Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,946
- 32,164
At the age of 15 nikiwa Sekondari.
ilibidi nisimane masomo kwa miaka 2 ili niweze kumkuza vyema mwanangu.
Now boy wangu ana 16 na yuko form 3. Nami nina 30 his dad ana 34.
Huwezi kujua kama ni mwanangu mpaka nikwambie.
Nikiongozana nae watu hujua mdogo wangu kabisa.
Kanipita urefu, na anafanya tizi hivo kajazia.
Kiukweli nilipitia mengi wakati huo...now sina hofu.
ilibidi nisimane masomo kwa miaka 2 ili niweze kumkuza vyema mwanangu.
Now boy wangu ana 16 na yuko form 3. Nami nina 30 his dad ana 34.
Huwezi kujua kama ni mwanangu mpaka nikwambie.
Nikiongozana nae watu hujua mdogo wangu kabisa.
Kanipita urefu, na anafanya tizi hivo kajazia.
Kiukweli nilipitia mengi wakati huo...now sina hofu.