Balaamtombe tu no way out
Asante mkuu, ni kweli niliwaza kuirudisha cable ila nikaona ni ujinga. Alishakaa nayo for almost 2 weeks na bado anataka kuendelea kuwa nayo for no reasons. AiseeSijui ulimjengea mazingira gani mpaka akaamua akuzoee kiasi hicho. Ila cable si ya kwake, na hata alivyoulizwa na E alikiri kuwa hata isipokuwa yake, ni lazima uirudishe. Hapo inaonesha jinsi asivyo na busara, kufanya mambo ya kitoto kabisa kama vile mko mazingira ya nyumbani hivi. Kupiga si vizuri, ila sidhani kama ungezipata hizo funguo bila ya purukushani ya aina yoyote, labda ungempa cable. Lililotokea, limeshatokea. Umeomba msamaha, pengine ni mapema kwa yeye kusamehe, kutokana na hasira na kutokutegemea hatua uliyoichukua. Pengine kwa kipindi ambacho haupo, atapata muda wa kutafakari. Kama atasamehe au la, la kujifunza ni bora ungeirudisha hiyo cable, na kumueleza kwa uwazi kabisa kuwa kusiwe na mazoeano ya kiasi hicho.
Aisee...mkuu kuna mambo mengine msamaha ni muhimu aiseeKuomba msamaha ni ujinga sana..
Nishakataa kuomba msamaha mwanamke tena labda awe mke wangu
Huyu mtu yuko chini yangu kikazi mkuu.Mazoeya na hao viumbe ktk eneo la kazi hayatakiwi kabisa
Ha ha ha....Walahi nina uhakika 100% anakutaka.