Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 99
Ufikapo kwenye geti la kuingilia mlimani city kama una gari unapewa kadi na wale askari geti wa OMEGA NITRO. Kadi hiyo nyuma imeandikwa "Omega Nitro (T) and mlimani holdings accept no liability for damage or losses to vehicles and personal property. Parking is at owner's risk" Sasa kampuni hii ya ulinzi pale mlimani city inalipwa pesa kwa kazi gani, kutoa card? kama si ufisadi mwingine ni nini? NI HAYO TU WADAU