Ulimbukeni wa ndoa

Ulimbukeni wa ndoa

ASILIMIA KUBWA YA WANAWAKE WANAOPATA KICHAA CHA NDOA NI WALE AMBAO WAUME ZAO WANA ULIMBUKENI WA NDOA KUANZIA 5 YA KUMI.

MJUE MWANAUME LIMBUKENI WA NDOA.
1.ANAOA KWA HESHIMA KABISA. LAKINI BADO ATATAFUTA MWANAMKE WA NJE WA KUZINI NAYE.BIBLIA INAMUITA HANA AKILI KABISA.

2.ANAOA NA ANA MKE LAKINI BADO HAWEZI KUJISIMAMIA KILA KITU ANAULIZA MAMA YAKE MZAZI AMA KAKA ZAKE,BIBLIA INASEMA AAMBATANE NA MKE ILA HATAKI.

3.ANARUDI NYUMBANI KWAKE SAA TISA ZA USIKU,AMA ANALALA NJE

4.MKE AKIWA NA PESA KUMZIDI HAISHI KUSEMA ANADHARAULIWA NK.

5.HATAKI MKE AFANYE KAZI ZA KUINGIZA KIPATO.

6.HAJALI WALA KUWAHUDUMIA MKE NA WATOTO WAKE./ HATAKI KUFANYA KAZI (MARIOO)

7.HATHAMINI MWANAMKE./ANAPIGA MKE.

8.HATAKI WALA KUSIKIA KITU KINAITWA IBADA. IBADA ANAZOHUDHURIA KWA SANA NI ZA MAZISHI TENA WALA SIO KANISANI NI MAKABURINI.

9.UMRI UMEENDA LAKINI BADO UTAMKUTA UVAAJI WAKE, ISHI YAKE,ONGEA YAKE,TEMBEA YAKE KAA YAKE KAMA KIJANA ANAYEBALEHE

10.HAJALI WAZAZI HASA WA MKE.
*******************
Nakuja....


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wapi biblia inazuia mwanaume kuwa na mwanamke mwingine zaidi. Ukinipa icho kifungu wallaah nakupa laki moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapa ukweli kuwa --- wote wawili mkiheshimiana, mkawa marafiki ndoani.......mtafurahia.....hakuna kutupiana mpira.......ila nyie wanawake ni wasumbufu......hata mfanyiwe nini.....EVA na bustani yenye kila kitu...na mme wake ADAM, but alifanya upuuzi unatutoa jasho mpaka milele........
 
hapa ukweli kuwa --- wote wawili mkiheshimiana, mkawa marafiki ndoani.......mtafurahia.....hakuna kutupiana mpira.......ila nyie wanawake ni wasumbufu......hata mfanyiwe nini.....EVA na bustani yenye kila kitu...na mme wake ADAM, but alifanya upuuzi unatutoa jasho mpaka milele........
Ni kweli, mwanamke haridhiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia kubwa ya wanawake wanaopata kichaa cha ndoa ni wale ambao waume zao wana ulimbukeni wa ndoa kuanzia 5 ya kumi.


Mjue mwanaume limbukeni wa ndoa.
1.anaoa kwa heshima kabisa. Lakini bado atatafuta mwanamke wa nje wa kuzini naye.biblia inamuita hana akili kabisa.

2.Anaoa na ana mke lakini bado hawezi kujisimamia kila kitu anauliza mama yake mzazi ama kaka zake,biblia inasema aambatane na mke ila hataki.

3.Anarudi nyumbani kwake saa tisa za usiku,ama analala nje

4.Mke akiwa na pesa kumzidi haishi kusema anadharauliwa nk.

5.Hataki mke afanye kazi za kuingiza kipato.

6.Hajali wala kuwahudumia mke na watoto wake./ hataki kufanya kazi (marioo)

7.Hathamini mwanamke./anapiga mke.

8.Hataki wala kusikia kitu kinaitwa ibada. Ibada anazohudhuria kwa sana ni za mazishi tena wala sio kanisani ni makaburini.

9.Umri umeenda lakini bado utamkuta uvaaji wake, ishi yake,ongea yake,tembea yake kaa yake kama kijana anayebalehe

10.Hajali wazazi hasa wa mke.
*******************
Nakuja....


Sent using Jamii Forums mobile app
Huku mwishoni ungeandika jina la mwandishi ulimkopia kazi yake. Tujifunze kuheshimu waandishi. Umekop kwa Irene Mbowe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Malizia

11. Hanywi bia wala wine; saikolojia yasema mtu huyu anafaa kufuma vitambaa na kina mama


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwenye namba 4 apo 🤕 wengi wana dharau labda ubahatishe
Asilimia kubwa ya wanawake wanaopata kichaa cha ndoa ni wale ambao waume zao wana ulimbukeni wa ndoa kuanzia 5 ya kumi.


Mjue mwanaume limbukeni wa ndoa.
1.anaoa kwa heshima kabisa. Lakini bado atatafuta mwanamke wa nje wa kuzini naye.biblia inamuita hana akili kabisa.

2.Anaoa na ana mke lakini bado hawezi kujisimamia kila kitu anauliza mama yake mzazi ama kaka zake,biblia inasema aambatane na mke ila hataki.

3.Anarudi nyumbani kwake saa tisa za usiku,ama analala nje

4.Mke akiwa na pesa kumzidi haishi kusema anadharauliwa nk.

5.Hataki mke afanye kazi za kuingiza kipato.

6.Hajali wala kuwahudumia mke na watoto wake./ hataki kufanya kazi (marioo)

7.Hathamini mwanamke./anapiga mke.

8.Hataki wala kusikia kitu kinaitwa ibada. Ibada anazohudhuria kwa sana ni za mazishi tena wala sio kanisani ni makaburini.

9.Umri umeenda lakini bado utamkuta uvaaji wake, ishi yake,ongea yake,tembea yake kaa yake kama kijana anayebalehe

10.Hajali wazazi hasa wa mke.
*******************
Nakuja....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia kubwa ya wanawake wanaopata kichaa cha ndoa ni wale ambao waume zao wana ulimbukeni wa ndoa kuanzia 5 ya kumi.


Mjue mwanaume limbukeni wa ndoa.
1.anaoa kwa heshima kabisa. Lakini bado atatafuta mwanamke wa nje wa kuzini naye.biblia inamuita hana akili kabisa.

2.Anaoa na ana mke lakini bado hawezi kujisimamia kila kitu anauliza mama yake mzazi ama kaka zake,biblia inasema aambatane na mke ila hataki.

3.Anarudi nyumbani kwake saa tisa za usiku,ama analala nje

4.Mke akiwa na pesa kumzidi haishi kusema anadharauliwa nk.

5.Hataki mke afanye kazi za kuingiza kipato.

6.Hajali wala kuwahudumia mke na watoto wake./ hataki kufanya kazi (marioo)

7.Hathamini mwanamke./anapiga mke.

8.Hataki wala kusikia kitu kinaitwa ibada. Ibada anazohudhuria kwa sana ni za mazishi tena wala sio kanisani ni makaburini.

9.Umri umeenda lakini bado utamkuta uvaaji wake, ishi yake,ongea yake,tembea yake kaa yake kama kijana anayebalehe

10.Hajali wazazi hasa wa mke.
*******************
Nakuja....


Sent using Jamii Forums mobile app
Very nice message sent.....
 
Back
Top Bottom