Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,729
Usikute ndiyo mimi ati . ...Bado sijabahatika kukutana na ubavu wangu. Naamini ipo siku wakati wa Mungu ni wakati mzuri sana. Hawai wala achelewi.
Usikute ndiyo mimi ati . ...Bado sijabahatika kukutana na ubavu wangu. Naamini ipo siku wakati wa Mungu ni wakati mzuri sana. Hawai wala achelewi.
Na jina lako linakuthibitisha.Mi bado natangatanga tu
Wako ulimpatajeNa jina lako linakuthibitisha.
mbn km zmepishana.Usikute ndiyo mimi ati . ...
SikumbukiWako ulimpataje
Si useme tu hunaSikumbuki
Jamani funguka basi utupe na sisi maujuzinilimpata JF
mkuu,me bado nakula ujana bhana.. .kuoa kuoa hiyo habari sitak kuisikia
Bwana wa Majeshi,Mufalme wa Amani hakika ni Muweza wa yote!Bado sijabahatika kukutana na ubavu wangu. Naamini ipo siku wakati wa Mungu ni wakati mzuri sana. Hawai wala achelewi.
Asante mtumishi kwa sala. Nasubiri nioteshwe.Bwana wa Majeshi,Mufalme wa Amani hakika ni Muweza wa yote!
Sasa na uamini wakati utayari na neno limetimia,
Karibu Kwangu MPENDWA.
Haya sinaSi useme tu huna
Si useme tu ulinipata baada ya ku-like comment yangu.nilimpata JF
Khah! Mama mtu mzima bikra itoke wapi! Watoto 3Vp ulimkuta bikra? samahan lakin
Hongera sana kwakuopoa kitu cha kweliBinafsi niseme na kuanza kumshukuru Mungu kwa mke nilie nae mke bora na mama wa watoto wangu chipunga, helo na chipoku ukweli siku ya kwanza kumuona aliuchanganya sana moyo wangu mpaka kiasi kwamba nikasahau jinsia yangu kama ni mwanamke au mwanaume wakati nashangaa uumbaji wa manani ungeniita hadija ningeitika ungeniita juma ningeitika alikua kajaaliwa kwa kila kitu sura mpaka umbile nikaona isiwe tabu kwa kipindi kile nilikuwa rijali mwenye miaka 24.
Nilikua na ushawishi wa kila namna kwa mwanamke najua kuvaa vizuri na gari nzuri kifupi maisha yalikua mazuri bila kuchelewa ni katoa business card yangu na kumpa ikakataliwa duh kidume jasho likanitoka nikasema poa hakuna shida kwakuwa hakua anatokea mbali sana na kijiwe changu nikatafuta mtu wa karibu na kuhakikisha nakua karibu nae hatimae nikafanikiwa kumshawishi na kuwa nae karibu niseme tu ukweli.
Pamoja na uzuri wake wote sikuwa na mpango wa kumuoa sikuwa na muda wakati huo wa kuoa wala wazo nilimshawishi kwa muda wa mwaka mzima pasipo hata kuonja papuchi japo alikua anakuja kwangu kama kawaida mwisho nikajifikiria hivi kwa umri huu mwanamke wa kuoa si ndio huyu nahangaikia nini na dunia nimetumia ushawishi wangu wote na vizawadi nini lakini wapi mwisho nikaamua kutangaza ndoa na sasa tuna miaka 8 na watoto wawili asante Mungu.
Thenks myHongera sana kwakuopoa kitu cha kweli