Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,136
- 8,273
Ni shida.
Oooh nadhani hii mada inawahusu wakristo ina viashiria vingiUlichoandika yaani umepigilia msumari nilichokisema.
Kama unajijua bado una nyendo zako ulioa ili iweje? Subiri kwanza hadi utakapoelewa maana ya ndoa ndio uoe.
Mkuu bora umemuuliza huyu kiumbe maana anafikili wanawake ndio wana shida sana ya ndoa, Mwanaume kama huyu huwa ndoa yake inakuwa chungu zaidi ya shubiri.Hivi kwanza nazungumza na mvulana au mwanaume? How old are you?
Mkuu wapi biblia inazuia mwanaume kuwa na mwanamke mwingine zaidi. Ukinipa icho kifungu wallaah nakupa laki mojaASILIMIA KUBWA YA WANAWAKE WANAOPATA KICHAA CHA NDOA NI WALE AMBAO WAUME ZAO WANA ULIMBUKENI WA NDOA KUANZIA 5 YA KUMI.
MJUE MWANAUME LIMBUKENI WA NDOA.
1.ANAOA KWA HESHIMA KABISA. LAKINI BADO ATATAFUTA MWANAMKE WA NJE WA KUZINI NAYE.BIBLIA INAMUITA HANA AKILI KABISA.
2.ANAOA NA ANA MKE LAKINI BADO HAWEZI KUJISIMAMIA KILA KITU ANAULIZA MAMA YAKE MZAZI AMA KAKA ZAKE,BIBLIA INASEMA AAMBATANE NA MKE ILA HATAKI.
3.ANARUDI NYUMBANI KWAKE SAA TISA ZA USIKU,AMA ANALALA NJE
4.MKE AKIWA NA PESA KUMZIDI HAISHI KUSEMA ANADHARAULIWA NK.
5.HATAKI MKE AFANYE KAZI ZA KUINGIZA KIPATO.
6.HAJALI WALA KUWAHUDUMIA MKE NA WATOTO WAKE./ HATAKI KUFANYA KAZI (MARIOO)
7.HATHAMINI MWANAMKE./ANAPIGA MKE.
8.HATAKI WALA KUSIKIA KITU KINAITWA IBADA. IBADA ANAZOHUDHURIA KWA SANA NI ZA MAZISHI TENA WALA SIO KANISANI NI MAKABURINI.
9.UMRI UMEENDA LAKINI BADO UTAMKUTA UVAAJI WAKE, ISHI YAKE,ONGEA YAKE,TEMBEA YAKE KAA YAKE KAMA KIJANA ANAYEBALEHE
10.HAJALI WAZAZI HASA WA MKE.
*******************
Nakuja....
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiombe ukauvaa huo mkenge, utajuta.Mkuu bora umemuuliza huyu kiumbe maana anafikili wanawake ndio wana shida sana ya ndoa, Mwanaume kama huyu huwa ndoa yake inakuwa chungu zaidi ya shubiri.
Hahahaha Mwanaume wa aina hii kwanza hashahuliki hata kwa jambo la faida.Usiombe ukauvaa huo mkenge, utajuta.
Duh nna kikoba kesho hio laki naitaka mnooo, mkuu itoe tu usinichoshe na vifungu nimetoka kazini nimechoka balaaMkuu wapi biblia inazuia mwanaume kuwa na mwanamke mwingine zaidi. Ukinipa icho kifungu wallaah nakupa laki moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachanganya mada tunaongelea wanaume malimbukeni wa ndoa!Hivi Kati ya sisi wanaume na Nyie nan wajinga??
Kama Sio kiherehere chenu na tamaa kama fisi unakubalije kupewa bia moja au chips yai unavua chupi??? Wanaume wajanja Ndiyo wanatumia ujinga wenu kuwatomba mpaka mjitambue
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaekua mwili tu akili zimedumaamwenyezi Mungu aniepushie mwa
Mungu aniepushie mwanaume mjinga anayekua akili tu.
Ni kweli, mwanamke haridhikihapa ukweli kuwa --- wote wawili mkiheshimiana, mkawa marafiki ndoani.......mtafurahia.....hakuna kutupiana mpira.......ila nyie wanawake ni wasumbufu......hata mfanyiwe nini.....EVA na bustani yenye kila kitu...na mme wake ADAM, but alifanya upuuzi unatutoa jasho mpaka milele........
