KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,290
Habari yenu ndugu zangu
Naamini muwazima wa afya njema pia poleni na majukumu yaa kila siku
Naomba sana tena sana Ndugu moderator uzi huu hauna nguvu zaidi katika dini hivyo naomba usipelekwe katika jukwaa la dini.
NIlipenda sana niweze kuuweka katika jukwaa lile lingine sema zinachelewa sana kuwa approved ndio maana nauweka hapa,Naombeni tena uzi huu naomba ubakie hapahapa.
Niukweli usiopingika (MUNGU HAJUI NINI HATIMA YA MAISHA YAKO) japo wanadamu tunashindwa kutambua kwasababu ya kutokuelewa nini ile nguvu iliyoko ndani yetu.
Watu wasema Mungu ni muweza wa yote anajua mawaazo yetu anajua haja zetu yaani kila kitu kuhusu sisi wanadamu anajua na kila mtu ataweza kuthibitisha kwa namna yake ya vitabu vyake ama misingi ya dini yake au Imani yake.
Kabla sijawez akukupa sababu za hoja zangu kwanza nakuomba uelewe jambo moja huenda hki nakuambia leo ni jambo jipya kabisa wala haujawahi kulisikia mahali lakini zaidi ya yote unaweza ona kama mim na kufuru ila ukweli unabakia palepale Mungu hajui wew ni wamotoni niwapeponi kesho utafanya nini yain anything about you hajui kabisa.
Sasa nakuomba usipaniki kwanza sababu ya kauli za hapo juu ila nakuomba tulia kidogo umbuza jazba uweze kunielewa sasa.
Kuna baba mmoja anampa mwanaye Shilingi laki moja kwakuwa ameweza kufaulu mtihani wake wa mwisho na kuna mwingine anampa elfu hamsini kwakuwa hakufanya vizuri sana katika mtihani wake wamwisho.
Kesho yake aliyefaulu anachukua marafiki zake wanaenda kufurahia maisha japo kwa mda kuondoa zile stress za kusoma lakini na kufurahia mafanikio yao
Aliyepewa 50 anajisikia mnyonge kidogo japo ajapo anajipa moyo anayonafasi nyingine ya kutetea heshima yake anaenda kwa baba yake akimuomba amuongezee hela kidogo ili aweze kufanya biashara zingine baba anamuongeza huyu mtoto tena laki mbili sababu ya kuona amefanya maamuzi mema japo mtihani wake wa mwisho hakufanya vyema.
Sasa sikia jambo moja hivi kama Mungu anajua wewe ni wamotoni kwanini aendelee kukuletea wahubiri kila siku kwa ajili ya kukubadirisha wakati anaelewa hatima yako ni ya motoni?
Ingekuwa anajua kweli na anakuletea habari hiyo Naweza sema Huyu Mungu ni Mnafiki, Sio uungwana kabisa najua wewe tumeazimia kukunyonga lakini nakusumbua tu kuendela kukuambia leta utetezi wako, yaani nakutengenezea zengwe ushindwe kujitetea? hapana Mungu hawezi fanya hivyo kama hawezi fanya hivyo Hajui hatima ya maisha yako.
Rudi kidogo katika mwanzo wa uumbaji pale Edeni, Utaona yakuwa mwanadamu Alikwisha pewa mamlaka ya maisha yake yeye mwenyewe binafsi katika mikono yake, Yaani wewe mwanadamu ndio uamue nini utafanya
Ndio maana Mungu hakujua kama Eva angekula tunda hata walipokula pamoja na Adam bado alipofika akaanza kuita hakujua wako wapi hawa Adamu na Eva Kumbuka Mungu unayesema anajua Kila kitu amejua mwanadamu anafanya jambo linalomgarimu na kuugalimu ulimwengu mzima na hajalizuia sasa tutaamini vipi wakati ameshindwa kulizuia?
