Asilimia kubwa ya wanawake wanaopata kichaa cha ndoa ni wale ambao waume zao wana ulimbukeni wa ndoa kuanzia 5 ya kumi.
Mjue mwanaume limbukeni wa ndoa.
1.anaoa kwa heshima kabisa. Lakini bado atatafuta mwanamke wa nje wa kuzini naye.biblia inamuita hana akili kabisa.
2.Anaoa na ana mke lakini bado hawezi kujisimamia kila kitu anauliza mama yake mzazi ama kaka zake,biblia inasema aambatane na mke ila hataki.
3.Anarudi nyumbani kwake saa tisa za usiku,ama analala nje


4.Mke akiwa na pesa kumzidi haishi kusema anadharauliwa nk.
5.Hataki mke afanye kazi za kuingiza kipato.
6.Hajali wala kuwahudumia mke na watoto wake./ hataki kufanya kazi (marioo)
7.Hathamini mwanamke./anapiga mke.
8.Hataki wala kusikia kitu kinaitwa ibada. Ibada anazohudhuria kwa sana ni za mazishi tena wala sio kanisani ni makaburini.
9.Umri umeenda lakini bado utamkuta uvaaji wake, ishi yake,ongea yake,tembea yake kaa yake kama kijana anayebalehe
10.Hajali wazazi hasa wa mke.
*******************
Nakuja....
Sent using
Jamii Forums mobile app