Umemsahau F Mwarabu, Lukando, F Nyundo na wengine wengi.kwa wale wanaopenda kwaya za kikatoliki, Bernad Mukassa si mgeni kwao, yeye ni mwalimu wa kwaya ya Mt. Kizito makuburi, ni mtunzi alijizolea sifa nyingi kwa utunzi wake wa nyimbo. hata ukichukua albam za kwaya nyingi huwezi kukosa wimbo wa Mukasa, licha ya kuwa mtunzi bora ila kwa upande wangu mimi naona MUKASA, na wenzake kama VICTOR MURISHIWA, E.L MKUDE, E.F JISSU, MANOTA na watunzi wengine wanaochipukia wanaanza kuharibu ladha ya muziki wa kikatoliki kwa kuingiza vionjo na free organ za ajabu ajabu, kwa mfano wimbo uitwao KIDOLE JUU ngoma zake zimechukuliwa kutoka kwenye wimbo wa kihindi uitwao GOLOGOLO na nyimbo nyingine nyingi ambazo MKUDE amekuwa akicheza KINANDA amekuwa akiiba free organ za nyimbo za dunia.Nyimbo za watunzi hawa nyingi zimekuwa ni za kasi yaani 6/16, badala ya nyimbo za kutafakarisha ambazo zilikuwa zikitungwa na JOHN MGANDU, DEO KALOLELA, MARCUS MTINGA,A.NGURUMO, J.MAKOYE, SEVERIN SWILLA na wengine ambapo nyimbo nyingi zilikuwa na mwendo wa 4/4, 2/4,3/4 na 3/8. vilevile watunzi hawa wamezidisha nyimbo mpya kila siku kanisani kama inawezekana nyimbo za kuuzia albam zisipigwe kanisani.
tunataka ile ladha ya kikatoliki irejeee
Gregorian tune. Kweli misingi idumishwe.Naunga mkono hoja,wajirudi jamani wasijetupotezea vile vionjo aslia vya nyimbo za kikatoliki
IPO kimara suka. Upande wa kushoto kama unatokea mbezinashukuru ndugu yangu nitasali huko siku moja. i really miss that...hiyo atmosphere huwa inanipeleka straight mbinguni. niko dar lakini naomba nijulishe mavurunza ni maeneo gani hasa.. nitashukuru kwa taarifa.
Aisee... Kumbe nilishakupa like toka wakati huo? Maana hata sikumbuki kumbe nilishasoma huu uzi. Ni kweli kuna nyimbo nyingi za kiliturujia zinapotea. Tena zile ambazo zikiimbwa kanisa zima linapokeakwa wale wanaopenda kwaya za kikatoliki, Bernad Mukassa si mgeni kwao, yeye ni mwalimu wa kwaya ya Mt. Kizito makuburi, ni mtunzi alijizolea sifa nyingi kwa utunzi wake wa nyimbo. hata ukichukua albam za kwaya nyingi huwezi kukosa wimbo wa Mukasa, licha ya kuwa mtunzi bora ila kwa upande wangu mimi naona MUKASA, na wenzake kama VICTOR MURISHIWA, E.L MKUDE, E.F JISSU, MANOTA na watunzi wengine wanaochipukia wanaanza kuharibu ladha ya muziki wa kikatoliki kwa kuingiza vionjo na free organ za ajabu ajabu, kwa mfano wimbo uitwao KIDOLE JUU ngoma zake zimechukuliwa kutoka kwenye wimbo wa kihindi uitwao GOLOGOLO na nyimbo nyingine nyingi ambazo MKUDE amekuwa akicheza KINANDA amekuwa akiiba free organ za nyimbo za dunia.Nyimbo za watunzi hawa nyingi zimekuwa ni za kasi yaani 6/16, badala ya nyimbo za kutafakarisha ambazo zilikuwa zikitungwa na JOHN MGANDU, DEO KALOLELA, MARCUS MTINGA,A.NGURUMO, J.MAKOYE, SEVERIN SWILLA na wengine ambapo nyimbo nyingi zilikuwa na mwendo wa 4/4, 2/4,3/4 na 3/8. vilevile watunzi hawa wamezidisha nyimbo mpya kila siku kanisani kama inawezekana nyimbo za kuuzia albam zisipigwe kanisani.
tunataka ile ladha ya kikatoliki irejeee
Father Sangu na Mzee Mwarabu bado wapo hai.Fr.ntapambata,Syote,makoye,babu mgandu ,babu Malema mwanampepo,babu Sangu, Fr gregory kayetta, Mzee mwarabu, Nyundo hawa miamba ,wengi wamepumzika kwa amani ila wanaishi
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Kaboka Mchizi siku hizi umekuwa Reverand father.Dunia naenda kasi sana.
Njoo usali parokia ya Mavurunza dsm misa ya saa 4 utaburudika na nyimbo za tradition catholic
Naam Father Sangu alikuwa KAENGESA SEMINARY sumbawanga,ni kaka wa damu wa Askofu wa sasa wa Shinyanga,LIBERATUS SANGU.Father Sangu na Mzee Mwarabu bado wapo hai.