Kumbuka hata shetani unapoambiwa alikuwa malaika kule Mbinguni yeye pia alipoanza kuasi Mungu hakujua kabisa
Kumbuka Hata Wale watoto wa Adamu walipouana Mungu anamuuliza Kaini ndugu yako yuko wapi? Ukiendelea mbele utaona Mungu anadai Sauti ya Kaini anaisikia ikimlilia lakini hajui yuko wapi
Vipi umeanza kuja kidogo?
Kwa ufupi hapo totally unaweza kujua yakuwa Mungu mambo mengi hayajui kuhusu Mwanadamu kesho yake hatima yake nk
Nikukumbushe tu kitu kimo kabla sijaendelea kumbuka Shetani hana nguvu ya kumshinda mwanadamu mapepo,majini,vinyamkela nk havina hata uwezo wakupambana na mwanadamu ila sasa mwanadamu kuna kitu umefichwa haujafundishwa ama haujaelezwa na ndio maana unaogopa hata bundi tu likilia kwako.
Sasa NINI NAFASI YA MUNGU KAMA UMEONA HAJUI WALA KUTAMBUA HATMA YA MAISHA YAKO?
Kwanza ule udini na ulokole wako weka pembeni kwanza ili uweze kunielewa vyema usipouweka pembeni utabakia na udini waoko tu.
Wanadamu wote duniani ni watumwa yaani kila mwanadamu ni mtumwa vivyo hivyo kwa viumbe vingine nk
Hakuna mwanadamu aliyehuru kila mtu ni slave to something,someone nk
Ila tumetofautiana jambo moja tu who is your master?
Yule MKubwa wako ndiye anakufanya uonekane jinsi ulivyo sasa
Sasa Nafsi ya Mungu ni ipi?
Mungu anakuhitaji wewe kwa namna hii wewe ndio umpe kibali cha kuongoza your next step, yaani hatua yako inayofuatia ndio ambayo wewe unapaswa kumpa Mungu uhuru na maisha yako
Mungu hawezi kukuingia utaratibu wa maisha yako wakati hata haujampa kibali, kumbuka yule mtoto ambaye hakufanya vyema shule anapewa elfu hamsini lakini anarudi kwa baba kumwelezea juu ya biashara yake ndipo sasa Baba anamuongezea kiasi kikubwa zaidi ya kile hata alichopew aaliyefauli sababu tu Kamruhusu Baba yake na yeye kuwa kitu kimoja katika mipango yake,
Yaani Kama Mungu hua anakuandikia kila kitu sasa wewe leo unaenda bar unaenda kuchepuka unataka kusema Mungu amekuandikia wewe uende bar?
Amekuandikia wewe uende kwa mchepuko? amekuandikia wewe ujinyonge? amekuandikia wewe uanze kupakuliwa? Hapana ni uongo mkubwa hakuna kitu kama hicho
Ila wewe ndio mwenye hatima ya maisha yako uaanamua wewe uwe mtumwa wa nani Unapompa nafasi Mungu ndio unajua anaanza sasa kuangalia hata kesho yako, ndio anawez akakuambia hapo usiende hapo nenda.
Ukielewa Kitu Karma, Ukielewa Sheria na Kanuni za Ulimwengu hili jambo hata sio gumu kulielewa, nakosa lugha rahisi zzaidi ya kueleza ila nikwamba Mungu ni hadi umruhusu wewe aweze kuwa controller wa maisha yako, Usipo mruhusu hata haiwezi kuwa hivyo.
Kwa Mkazo
-Mungu alitupa wanadamu uwezo hata wakujiongoza sisi wenyewe pasipo kuwa chini ya mtu yeyote(Ila kumbuka yeye ndio top anaweza fanya lolote)
-Yaani kuna mfumo ukiweza kuuishi na kuufuata utashangaa hata haulijui kanisa wala msikiti ila siku ya kiama upo vip peponi(kiding)
-Ushawahi jiuliza kabla ya hizi dini kusambaa kote wale wa zamani watahukumiwa na nini? ukiwaza hilo ndio unarudi hapo juu sasa kupata mrejeo kuwa kuna mfumo ambao wanadamu tunapaswa kuufuata.
