiona fala sana. Ila nilikuja kumtia shoti mpaka leo ananichukia nami nilimuektia mno akaja niazima 300 nikalala mbele.Pia, kuna siku demu flani nimejipendekeza sana kumtoa out. Kila siku naforce ila yeye ananikatalia.
Basi iyo siku akasema nipo Sinza hospital nimemsindikiza rafiki yangu. Nikamwambia ata mimi nipo jirani na Sinza dukani kwa mwanangu kumbe ukweli nipo mbali. Akasema njoo tukitoka hosp tukale. Nikasema poa, nikafaka boda.
Nafika ndio wanatoka. Tukasogea mgahawa mmoja wa kifala sana unaitwa Golden Fork.
Story isiwe ndefu, walikula elfu 75. Hafu nikawaitia bolt wakarudi kwao.
Jioni ananitext upo free twende cinema, nikasema hii msg ngoja nipige kwanza nyeto ndio nitajibu.
Aisee 500 parefu aisse.. dahKuna Manzi aliwahi niingiza huo mkenge kwa bahati mbaya siku nikaja gundua ukweli nilijiona fala sana. Ila nilikuja kumtia shoti mpaka leo ananichukia nami nilimuektia mno akaja niazima 300 nikalala mbele.
NB:yeye alishanipiga zaidi ya 500k huko kwa maigizo yake mbwa yule kumbe mtoto Mbagala kwa Mangaya anaishi kwa shemeji yake.
Angekuja na gang yule. Lazima ili nione aibu kwenda nae ghettoCinema ukikuta happy hour Bei Chini @ 7000 mida mingine @10,000
Bado food,drinks, nauli E.t.c
Na Bado angekuja na crew ๐๐๐๐
Mwamba kanikumbusha mbali nimewahi ingizwa mjini na mtoto wa mbagala kwa mangaya akijifanya matawi kuna siku nikachoma 187k kwa siku moja kwa ajili yake yaani nilikua kama nimepigwa shoka la kichwa afu baada ya wiki nagundua kiande tu. Nikamtaimu yeye alikua kijumbe wa mchezo nikamwambia nimesahau kadi yangu ya bank somewhere nina shida kama ya laki 4 kesho nitampa yeye akatoa 300k ndo tukaachana hapo.Weka neno mkuu
Nikaona usiwe shida. Kutumia zaidi ya laki 1 siku moja bila sababu yoyote hapana. Pesa ngumu sanaKah walikutoboa mzee na jion tena muuend cinema af kuna dinner hapo.
Oya si alikua ananipiga mdogo mdogo ila hela kubwa nilitumie kwake kwa siku moja ilikua 187k. Ile siku niliona kabisa huku tunapoende anitashindwa siku hiyo naenda kwenye ubweche kwa mangaya namkuta kwenye hiyo nyumba ya jirani afu kuna mwana anamjua mwanzo mwisho.Aisee 500 parefu aisse.. dah
Huyu demu niliona classy sana. Nikasema ngoja niende nae kiushua ushua. Sasa hela ya kula week nzima yeye anakula mara moja.
Mkuu uliupiga mwingi japo tukarudisha 300k yetu ๐๐๐Mwamba kanikumbusha mbali nimewahi ingizwa mjini na mtoto wa mbagala kwa mangaya akijifanya matawi kuna siku nikachoma 187k kwa siku moja kwa ajili yake yaani nilikua kama nimepigwa shoka la kichwa afu baada ya wiki nagundua kiande tu. Nikamtaimu yeye alikua kijumbe wa mchezo nikamwambia nimesahau kadi yangu ya bank somewhere nina shida kama ya laki 4 kesho nitampa yeye akatoa 300k ndo tukaachana hapo.
Yule fala hata nikitaka mgegedo alikua hataki guest za buku 10 au 15 yaani ananipeleka sehemu za gharama yaani unakuta mpaka narudi home 80-100 imekata japo alikua kitandani.
