Ulipofikia ujenzi wa uwanja wa Arusha

Ulipofikia ujenzi wa uwanja wa Arusha

Kwa hiyo mtu kama Rostam anayetumiwa na watawala mafisadi baada ya kufanya ufisadi kwenye ile kashfa ya EPA 2005 unaweza kutuambia kwamba amepigana kuupata utajiri wake.

Matajiri wengi wa nchi hii wametajirika kwa njia hizo hizo za kifisadi na ni mawakala wa watawala mafisadi walioacha nchi ikiwa maskini wa kutupwa lakini kwa kuwa machawa siku zote akili fupi wanabaki kusifia tu. Bure kabisa.
una ushahidi wowote kwamba ameiba pesa? na je ni yeye peke yake tajiri? vp wengine? na wewe vp?
 
una ushahidi wowote kwamba ameiba pesa? na je ni yeye peke yake tajiri? vp wengine? na wewe vp?
Ukiacha uchawa ukafuatilia vizuri kashfa ya EPA utaelewa tu. Wengine hao ni akina nani maanake kila mtu ana historia yake.

Katika nchi zilizoendelea za magharibi maswala ya utafutaji yako wazi na ushahidi tunaweza kuupata katika majarida yale kama "Forbes".

Lakini katika nchi zetu hizi za kiswahili ni uongo mtupu na ndio maana tajiri yeyote hawezi kujinasibisha na vyama vya upinzani na akibainika tu ndio mwisho wa utajiri wake.

Hii ni kwa sababu utajiri wenyewe umejaa ulaghai unaobarikiwa na serikali iliyoko madarakani. Kama nasema uongo leo hii Bakhressa, Mo au GSM ajaribu kujiunga na Chadema uone kama hajapanda dala dala ndani ya mwezi mmoja tu.
 
Ukiacha uchawa ukafuatilia vizuri kashfa ya EPA utaelewa tu. Wengine hao ni akina nani maanake kila mtu ana historia yake.

Katika nchi zilizoendelea za magharibi maswala ya utafutaji yako wazi na ushahidi tunaweza kuupata katika majarida yale kama "Forbes".

Lakini katika nchi zetu hizi za kiswahili ni uongo mtupu na ndio maana tajiri yeyote hawezi kujinasibisha na vyama vya upinzani na akibainika tu ndio mwisho wa utajiri wake.

Hii ni kwa sababu utajiri wenyewe umejaa ulaghai unaobarikiwa na serikali iliyoko madarakani. Kama nasema uongo leo hii Bakhressa, Mo au GSM ajaribu kujiunga na Chadema uone kama hajapanda dala dala ndani ya mwezi mmoja tu.
Unahitaji elimu sana, kuna uwezekano mkubwa ukawa mfuasi wa siasa tunazoita maji taka za kuamini kila aliepo ccm ni tajiri na matajiri wote wana mkono wa serikali, ukweli ni kwamba utajiri hauna uhusiano na siasa, hakuna utajiri wowote duaniani una uhusiano na siasa, ila matajiri unaowaona wooote wapo upande wa serikali kwa sababu ya wepesi wa mipango yao kwenda, kwa mfano mm nikiwa tajiri nikiwa upande wa serikali basi issue za vibali, mikataba na usaidizi katika kutoa maoni kwenye serikali kuu hua mrahisi sana na ni kitu cha kawaida, ukisoma biblia kuna sehem inasema Mwenye nacho huongezewa na asie kua nacho anachukuliwa ata kidogo alicho nacho, unfortunately hivo ndo kanuni za maisha zilivo katika upande wa capitalism and there is nothing you can do, ukiachana na kurithi mali wote waliofanikiwa wamepita sehem ngumu sana hivo lazima dunia iwapongeze


ukiachana na tanzania, nchi zote duniani matajiri hua wachache kwa sababu wengi wenu ni wavivu na wapenda kulalamika, matjiri wengi ni productive hivo hua chaguo la kwanza katika uongozi, ukishindwa kufanikiwa jitafakari kila sehem unayoenda maisha ni haya haya utakua maskini kama haujui dunia inaendeshwa vp
 
Unahitaji elimu sana, kuna uwezekano mkubwa ukawa mfuasi wa siasa tunazoita maji taka za kuamini kila aliepo ccm ni tajiri na matajiri wote wana mkono wa serikali, ukweli ni kwamba utajiri hauna uhusiano na siasa, hakuna utajiri wowote duaniani una uhusiano na siasa, ila matajiri unaowaona wooote wapo upande wa serikali kwa sababu ya wepesi wa mipango yao kwenda, kwa mfano mm nikiwa tajiri nikiwa upande wa serikali basi issue za vibali, mikataba na usaidizi katika kutoa maoni kwenye serikali kuu hua mrahisi sana na ni kitu cha kawaida, ukisoma biblia kuna sehem inasema Mwenye nacho huongezewa na asie kua nacho anachukuliwa ata kidogo alicho nacho, unfortunately hivo ndo kanuni za maisha zilivo katika upande wa capitalism and there is nothing you can do, ukiachana na kurithi mali wote waliofanikiwa wamepita sehem ngumu sana hivo lazima dunia iwapongeze


ukiachana na tanzania, nchi zote duniani matajiri hua wachache kwa sababu wengi wenu ni wavivu na wapenda kulalamika, matjiri wengi ni productive hivo hua chaguo la kwanza katika uongozi, ukishindwa kufanikiwa jitafakari kila sehem unayoenda maisha ni haya haya utakua maskini kama haujui dunia inaendeshwa vp
Hoja yangu kuhusu matajiri wengi wa nchi hii iko vilevile kwamba wanaigeuza ccm kuwa kichaka cha kujifichia owing to their ill- gotten wealth.

