Ulimbukeni wa ndoa

Ulimbukeni wa ndoa

Nyumbani situlii na mamii,
Zangu ni mavijiwe na kina nanii,

Mke wangu yupo home nguo anafua,
mi niko gest furani zangu navua.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia kubwa ya wanawake wanaopata kichaa cha ndoa ni wale ambao waume zao wana ulimbukeni wa ndoa kuanzia 5 ya kumi.


Mjue mwanaume limbukeni wa ndoa.
1.anaoa kwa heshima kabisa. Lakini bado atatafuta mwanamke wa nje wa kuzini naye.biblia inamuita hana akili kabisa.

2.Anaoa na ana mke lakini bado hawezi kujisimamia kila kitu anauliza mama yake mzazi ama kaka zake,biblia inasema aambatane na mke ila hataki.

3.Anarudi nyumbani kwake saa tisa za usiku,ama analala nje

4.Mke akiwa na pesa kumzidi haishi kusema anadharauliwa nk.

5.Hataki mke afanye kazi za kuingiza kipato.

6.Hajali wala kuwahudumia mke na watoto wake./ hataki kufanya kazi (marioo)

7.Hathamini mwanamke./anapiga mke.

8.Hataki wala kusikia kitu kinaitwa ibada. Ibada anazohudhuria kwa sana ni za mazishi tena wala sio kanisani ni makaburini.

9.Umri umeenda lakini bado utamkuta uvaaji wake, ishi yake,ongea yake,tembea yake kaa yake kama kijana anayebalehe

10.Hajali wazazi hasa wa mke.
*******************
Nakuja....


Sent using Jamii Forums mobile app
Hajali wazazi wa mke kwani ni kazi yake, havai Kwa heshima ivi wanaume tuu ndio wanatakiwa kuvaa Kwa heshima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia kubwa ya wanawake wanaopata kichaa cha ndoa ni wale ambao waume zao wana ulimbukeni wa ndoa kuanzia 5 ya kumi.


Mjue mwanaume limbukeni wa ndoa.
1.anaoa kwa heshima kabisa. Lakini bado atatafuta mwanamke wa nje wa kuzini naye.biblia inamuita hana akili kabisa.

2.Anaoa na ana mke lakini bado hawezi kujisimamia kila kitu anauliza mama yake mzazi ama kaka zake,biblia inasema aambatane na mke ila hataki.

3.Anarudi nyumbani kwake saa tisa za usiku,ama analala nje

4.Mke akiwa na pesa kumzidi haishi kusema anadharauliwa nk.

5.Hataki mke afanye kazi za kuingiza kipato.

6.Hajali wala kuwahudumia mke na watoto wake./ hataki kufanya kazi (marioo)

7.Hathamini mwanamke./anapiga mke.

8.Hataki wala kusikia kitu kinaitwa ibada. Ibada anazohudhuria kwa sana ni za mazishi tena wala sio kanisani ni makaburini.

9.Umri umeenda lakini bado utamkuta uvaaji wake, ishi yake,ongea yake,tembea yake kaa yake kama kijana anayebalehe

10.Hajali wazazi hasa wa mke.
*******************
Nakuja....


Sent using Jamii Forums mobile app
Umenipata number 8 tu but zingine zote nipo vizuri kutimiza wajibu wangu kama baba
 
Zote nakubali hiyo ya kuzini nje ni muhimu kupata vitu vipya nje ili usimchoke mke wako kuzini kuna faida
 
Back
Top Bottom