Watu makatili sanaMwamba kanikumbusha mbali nimewahi ingizwa mjini na mtoto wa mbagala kwa mangaya akijifanya matawi kuna siku nikachoma 187k kwa siku moja kwa ajili yake yaani nilikua kama nimepigwa shoka la kichwa afu baada ya wiki nagundua kiande tu. Nikamtaimu yeye alikua kijumbe wa mchezo nikamwambia nimesahau kadi yangu ya bank somewhere nina shida kama ya laki 4 kesho nitampa yeye akatoa 300k ndo tukaachana hapo.
Yule fala hata nikitaka mgegedo alikua hataki guest za buku 10 au 15 yaani ananipeleka sehemu za gharama yaani unakuta mpaka narudi home 80-100 imekata japo alikua kitandani.
Chizi Maarifa ni kichaa halafu ni muhuni alimla yule demu tigo๐๐Nimemkumbuka CHIZI MAARIFA kwenye Uzi wake..
Ila CHIZI MAARIFA yeye Ali fanya bonge la COME BACK aka revenge kihuni ๐๐๐ ๐
Mm kwenye ujana wangu nilichukia Sana MALAYA na wanawake wenye tamaa..
Mtu akionyesha kuvutiwa na pesa ama material things moyo huwa unapowa kwake kinacho fuatia Ni DEUCES
Usimuonee huruma mwanamke tapeli ,piga za kichwa kabla hajakuwahi.Watu makatili sana
Nlitoka msasani usiku saa tisa namfata Damu wangu Mbweni akaishia kunipa GonoKatika maisha kila mtu anapenda starehe za hapa na pale mfano kutalii n.k
Kuna starehe zinazoweza kukupa furaha ya kudumu lakini kuna nyinginezo zinaweza kukupa sonona ya milele ambapo makovu hayaishi mapema.
Tuje kwetu sisi wanaume
Unamtafuta mwanamke kwa gharama zote mwisho wa siku ukinyandua tu mara kaswende, mara AIDs
Unatumia hela nyingi kwa mwanamke papuchi hupewi anakujakupewa mtu mwingine . Tena bure
Unaenda bar unatumia laki mbili kwa siku wakati kipato chako kwa siku 5000.
Unaazima gari la mtu kwenda kujionesha mara limepasuka kioo. Unakuja kulipa na vingenevyo ambavyo hujaviharibu.
Dah scenario kama hii imenitokea jana 65k yangu imeenda ivi ivi aseePia, kuna siku demu flani nimejipendekeza sana kumtoa out. Kila siku naforce ila yeye ananikatalia.
Basi iyo siku akasema nipo Sinza hospital nimemsindikiza rafiki yangu. Nikamwambia ata mimi nipo jirani na Sinza dukani kwa mwanangu kumbe ukweli nipo mbali. Akasema njoo tukitoka hosp tukale. Nikasema poa, nikafaka boda.
Nafika ndio wanatoka. Tukasogea mgahawa mmoja wa kifala sana unaitwa Golden Fork.
Story isiwe ndefu, walikula elfu 75. Hafu nikawaitia bolt wakarudi kwao.
Jioni ananitext upo free twende cinema, nikasema hii msg ngoja nipige kwanza nyeto ndio nitajibu.
Nachojuta mimi ni kimoja tuu.Katika maisha kila mtu anapenda starehe za hapa na pale mfano kutalii n.k
Kuna starehe zinazoweza kukupa furaha ya kudumu lakini kuna nyinginezo zinaweza kukupa sonona ya milele ambapo makovu hayaishi mapema.
Tuje kwetu sisi wanaume
Unamtafuta mwanamke kwa gharama zote mwisho wa siku ukinyandua tu mara kaswende, mara AIDs
Unatumia hela nyingi kwa mwanamke papuchi hupewi anakujakupewa mtu mwingine . Tena bure
Unaenda bar unatumia laki mbili kwa siku wakati kipato chako kwa siku 5000.
Unaazima gari la mtu kwenda kujionesha mara limepasuka kioo. Unakuja kulipa na vingenevyo ambavyo hujaviharibu.