bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,015
- 4,998
Sasa mimba ikawaje?au hakupata Mimba??19 Nilitupia nyavu kwa mwanafunzi nikadakwa kama kuku nilipo fika gerezani nikazunga kama vile siyo mtuhumiwa 7bu nilikuwa mdogo sana so askari wa pale wakaniona kama mim ni mtoto wa askari wa pale kituoni nikazunga zunga nikatokea kwenye geti nikasepa mazimaaa hadi leo!
Yule demu kwao walikuwa mambo safi wakamhamishia kwa dada yake alikokuwa anasoma Canada hadi leo sijui kama yupo wala sijawah kuwasiliana nae