Kuna mtoto toka amezaliwa yeye hajawahi kwenda sehemu yoyote kuabudu wala kusali ila amekuwa akiishi vizuri na jamii inayomzunguka kadri anavyoendelea kukua jamii nzima inakuwa inamuangalia kwa namna ya pekee kutokana na jinsi anavyoishi na jamii yake vizuri hivyo inapelekea kuishi maisha ya Baraka kubwa mno kutoka kwa watu japo wale wasioelewa wanasema Mungu kambariki no Hapana nikwamba katumia uhuru wake vyema ila sasa anapoenda na kwa Mungu wawe pamoja ndio anafanikiwa zaidi ya hapo awali.
Nitakuja siku nyingine kuelezea uhuru wa mwanadamu ulivyo namna ambavyo unaweza kusihi pasipo kuingiliwa na tawala yoyote uelewe yale mamlaka uliyonayo,
Nikwamba mwanadamu unaweza ukatawala anything and more kuna mengi sana usiyoyajua kuhusu wewe mwenyewe soon or later nitakuja
Pia kitabu soon kinakamilika nilichoelezea kwa upana Mipaka Iliyopo Kati ya Mwanadamu na Mungu namna gani mwanadamu umepewa kuishi mfumo wa kiutawala kutoka kwa Mungu hadi kakiumbe ka mwisho
wewe mwanadam upo kundi gani wapi upo una nguvu gani una nini?
Nimeshindwa kuendelea kuandika sababu ya mda ila next time nitakuja kuongezea nyama kidogo, hapa nimejaribu kuelezea kwa lugha rahisi ambayo walau kila mtu anaweza kuelewa pasipo shida kubwa sana ila ukiwa na swali usisite unaweza kuuliza hapo chini
SEE You Next Time
Naamini muwazima wa afya njema pia poleni na majukumu yaa kila siku
Naomba sana tena sana Ndugu moderator uzi huu hauna nguvu zaidi katika dini hivyo naomba usipelekwe katika jukwaa la dini.
NIlipenda sana niweze kuuweka katika jukwaa lile lingine sema zinachelewa sana kuwa approved ndio maana nauweka hapa,Naombeni tena uzi huu naomba ubakie hapahapa.
Niukweli usiopingika (MUNGU HAJUI NINI HATIMA YA MAISHA YAKO) japo wanadamu tunashindwa kutambua kwasababu ya kutokuelewa nini ile nguvu iliyoko ndani yetu.
Watu wasema Mungu ni muweza wa yote anajua mawaazo yetu anajua haja zetu yaani kila kitu kuhusu sisi wanadamu anajua na kila mtu ataweza kuthibitisha kwa namna yake ya vitabu vyake ama misingi ya dini yake au Imani yake.
Kabla sijawez akukupa sababu za hoja zangu kwanza nakuomba uelewe jambo moja huenda hki nakuambia leo ni jambo jipya kabisa wala haujawahi kulisikia mahali lakini zaidi ya yote unaweza ona kama mim na kufuru ila ukweli unabakia palepale Mungu hajui wew ni wamotoni niwapeponi kesho utafanya nini yain anything about you hajui kabisa.
Sasa nakuomba usipaniki kwanza sababu ya kauli za hapo juu ila nakuomba tulia kidogo umbuza jazba uweze kunielewa sasa.
Kuna baba mmoja anampa mwanaye Shilingi laki moja kwakuwa ameweza kufaulu mtihani wake wa mwisho na kuna mwingine anampa elfu hamsini kwakuwa hakufanya vizuri sana katika mtihani wake wamwisho.