Huku mwishoni ungeandika jina la mwandishi ulimkopia kazi yake. Tujifunze kuheshimu waandishi. Umekop kwa Irene MboweAsilimia kubwa ya wanawake wanaopata kichaa cha ndoa ni wale ambao waume zao wana ulimbukeni wa ndoa kuanzia 5 ya kumi.
Mjue mwanaume limbukeni wa ndoa.
1.anaoa kwa heshima kabisa. Lakini bado atatafuta mwanamke wa nje wa kuzini naye.biblia inamuita hana akili kabisa.
2.Anaoa na ana mke lakini bado hawezi kujisimamia kila kitu anauliza mama yake mzazi ama kaka zake,biblia inasema aambatane na mke ila hataki.
3.Anarudi nyumbani kwake saa tisa za usiku,ama analala nje
4.Mke akiwa na pesa kumzidi haishi kusema anadharauliwa nk.
5.Hataki mke afanye kazi za kuingiza kipato.
6.Hajali wala kuwahudumia mke na watoto wake./ hataki kufanya kazi (marioo)
7.Hathamini mwanamke./anapiga mke.
8.Hataki wala kusikia kitu kinaitwa ibada. Ibada anazohudhuria kwa sana ni za mazishi tena wala sio kanisani ni makaburini.
9.Umri umeenda lakini bado utamkuta uvaaji wake, ishi yake,ongea yake,tembea yake kaa yake kama kijana anayebalehe
10.Hajali wazazi hasa wa mke.
*******************
Nakuja....
Sent using Jamii Forums mobile app


Asilimia kubwa ya wanawake wanaopata kichaa cha ndoa ni wale ambao waume zao wana ulimbukeni wa ndoa kuanzia 5 ya kumi.
Mjue mwanaume limbukeni wa ndoa.
1.anaoa kwa heshima kabisa. Lakini bado atatafuta mwanamke wa nje wa kuzini naye.biblia inamuita hana akili kabisa.
2.Anaoa na ana mke lakini bado hawezi kujisimamia kila kitu anauliza mama yake mzazi ama kaka zake,biblia inasema aambatane na mke ila hataki.
3.Anarudi nyumbani kwake saa tisa za usiku,ama analala nje
4.Mke akiwa na pesa kumzidi haishi kusema anadharauliwa nk.
5.Hataki mke afanye kazi za kuingiza kipato.
6.Hajali wala kuwahudumia mke na watoto wake./ hataki kufanya kazi (marioo)
7.Hathamini mwanamke./anapiga mke.
8.Hataki wala kusikia kitu kinaitwa ibada. Ibada anazohudhuria kwa sana ni za mazishi tena wala sio kanisani ni makaburini.
9.Umri umeenda lakini bado utamkuta uvaaji wake, ishi yake,ongea yake,tembea yake kaa yake kama kijana anayebalehe
10.Hajali wazazi hasa wa mke.
*******************
Nakuja....
Sent using Jamii Forums mobile app
Very nice message sent.....Asilimia kubwa ya wanawake wanaopata kichaa cha ndoa ni wale ambao waume zao wana ulimbukeni wa ndoa kuanzia 5 ya kumi.
Mjue mwanaume limbukeni wa ndoa.
1.anaoa kwa heshima kabisa. Lakini bado atatafuta mwanamke wa nje wa kuzini naye.biblia inamuita hana akili kabisa.
2.Anaoa na ana mke lakini bado hawezi kujisimamia kila kitu anauliza mama yake mzazi ama kaka zake,biblia inasema aambatane na mke ila hataki.
3.Anarudi nyumbani kwake saa tisa za usiku,ama analala nje
4.Mke akiwa na pesa kumzidi haishi kusema anadharauliwa nk.
5.Hataki mke afanye kazi za kuingiza kipato.
6.Hajali wala kuwahudumia mke na watoto wake./ hataki kufanya kazi (marioo)
7.Hathamini mwanamke./anapiga mke.
8.Hataki wala kusikia kitu kinaitwa ibada. Ibada anazohudhuria kwa sana ni za mazishi tena wala sio kanisani ni makaburini.
9.Umri umeenda lakini bado utamkuta uvaaji wake, ishi yake,ongea yake,tembea yake kaa yake kama kijana anayebalehe
10.Hajali wazazi hasa wa mke.
*******************
Nakuja....
Sent using Jamii Forums mobile app