Ulishampiga Mwanamke? Imeniuma sana...

Kumbuka E alilamika una mazoea mabaya na huyo binti, na kwann alitaka kukuficha kwamba hajui funguo ziko wapi mpaka ulimpompigia simu kumchana? Inabidi uwe mwerevu sana na ujue fitna au siasa za maofisini especially kudeal na wadada:

1. Hao mabinti wanashare information zako zaidi ya ufikiriavyo.

2. Kuna uwezekano mkubwa wote wako interested nawe ila wewe uko interested kwa mmoja, tena ni huyo binti.

Kiofisi na kwa sheria za kazi hii si kesi nzuri kama ushahidi utathibitika. Ushauri:

1. Acha mazoea kabisa na huyo binti, tena mpotezee kabisa kwa sasa, msalimie tu na mahusiano yawe ya kikazi tu, and it has to be strictly professional.

2. Inabidi ucheze fitna, mwokozi wako kwa sasa ni E, kuwa naye karibu sana, take her out for lunch kipindi hiki, piga naye story etc., yaani keep her close to you.

3. Omba ushauri kwa E, ila muapize kwamba what you are gonna talk iwe between you guys, na mueleze kwamba unajuta kuwa na mazoea na huyo binti, unajutia na unataka kufunga huo ukarasa na bora sasa uwe close to yeye E. Andaa any simple gift umpe.

4. Umpe E assignment ya kumlainisha huyo binti na kuhakikisha anasamehe, kuna ushauri wowote akupe mlimalize.

5. Endelea na open casual friendship na E huku ukipata daily feedbacks mpaka soo litakapoisha.

6. Don't ever plan, yaani usije ukarogwa ukatembea na yeyote kati ya hao mabinti, itakula kwako big time!! Play with their minds only, baada ya 3-6 months potezea wote.

7. Punguza, jizuie, na acha kabisa kuwa na mihemuko au hasira maeneo ya kazi, it will cost you dearly!

Aagh! Natamani kuendelea kutype ila vidole vinauma ... na uzee huu tabu tupu!

All the best Rabboni !
 
Huyo demu anakuelewa na alitaka umchape nao, tena ungemmaliza tu kistaarabu. Zote hizo ni signals mkuu ulitakiwe umpeleke kibla mkamalizie utani wenu huko baada ya office hours.

Hamna jipya hapo zaidi ya penzi la kitoto type ya kukimbizana na kumwagiana maji na binamu yako mkiwa nyumbani ile kipindi mko teens.

Fanya kumpasua kama anafaa kulika lakini ila kama mmbovu zaidi ya wife mteme! Atakuletea shida.
 
Anaweza kukufukuzisha kazi huyo.

Umemchekea chekea sana hadi ukajenga mazingira ya kuchukuliana chaji.

Kuna uwezekano ulionyesha dalili za kumtaka.

Epuka mapenzi ama kutongozana kazini.
Au labda ulishamla? Why akuzoee hivyo.
Na huyo dada ni mchaga nini? Au mhehe
 
Sijui ulimjengea mazingira gani mpaka akaamua akuzoee kiasi hicho. Ila cable si ya kwake, na hata alivyoulizwa na E alikiri kuwa hata isipokuwa yake, ni lazima uirudishe. Hapo inaonesha jinsi asivyo na busara, kufanya mambo ya kitoto kabisa kama vile mko mazingira ya nyumbani hivi. Kupiga si vizuri, ila sidhani kama ungezipata hizo funguo bila ya purukushani ya aina yoyote, labda ungempa cable. Lililotokea, limeshatokea. Umeomba msamaha, pengine ni mapema kwa yeye kusamehe, kutokana na hasira na kutokutegemea hatua uliyoichukua. Pengine kwa kipindi ambacho haupo, atapata muda wa kutafakari. Kama atasamehe au la, la kujifunza ni bora ungeirudisha hiyo cable, na kumueleza kwa uwazi kabisa kuwa kusiwe na mazoeano ya kiasi hicho.
Asante mkuu, ni kweli niliwaza kuirudisha cable ila nikaona ni ujinga. Alishakaa nayo for almost 2 weeks na bado anataka kuendelea kuwa nayo for no reasons. Aisee
 
makosa ni yake na ayo mazoea yangekucost umemuomba msamaha kakataa just keep distance nae over
 
Bila shaka ulimtengenezea mazingira aliyodhani unamtaka au ulimtaka na yeye akawa anakutaka kwa kujizungusha kwanza. Na kama hujawahi kumtaka usijaribu atakuharibia kabisa future yako. Kwani E na nyie wawili mna umri gani?
 
Kwa nilivyosoma tu nyie mnaonekana mnatakana si kwa mazoea ya kijinga hivyo.

Ukirudi likizo mchunie, usiongee nae chochote zaidi ya kumtuma kazi.
 
Nina wasiwasi katika kuzoeana kwenu labda kiutani au kwa kumaanisha ulishawahi kuongea maneni yenye hisia za mapenzi kisha baadae ukapotezea thats why yanatokea yote hayo.
 
Binafsi nilikuwa na tabia ya kuongea na binti flani kiutani kuhusiana na hisia za kimapenzi baadae nikapotezea, siku hizi nikikutana nae ananipa maneno mabaya sana mara mimi ni mtoto sana kwake mara mimi ni mgojwa siwezi shughuli and many more..
 
Kaka kiufupi huyo dada anachotaka ni faragha na wewe. Na kwa jinsi inavyoonekana akili zake bado hazijakomaa kwa njia anazotumia na pia vituko vyote vile alivyofanya bado ukajifanya kichwa ngumu kutomuelewa anataka nini. Nakuhakikishia huo msamaha hutoupata mpaka umpe anachokitaka maana atakazia hapohapo ili somo likuingie apate makinikia yake. Kwa ushauri wangu tu ulijiona unakosa, ukaomba msamaha akakataa,achana nae na kaa nae mbali. Kumbuka una mke na Mahusiano kazini sio mazuri. Kwa akili zake ukilala nae tu lazima atakuja kukuharibia sooner or later.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom