Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,816
- 8,666
Aah kumbe ndo ivomkuu jifunze kuandika ukiwa umetulia. na kama kitu hukifahamu ni vyema kukaa kimyaa kujifunza kwa wenzako.
pia usipende kuwa mjuaji kwa mambo usiyoyajua utakosa vingi.
Aah kumbe ndo ivomkuu jifunze kuandika ukiwa umetulia. na kama kitu hukifahamu ni vyema kukaa kimyaa kujifunza kwa wenzako.
pia usipende kuwa mjuaji kwa mambo usiyoyajua utakosa vingi.
Pia huwezi kugarramia nyuma mamilioni ya pesa wakati unajua ukimaliza kuijenga unaibomoaMeans haiwezekani kabisa, ukajenga jengo ambalo mwisho wa siku hujui mlango wa nyuma uko upande gani,
MKuu naona haujasoma mpaka mwisho hoja yangu hapo juu ngoja nikupe mambo ya nyongeza uelewe
Kufanikiwa sio lazima Mungu akuwezeshe wala sio lazima uweze kupitia Mungu, kuna kitu kinaitwa Balance of nature hii sio kama ile uliyosoma katika mashule hapa tunaikazia kidogo na kuita Balance Of Law Of The Universe hii kitu ni kubwa mno kuzidi unavyofikiria hii kitu ukiielewa ndio uatajua kwanini kuna masikini wakati huohuo kuna matajiri kwanini sio wote wanaoomba Mungu hufanikiwa na kwanini wengine hufanikiwa pasipo kuroga wala kuomba Mungu, ila watu wa dini mnaishia tu kusema ni Neema Za Mungu.
Mfano ukiwa unaishi viuri na jamii inayokuzunguka na unashirikiana vizuri na watu ni rahisi kufaniiwa katika mambo mbalimbali kuliko ungekuwa unaishi vibaya na jamii yako.
Mungu hakupi wewe kuishi vizuri na jamii bali wew endio jukumu lako kuamua njia ipi utaipitia mwisho wasiku sasa ndio unapotambua yakuwa Ili uweze kuwa na faida zaidi nilazima uwe chini ya kitu au mtu fulani nk
Hapo ndio wengine huchagua ulozi na wengine huenda kwa Mungu
Sasa master wako ndio atakuongezea katika kufanya guidance ya maisha yako, kulingana na jinsi utakavoishi naye na huyo master yaweza kuwa nguvu yoyote ile unayoiamini kama Mungu,Shetani nk
nimekuambia kitu kikubwa sana hapa Nakuombea tu ukielewe
ila rudia tena kusoma hoja yangu
Hapo ndo safi sio unaweka weka vitu. Na kingine kama huto jaliWaterbender ila tafuta kitabu kinaitwa The Goal Of Life kimeandikwa na Hiram Butler
Pia huwezi kugarramia nyuma mamilioni ya pesa wakati unajua ukimaliza kuijenga unaibomoa
Qur AanImeandikwa wap mungu kamfundisha mwanadam mema na mabaya
Sikuaminishi MWanadamu anaweza kumcheat Mungu ila nakuaminisha kuwa Mungu amekupa uhuru wa wewe kuamua unalotaka hakumwingilia eva kula tunda pale edeni hakumzuia kaini kumuua Abel wala hazuii magonjwa kuwapata wanadamu wala hazuii wauaji kuwaua wanadamu wenzao wala hazuii watu kuibiana wake ila ukimruhusu wewe kuzuia ndio atachukua nafasi ya kuzuia au kukueleweshwa kwanini hataki kuzuiaRemember yote ambayo unayasema hayo mambo ya nature or wherever yameanzishwa na yy, yan yy ndio amekupa ufahamu wa kujua hiyo balance of nature, unachotaka kutuaminisha ni kuwa human anaweza kumcheat God
Na roho ya mungu ikatulia juu ya maji 1rohoRemember yote ambayo unayasema hayo mambo ya nature or wherever yameanzishwa na yy, yan yy ndio amekupa ufahamu wa kujua hiyo balance of nature, unachotaka kutuaminisha ni kuwa human anaweza kumcheat God
Sasa ndugu ukibishana na mawazo ya kibinadamu ambayo Mungu ameyaweka kwako sasa unataka ukubaliane na mawazo ya kishetani ama?Hayo kwa mawazo yako ya kibinadamu that's why Mungu ameweka kitu kinaitwa ujui kesho yako ikoje,
Sio lazima ulogwe ndio umjue Mungu vizuri usipoijua kweli hautakuwa huru hata siku moja"Ukirogwa utamjua mungu vizuri "
Labda huko kwenye bible mema na mabaya ni baada ya tunda na mungu hakuwa anataka adam ajue mema na mabayaQur Aan
Ndio maana unapinga kile usichokielewa nduguSio nirudie kusoma coz najua n utakuja andika
Mwenyezi Mungu kakupa mipaka ktk matumizi ya Uhuru wako, ndio maana Kuna adhabu za dunia (kwa mfano Magonjwa yanayotokana na matumizi ya vitu vilivyokataliwa na Mwenyezi Mungu) pia adhabu ya Moto wa Jahannamu siku ya kiama kwa waliotumia Uhuru wao vibayaHakika na ndio maana katika uhuru huo Mungu huwa hawezi kukuingilia unapaswa wewe kumruhusu aweze kutawala uhuru wako usipotaka basi hawezi fanya hivyo ndio hapo hoja yangu inaposimamia
Hayo ni matokeo tu ila maamuzi yako mikononi mwako umruhusu akutawale ama ujitawale mwenyewe na ukikosea ndio utakutana na matokeo hayoMwenyezi Mungu kakupa mipaka ktk matumizi ya Uhuru wako, ndio maana Kuna adhabu za dunia (kwa mfano Magonjwa yanayotokana na matumizi ya vitu vilivyokataliwa na Mwenyezi Mungu) pia adhabu ya Moto wa Jahannamu siku ya kiama kwa waliotumia Uhuru wao vibaya
Sasa ndugu ukibishana na mawazo ya kibinadamu ambayo Mungu ameyaweka kwako sasa unataka ukubaliane na mawazo ya kishetani ama?
Na haujui kesho yako ikoje na bado unapanga mipango ya kesho kwanini?
Hayo ni matokeo tu ila maamuzi yako mikononi mwako umruhusu akutawale ama ujitawale mwenyewe na ukikosea ndio utakutana na matokeo hayo
unadhani kabla hazijaja dini kipindi tunaabudu mizimu yetu unadhani tulikuwa tunakufuru ama hatukufuru?
Si kweli kwamba magonjwa yanatokana na matumizi ya vitu vilivyokatazwa na Mungu. Magonjwa mengi tu hayaepukiki na wala hayatokani na kula chochote mfn mdogo Malaria.Mwenyezi Mungu kakupa mipaka ktk matumizi ya Uhuru wako, ndio maana Kuna adhabu za dunia (kwa mfano Magonjwa yanayotokana na matumizi ya vitu vilivyokataliwa na Mwenyezi Mungu) pia adhabu ya Moto wa Jahannamu siku ya kiama kwa waliotumia Uhuru wao vibaya
Yaani unachoongelea hapa sasa ndio mojawapo ya uhuru wa mwanadamuSheria ni zile zile no matter una dini au unaabudu mibuyu, ishu ni the same, na imesaidia sana
Kwahiyo unakiri kuwa Hata bila dini bado unaweza kumwabudu Mungu si ndio?
Yaani unachoongelea hapa sasa ndio mojawapo ya uhuru wa mwanadamu