Wewe dogo acha usengele nyuma wakati watu wanajadili mambo ya msingi na yanayotoa mustakabali wa Taifa letu, hakutazwi kupinga na wala sisemi uunge mkono, hayo mashiko unayoyapachika katika hoja zako si mashiko bali ni makalio.
Tuache kutoa lugha zisizo na mantic kwasababu ya kupishana hoja,vinginevyo hakuna haja ya majadriano na kufikia mwafaka kwa maana kila mtu analo lijua basi liwe ni bora zaidi kuliko analolijua mtu mwingine.Huo utakuwa ni ubinafsi uliopita kiasi, ni sahihi kabisa kuwa na mawazo tofauti nanifaida pia kwawanajavi kujifunza vitu vingine.
Ulimwengu ni mtumwenye akili sana na hili nilisha lionana nanikawaambia wanajamvi kitendo cha ulimwengu kurudia kuandia barua ndefu kwa raisi kikwete ambayo aliiandika mwanzoni mwa utawala wa ****** kililenga sifa na kujipendekeza kwa rais.kama kawaida nilipingwa vikali ingawa si kwa matusi kama inavyo taka kujitokeza hapa kwa spanner.Ulimwengu kwa weredi wake na akili ninazo kili kuwa anazo ukilinganisha na makada wengine wa ccm anajambo lamsingi linalojikita kwenye manufaa yake binafsi na sifa alizonazo kwa kikwete.
Kwa kukosa umakini sifa hizi alizonazo ulimwengu kwa kikwete bila kutegemewa zina weza kuingia CDM na hatimaye kuonekana kama mtu safi wakati ni mlanguzi wa ideas/ideology kitu ambacho nikibaya kwa ustawi wa CDM.Kwamfano anamshauri Dr, Slaa asifikirie kumwondoa raisi aliyeshindwa kuliongoza taifa kabla ya uchaguzi 2015 kisa ajifunze matatizo ya wananchi na mahitaji yao.Kama huu sio uchuuzi wa idea ninini?
CDM kama chama cha siasa kimeanza kazi za siasa lini na lini kialianza kufikiria kuchukua dora? uta ona CDM kama chama chenye nia ya kuchukua dora kilianza siasa mwaka 1993 lakini kiliwaunga mkono vyama vingine katiaka swala la kuchukua nchi dora mapa kilipo ona sasa kinajua matatizo ya wananchi mwaka 2005 kikaamua sasa kuanza kuitafuta ikuru.Hata hivyo walipo shindwa kuingia ikuru mwaka 2006 wa kakaa tena nakujitathmini kama mtazamo wao uko sahii katika kulikomboa taifa hili wakaona hawako sawa kidogo wakajipanga upya na kuja na falsafa ya nguvu ya umma.
Kwa mtazamo huu CDM kama taasisi leo kwa kumtaja Dr. Slaa kama raisi mtarajiwa kupitia taasisi hii anaambiwa asitazame kuuondoa utawala huu dharimu kabla ya mwaka 2015 eti wajifunze matatizo ya wananchi. Hii ni makusudi ulimwengu anataka kumnyamazisha Dr. na chama chake wajifungie maktaba wa kasome matatizo ya wananchi waje waibuke wakati wa uchaguzi ili wawa achie CCM waendelee na propaganda chafu kuwa CDM ni chama cha katoliki, wachaga ,ukanda na waleta vurugu.
Vitu kama hivi lazima vitazamwe vizuri, ushauri wa ulimwengu lazima ukataliwe kwa misingi hiyo huwezi kushauri mambo ambayo mimi naamini ya mesha fanyika.utafiti wa matatizo ya wananchi tayari umesha fanyika na chadema na wanajua tatizo la msingi katika nchi hii ni utawa ra bora na uadilifu, mgawanyo wa keki ya taifa usio na ulinganifu, keki inaenda kwa wa chache. Ulimwengu usishauri watu wajifungie wafanye au wajia andae kwa vitu ambavyo tayari vimesha fanyika, shauri ninamnagani utawa huu uana weza kuondolewa kabla ya uchaguzi ujao.
Ulimwengu usijaribu kabisa kuondoa treni kwenye reli zake huo utakuwa nimpango wa kuifanya treni ianguke na sio mafanikio.Nchi hii inawatu wazuri sana na wenye uwezo wa kuongoza taifa hili na sio Dr. Slaa peke yake na kama una nia njema zungumzia mfumo na sio Dr. Slaa au Kikwete vinginevyo hii ni dalili ya kujipendekeza kwa wa kubwa ili uonekane mzuri.
Mtei jumapli kupitia star tiv walikuwa na Christopher Mtikila alisema wananchi wameiamini CDM hivyo kama sio 2012,2013 basi 2015 laziama utawala ubadilike hata hivyo hakuwa mchoyo wa fadhila alimshukuru Mtikila kwa harakati za kuamsha wa tanzania juu ya haki zao tangu miaka ya 1986.Hivyo kwa kauli hii na amini kabisa wananchi wanauelewa mkubwa kabisa juu ya haki zao maana elimu ilisha anza kutolewa tangu miaka ya 1986 na akina mtikila kilchopo ni wizi wa CCM kwenye kura na chama mbadala kilikuwa hakija patikana.
Ulimwengu unazungumzia swala la katiba huo sio ushauri pia nikitu ambacho kipo wazi, na hiyo milolongo mingine nimatukio halisi yaliyo tokea kwenye medani za kisiasa hapa nchini hivyo kwa mtazamo wangu hakuna kitu kizuri ulicho kifanya kwenye hii kazi yako ya uandishi huu.