Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Kwa kusudi hili Aikaeli Mbowe ulichaguliwa. Maana sasa hapa unatia mhuri msingi wa harakati za kuiingia siku mpya ya ukombozi, iliyoaminiwa na watu waliokandamizwa na kuonewa katika ardhi yao wenyewe.
Uwe mwenye moyo mkuu, kwa kuwa upo kwenye mioyo yetu watanzania. Tutakutia nguvu katika hali na mali. Hili tutalifanya sii kwa sababu wewe una la zaidi yetu, bali kwa kuwa umeichagua ile njia nyembamba ya kudharauliwa na kunyanyaswa kwa ajili ya wanyonge, watu wa taifa hili. Tatakuwa wenye dhambi kubwa sana tusiposhikamana na wewe na kuzidi pia katika kipindi hiki taabu. Wewe mwenyewe utajua kwa hakika hatuwezi kukuacha peke yako kwa jinsi tutakavyo kuwa na wewe bega kwa bega.
Damu waliyoimwaga Tarime imewatia wazimu na hii damu haitawaacha mpaka watakapolifikilia shimo lao.
.
Uwe mwenye moyo mkuu, kwa kuwa upo kwenye mioyo yetu watanzania. Tutakutia nguvu katika hali na mali. Hili tutalifanya sii kwa sababu wewe una la zaidi yetu, bali kwa kuwa umeichagua ile njia nyembamba ya kudharauliwa na kunyanyaswa kwa ajili ya wanyonge, watu wa taifa hili. Tatakuwa wenye dhambi kubwa sana tusiposhikamana na wewe na kuzidi pia katika kipindi hiki taabu. Wewe mwenyewe utajua kwa hakika hatuwezi kukuacha peke yako kwa jinsi tutakavyo kuwa na wewe bega kwa bega.
Damu waliyoimwaga Tarime imewatia wazimu na hii damu haitawaacha mpaka watakapolifikilia shimo lao.
.