Kesho yake aliyefaulu anachukua marafiki zake wanaenda kufurahia maisha japo kwa mda kuondoa zile stress za kusoma lakini na kufurahia mafanikio yao
Aliyepewa 50 anajisikia mnyonge kidogo japo ajapo anajipa moyo anayonafasi nyingine ya kutetea heshima yake anaenda kwa baba yake akimuomba amuongezee hela kidogo ili aweze kufanya biashara zingine baba anamuongeza huyu mtoto tena laki mbili sababu ya kuona amefanya maamuzi mema japo mtihani wake wa mwisho hakufanya vyema.
Sasa sikia jambo moja hivi kama Mungu anajua wewe ni wamotoni kwanini aendelee kukuletea wahubiri kila siku kwa ajili ya kukubadirisha wakati anaelewa hatima yako ni ya motoni?
Ingekuwa anajua kweli na anakuletea habari hiyo Naweza sema Huyu Mungu ni Mnafiki, Sio uungwana kabisa najua wewe tumeazimia kukunyonga lakini nakusumbua tu kuendela kukuambia leta utetezi wako, yaani nakutengenezea zengwe ushindwe kujitetea? hapana Mungu hawezi fanya hivyo kama hawezi fanya hivyo Hajui hatima ya maisha yako.
Rudi kidogo katika mwanzo wa uumbaji pale Edeni, Utaona yakuwa mwanadamu Alikwisha pewa mamlaka ya maisha yake yeye mwenyewe binafsi katika mikono yake, Yaani wewe mwanadamu ndio uamue nini utafanya
Ndio maana Mungu hakujua kama Eva angekula tunda hata walipokula pamoja na Adam bado alipofika akaanza kuita hakujua wako wapi hawa Adamu na Eva Kumbuka Mungu unayesema anajua Kila kitu amejua mwanadamu anafanya jambo linalomgarimu na kuugalimu ulimwengu mzima na hajalizuia sasa tutaamini vipi wakati ameshindwa kulizuia?
Kumbuka hata shetani unapoambiwa alikuwa malaika kule Mbinguni yeye pia alipoanza kuasi Mungu hakujua kabisa
Kumbuka Hata Wale watoto wa Adamu walipouana Mungu anamuuliza Kaini ndugu yako yuko wapi? Ukiendelea mbele utaona Mungu anadai Sauti ya Kaini anaisikia ikimlilia lakini hajui yuko wapi
Vipi umeanza kuja kidogo?
Kwa ufupi hapo totally unaweza kujua yakuwa Mungu mambo mengi hayajui kuhusu Mwanadamu kesho yake hatima yake nk
Nikukumbushe tu kitu kimo kabla sijaendelea kumbuka Shetani hana nguvu ya kumshinda mwanadamu mapepo,majini,vinyamkela nk havina hata uwezo wakupambana na mwanadamu ila sasa mwanadamu kuna kitu umefichwa haujafundishwa ama haujaelezwa na ndio maana unaogopa hata bundi tu likilia kwako.
Sasa NINI NAFASI YA MUNGU KAMA UMEONA HAJUI WALA KUTAMBUA HATMA YA MAISHA YAKO?
Kwanza ule udini na ulokole wako weka pembeni kwanza ili uweze kunielewa vyema usipouweka pembeni utabakia na udini waoko tu.
Wanadamu wote duniani ni watumwa yaani kila mwanadamu ni mtumwa vivyo hivyo kwa viumbe vingine nk
Hakuna mwanadamu aliyehuru kila mtu ni slave to something,someone nk
Ila tumetofautiana jambo moja tu who is your master?
Yule MKubwa wako ndiye anakufanya uonekane jinsi ulivyo sasa
Sasa Nafsi ya Mungu ni ipi?