Katika nchi kama Kenya ambayo kwa kiasi kikubwa ina demokrasia ya kweli kuliko jirani yake Tanzania unakuta matajiri wakubwa kabisa wako upinzani na hakuna anayewatisha tofauti kabisa na Tanzania.

Tuliona wakati wa utawala wa Moi (Rip) matajiri wakubwa kama akina Kenneth Matiba, Charles Rubia na Jaramogi Oginga Odinga wakimtesa Moi huku wakiwa upinzani na bila kuathiri kabisa utajiri wao.
 
Hoja yangu kuhusu matajiri wengi wa nchi hii iko vilevile kwamba wanaigeuza ccm kuwa kichaka cha kujifichia owing to their ill- gotten wealth.

Katika nchi kama Kenya ambayo kwa kiasi kikubwa ina demokrasia ya kweli kuliko jirani yake Tanzania unakuta matajiri wakubwa kabisa wako upinzani na hakuna anayewatisha tofauti kabisa na Tanzania.

Tuliona wakati wa utawala wa Moi (Rip) matajiri wakubwa kama akina Kenneth Matiba, Charles Rubia na Jaramogi Oginga Odinga wakimtesa Moi huku wakiwa upinzani na bila kuathiri kabisa utajiri wao.
🤣 🤣 na hizi ndo siasa maji taka sasa, kati ya kenya na tanzania nchi gan ina corruption index kubwa? kuna tajiri yoyote kenya ashatokea kwenye forbes akiwa na biashara halali ukiachana na wakina manu chandaria
 
🤣 🤣 na hizi ndo siasa maji taka sasa, kati ya kenya na tanzania nchi gan ina corruption index kubwa? kuna tajiri yoyote kenya ashatokea kwenye forbes akiwa na biashara halali ukiachana na wakina manu chandaria
Hao wapinzani kama wangekuwa na biashara ya kimagumashi ingekuwa rahisi sana kwa serikali kuwamaliza na hiyo hali ndio inawafanya wafanya biashara wa kitanzania kujazana ccm ili wawe salama na magendo zao na ndio maana wanakichangia pesa.
 
Hao wapinzani kama wangekuwa na biashara ya kimagumashi ingekuwa rahisi sana kwa serikali kuwamaliza na hiyo hali ndio inawafanya wafanya biashara wa kitanzania kujazana ccm ili wawe salama na magendo zao na ndio maana wanakichangia pesa.
hizi tunaita siasa maji taka wewe kama umeshindwa kutoka kimaisha wewe pumzika zako subiria utakapozaliwa mara ya 2
 
sera gan mbovu inakuzuia wewe kutoka kwenye umaskini? au miundo mbinu gan imekuzuia, wenzako wamekuaje matajiri?
Uchawa ukiisha utaweza kuelewa lkn kwa hali hiyo uliyonayo ni kazi bure tu kulumbana na wewe.
 
sera gan mbovu inakuzuia wewe kutoka kwenye umaskini? au miundo mbinu gan imekuzuia, wenzako wamekuaje matajiri?
Wewe huna hoja, ni nchi gani duniani ambapo kila raia ni tajiri. Kinachopiganiwa ni kwa kila raia kuweza kumudu maisha kitu ambacho katika nchi kama hii ni wachache sana wenye hali hiyo.

Tungekuwa na serikali makini sekta tatu tu kilimo, madini na utalii zingeweza kufuta umaskini katika nchi hii lakini kwa hii serikali hilo halipo.

Ukiwa chawa huwezi kuelewa ninachokiongea hapa.
 
Wewe huna hoja, ni nchi gani duniani ambapo kila raia ni tajiri. Kinachopiganiwa ni kwa kila raia kuweza kumudu maisha kitu ambacho katika nchi kama hii ni wachache sana wenye hali hiyo.

Tungekuwa na serikali makini sekta tatu tu kilimo, madini na utalii zingeweza kufuta umaskini katika nchi hii lakini kwa hii serikali hilo halipo.

Ukiwa chawa huwezi kuelewa ninachokiongea hapa.
sio bure kuna nati zimelegea, yaani umaskini ni kazi ya serikali kufuta 🤣 🤣 unalipwa kutokana na thamani unaoleta duniani, sasa kama hamna cha maaana unaleta duniani unategemea upewe nn, kwa kifupi rudi uelewe capitalism ni nn
 
Back
Top Bottom