BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,209
- 39,031
Swadaktaaa?
Back, nikiwa 3rd year nilishwai miliki chombo kali sana aisee huyu dada alikuwa ni pisi kali sana, moja ya pisi nilizotoka nazo anaingia top3. Alikuwa ni mzuri balaa. Ni pisi ambayo ikikatiza lazma ugeuke uitizame.
Tatizo la huyu dada ilikuw ni kujikojolea usiku hii ndo kasoro aliyokuwa nayo pamoja na uzuri wote. Siku niliyokuja fahamu ana hili tatizo ni siku ambayo tulitoka out night ikabd tulale lodge, nilishuhudia live demu akikojoa mpaka nikahisi maybe nilimkuna sana kumbe ndo tatizo lake. Ndio kunambia ukweli wa tatizo lake.
Hatukudumu sana tuliachana, sijui kama alipona au bado.
Back, nikiwa 3rd year nilishwai miliki chombo kali sana aisee huyu dada alikuwa ni pisi kali sana, moja ya pisi nilizotoka nazo anaingia top3. Alikuwa ni mzuri balaa. Ni pisi ambayo ikikatiza lazma ugeuke uitizame.
Tatizo la huyu dada ilikuw ni kujikojolea usiku hii ndo kasoro aliyokuwa nayo pamoja na uzuri wote. Siku niliyokuja fahamu ana hili tatizo ni siku ambayo tulitoka out night ikabd tulale lodge, nilishuhudia live demu akikojoa mpaka nikahisi maybe nilimkuna sana kumbe ndo tatizo lake. Ndio kunambia ukweli wa tatizo lake.
Hatukudumu sana tuliachana, sijui kama alipona au bado.