Mungu anakuhitaji wewe kwa namna hii wewe ndio umpe kibali cha kuongoza your next step, yaani hatua yako inayofuatia ndio ambayo wewe unapaswa kumpa Mungu uhuru na maisha yako
Mungu hawezi kukuingia utaratibu wa maisha yako wakati hata haujampa kibali, kumbuka yule mtoto ambaye hakufanya vyema shule anapewa elfu hamsini lakini anarudi kwa baba kumwelezea juu ya biashara yake ndipo sasa Baba anamuongezea kiasi kikubwa zaidi ya kile hata alichopew aaliyefauli sababu tu Kamruhusu Baba yake na yeye kuwa kitu kimoja katika mipango yake,
Yaani Kama Mungu hua anakuandikia kila kitu sasa wewe leo unaenda bar unaenda kuchepuka unataka kusema Mungu amekuandikia wewe uende bar?
Amekuandikia wewe uende kwa mchepuko? amekuandikia wewe ujinyonge? amekuandikia wewe uanze kupakuliwa? Hapana ni uongo mkubwa hakuna kitu kama hicho
Ila wewe ndio mwenye hatima ya maisha yako uaanamua wewe uwe mtumwa wa nani Unapompa nafasi Mungu ndio unajua anaanza sasa kuangalia hata kesho yako, ndio anawez akakuambia hapo usiende hapo nenda.
Ukielewa Kitu Karma, Ukielewa Sheria na Kanuni za Ulimwengu hili jambo hata sio gumu kulielewa, nakosa lugha rahisi zzaidi ya kueleza ila nikwamba Mungu ni hadi umruhusu wewe aweze kuwa controller wa maisha yako, Usipo mruhusu hata haiwezi kuwa hivyo.
Kwa Mkazo
-Mungu alitupa wanadamu uwezo hata wakujiongoza sisi wenyewe pasipo kuwa chini ya mtu yeyote(Ila kumbuka yeye ndio top anaweza fanya lolote)
-Yaani kuna mfumo ukiweza kuuishi na kuufuata utashangaa hata haulijui kanisa wala msikiti ila siku ya kiama upo vip peponi(kiding)
-Ushawahi jiuliza kabla ya hizi dini kusambaa kote wale wa zamani watahukumiwa na nini? ukiwaza hilo ndio unarudi hapo juu sasa kupata mrejeo kuwa kuna mfumo ambao wanadamu tunapaswa kuufuata.
Kuna mtoto toka amezaliwa yeye hajawahi kwenda sehemu yoyote kuabudu wala kusali ila amekuwa akiishi vizuri na jamii inayomzunguka kadri anavyoendelea kukua jamii nzima inakuwa inamuangalia kwa namna ya pekee kutokana na jinsi anavyoishi na jamii yake vizuri hivyo inapelekea kuishi maisha ya Baraka kubwa mno kutoka kwa watu japo wale wasioelewa wanasema Mungu kambariki no Hapana nikwamba katumia uhuru wake vyema ila sasa anapoenda na kwa Mungu wawe pamoja ndio anafanikiwa zaidi ya hapo awali.
Nitakuja siku nyingine kuelezea uhuru wa mwanadamu ulivyo namna ambavyo unaweza kusihi pasipo kuingiliwa na tawala yoyote uelewe yale mamlaka uliyonayo,
Nikwamba mwanadamu unaweza ukatawala anything and more kuna mengi sana usiyoyajua kuhusu wewe mwenyewe soon or later nitakuja
Pia kitabu soon kinakamilika nilichoelezea kwa upana Mipaka Iliyopo Kati ya Mwanadamu na Mungu namna gani mwanadamu umepewa kuishi mfumo wa kiutawala kutoka kwa Mungu hadi kakiumbe ka mwisho
wewe mwanadam upo kundi gani wapi upo una nguvu gani una nini?
Nimeshindwa kuendelea kuandika sababu ya mda ila next time nitakuja kuongezea nyama kidogo, hapa nimejaribu kuelezea kwa lugha rahisi ambayo walau kila mtu anaweza kuelewa pasipo shida kubwa sana ila ukiwa na swali usisite unaweza kuuliza hapo chini
SEE You Next Time